Kipi kinachukua asilimia kubwa sana kama sifa ya mwanamke kuolewa?

Kipi kinachukua asilimia kubwa sana kama sifa ya mwanamke kuolewa?

tabia..30
uzuri...30
mautundu bed na jikoni..10
smart...30
 
Hiyo ishapitwa na wakat mkuu,kwa kizaz Cha Leo ambapo weng wanakutana tu hata chuon wanaoana,ukisema waangalie et familia anayotoka kiwe kigezo haiwezekani. Nenda na mabadiliko mkuu
Mi naweza mkuu kufatilia. Binti ninaetaka kumuoa nahakikisha anatokea mazingira niliyokulia au nayoyajua vyema
 
Tusio na chura tumehuzunika sana tulivyosoma comments za huu Uzi.
 
Kwa mawazo yangu sifa za mwanamke kuolewa ningezipa asilimia Kama ifutavyo:

a) Rangi ikiwa nyeupe 15%
b) Muonekano kwa ujumla 25%
c) Chura 35%
d) Mguu 5%
e) Uzuri wa tabia 5%
f) Umbo lake 5%
g) Sifa ya familia anayotoka 5%
h) historical background kama aliwahi kuzaa au kutoa mimba 5%

Je, wewe unaweza ukagawanya vipi sifa hizi za wanawake utakapoamua kuoa?

NB: Siyo lazima awe nazo zote 100% ila angalau afikishe 75% ya asilimia hizo.

Hapa wanawake weusi mtanisamehe kwa kweli, ila kama kuna wa kuwatetea anakaribishwa.
Unaonekana bado kijana mdogo lakini ukikua uatajua kuwa sifa ya mke kuoa sio makalio makubwa. wenye makalio makubwa ni wa kutumia na kuacha .
Kikubwa muonekano uwe mzuri na tabia yake full stop.
b na f zinaendana, e na h pia zinaendana
 
Unaonekana bado kijana mdogo lakini ukikua uatajua kuwa sifa ya mke kuoa sio makalio makubwa. wenye makalio makubwa ni wa kutumia na kuacha .
Kikubwa muonekano uwe mzuri na tabia yake full stop.
b na f zinaendana, e na h pia zinaendana
Hamasishen Watu waoe wake wenye chura tupunguze idadi ya kesi za kutalakiana mahakamani
 
Uwezo wakutii nakufuata maelekezo aisee,nihatari Sana kuoa mwanamke argumentative,yaani unanijihisi haufai,kabisa nauanaume wako unafifia aisee,big up,80/%uwezo wakutii nakufuata maelekezo.
 
Uwezo wakutii nakufuata maelekezo aisee,nihatari Sana kuoa mwanamke argumentative,yaani unanijihisi haufai,kabisa nauanaume wako unafifia aisee,big up,80/%uwezo wakutii nakufuata maelekezo.
Hizo 20% zlizobaki unazigawanyeje mkuu? Pia kumbuka ndoa Ni Safari ndefu,mwanamke akiwa mbaya wa sura ukiwa unamuoa kadil sku znavyozid kwenda ndo huwa anakuwa mbaya zaidi, na akiwa mzuri huwa anamantain na uzur
 
Wew unataka baadae uje uwe msumbufu kwa wake wa wenzio
Unataka nioe mwenye chura Ili wewe ndo uwe kuwa kirusi kwenye ndoa yangu Bora nisioe mwenye chura end of the story
 
Acha kutengeneza matabaka mkuu, ko maskin kwako sio mtu ?
Hapana Mkuu sijafanya matabaka nisieleweke vibaya
Nimeweka aslimia kama mtoa mada alivytaka

Kwangu ili nioe mwanamke basi ni lazima askimia hizo zivuke 70

Ambapo mtu akiwa na dini tayari ana 65%
Akiwa na uzur wa hata 6% hapo anakuwa na 71% tayari naoa

Suala la ukwasi ni added advantage tu ila si decisive factor
 
Hapana Mkuu sijafanya matabaka nisieleweke vibaya
Nimeweka aslimia kama mtoa mada alivytaka

Kwangu ili nioe mwanamke basi ni lazima askimia hizo zivuke 70

Ambapo mtu akiwa na dini tayari ana 65%
Akiwa na uzur wa hata 6% hapo anakuwa na 71% tayari naoa

Suala la ukwasi ni added advantage tu ila si decisive factor
Nmekuelewa mkuu, ingawa Kuna sehem umependelea mno
 
Unataka nioe mwenye chura Ili wewe ndo uwe kuwa kirusi kwenye ndoa yangu Bora nisioe mwenye chura end of the story
Kizuri Kula na wenzio!! Stori ip unayosema ime end up ??
 
Back
Top Bottom