Kipi kinachukua asilimia kubwa sana kama sifa ya mwanamke kuolewa?

Kipi kinachukua asilimia kubwa sana kama sifa ya mwanamke kuolewa?

Ni kweli na nina sababu
Sababu hizo hebu ziweke hazarani ili Watu wajifunze!! Yaan Watu Kama wew nawashangaa Sana kwa kuhamasisha vijana waoe wake ambao kwa baadae vijana hawa wakipata hela waanze kuwachukia wanawake hawa na kuoa Tena upya!!! Hivi unaweza ukanitajia kinachosababisha hata wastaafu baada ya kupata mafao huwa Ni kwannn huoa wake wengne na kusaliti wake zao??
 
Hizo 20% zlizobaki unazigawanyeje mkuu? Pia kumbuka ndoa Ni Safari ndefu,mwanamke akiwa mbaya wa sura ukiwa unamuoa kadil sku znavyozid kwenda ndo huwa anakuwa mbaya zaidi, na akiwa mzuri huwa anamantain na uzur
MKuu,20 zilizobaki nikama ifuatavyo,10%uzuri wasura naumbo,5% kumjua Mungu nakutambua majukumu yake binafsi kama mwanamke aliyeolewa,5%familia aliyotokea(background yake) matters too.
 
Ni Kama walivo motivational speaker
Wana akili ya maisha na mipango, ila akili ya pesa Ni sifuri[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu yangu na wewe unaanza kuniaibisha, unazungumzia Motivational speaker gani?
Unajua akina Tony Robbins na Robert Kiyosaki wana miliki sh ngapi?

Kwanza akili ya maisha na mipango inakuwa justified na pesa, kama huna pesa maana yake huna akili ya maisha na mipango.
 
Sababu hizo hebu ziweke hazarani ili Watu wajifunze!!
Dini nimeipa 65 sababu ni kutaka mali yangu iwe salama
Mbali na usalama nataka mtu wa kuvumilia, anaejua kuwa kuna kukosa na atakayeendelea kuamini kuwa mambo yatakuwa sawa hata kama haionekani hivyo.

Mali 20%, maisha yamebadilika na hakuna tuzo ya mtesekaji bora hivyo naye akiwa na mali zake jumlisha na za kwangu basi maisha yatakuwa angalau kwa upande wetu (kigezo hili si lazima, ila akiwa nacho ni added advantage)

Uzuri 15, kisaikolojia uzuri au mvuto ni swala la kifikra tu halina athari kwangu… ni muhimu ila ni kwa 15% tu na si zaidi


Yaan Watu Kama wew nawashangaa Sana kwa kuhamasisha vijana waoe wake ambao kwa baadae vijana hawa wakipata hela waanze kuwachukia wanawake hawa na kuoa Tena upya!!!
Usinisingizie mkuu sijahamasisha mtu, nimetoa maoni yangu kama mtoa mada alivyotaka kama wewe umehamasika hilo ni swala lako binafsi
Hivi unaweza ukanitajia kinachosababisha hata wastaafu baada ya kupata mafao huwa Ni kwannn huoa wake wengne na kusaliti wake zao??
Nikisema nieleze sababu nitakuwa muongo, kila case inapaswa kuangiliwa kivyake maana wengine ni tamaa, wengine ni matokeo ya ugomvi na wake zao n.k haiwezekani kutoa sababu zitakazoeleza case zote
 
Dini nimeipa 65 sababu ni kutaka mali yangu iwe salama
Mbali na usalama nataka mtu wa kuvumilia, anaejua kuwa kuna kukosa na atakayeendelea kuamini kuwa mambo yatakuwa sawa hata kama haionekani hivyo.

Mali 20%, maisha yamebadilika na hakuna tuzo ya mtesekaji bora hivyo naye akiwa na mali zake jumlisha na za kwangu basi maisha yatakuwa angalau kwa upande wetu (kigezo hili si lazima, ila akiwa nacho ni added advantage)

Uzuri 15, kisaikolojia uzuri au mvuto ni swala la kifikra tu halina athari kwangu… ni muhimu ila ni kwa 15% tu na si zaidi



Usinisingizie mkuu sijahamasisha mtu, nimetoa maoni yangu kama mtoa mada alivyotaka kama wewe umehamasika hilo ni swala lako binafsi

Nikisema nieleze sababu nitakuwa muongo, kila case inapaswa kuangiliwa kivyake maana wengine ni tamaa, wengine ni matokeo ya ugomvi na wake zao n.k haiwezekani kutoa sababu zitakazoeleza case zote
Nimekuelewa mkuu!! Ingawa changamoto hazikosekani,hata kwa washika din wa sku hizi
 
Yaani awe na dini kwa asilimia 0.5 kisha wakati huo huo awe na uwezo wa kutii na kufuata maelekezo (halali) kwa asilimia kubwa hivyo? Mbona kama umechanganya au mimi ndio sijaelewa.
Inawezekana sana mwanamke asiye nadini bado akaweza kukutii nakufuata maelekezo,hili nisuala lakimalezi tu huko nyumbani alikotoka,unaweza kupata mwanamke mwenyw uelewa wadini kichwani asiwe mtiifu bado MKuu.

Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
 
Hizo 20% zlizobaki unazigawanyeje mkuu? Pia kumbuka ndoa Ni Safari ndefu,mwanamke akiwa mbaya wa sura ukiwa unamuoa kadil sku znavyozid kwenda ndo huwa anakuwa mbaya zaidi, na akiwa mzuri huwa anamantain na uzur
Wadau washachangia huko nyuma kua,kinachomantain ndoa sio uzuri wasura wala shape,au muonekanao mzuri kwa ujumla bali ni tabia ,ambayo kimsingi ndio uwezo wakukutii ww mme nakufuata maelekezo kitendo ambacho kitakupa amani yamoyo,hizo 20 zilizobaki ndio zinaangukia ktk maswlaa mengine,lkn hakuna mwanaume anaejihisi mfalme ndani yanyumba yake kama mkewe anagea baadhi ya amri na maelekezo yake anaamini kama baba mwenye nyumba.

Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom