Hezbollah imeripoti kuwa imefanikiwa kubamiza vituo muhimu vya kijeshi vya Israel, ikiwa ni pamoja na makao makuu ya upelelezi ya Mossad na kambi muhimu ya IDF, wakati wa mgogoro unaoendelea kufuatia uvamizi wa ardhi wa mazayuni kusini mwa Lebanon. Jionee:
View: https://www.youtube.com/live/wWF92iaqD5c?si=dHFNoMnIs0jHkaB4
Kafiri ni kitendo cha kumkataa KRISTO kama BWANA na mwokozi wa maisha ya watuHivi ni nini maana ya neno "kafiri"?
Wawe wanauwa wapiganaji sio raiaDakika 40 zilizopita hichi ndicho kinachoendelea lebanon. View attachment 3115637
Mpaka mtakapokubali ya kwamba Mungu wa Israel ndiye MUNGU anayetawala tawala zote za wanadamu, ni Bwana wa wafalme wote, Na ndiye MUNGU anayewaweka wafalme na kuwaondoa
Mbona hao masalafi wa Saudi Arabia walikuwa wanalindwa na makafiri kabisa UK na kwa sasa wanalindwa na makafiri yaliyopitiliza kwenye ushenzi USA?Muislamu hlf una shabikia vita? Ivi unawajua hao mashia ww ? Unajua chanzo cha vita ?
Hezbollah imeripoti kuwa imefanikiwa kubamiza vituo muhimu vya kijeshi vya Israel, ikiwa ni pamoja na makao makuu ya upelelezi ya Mossad na kambi muhimu ya IDF, wakati wa mgogoro unaoendelea kufuatia uvamizi wa ardhi wa mazayuni kusini mwa Lebanon. Jionee:
View: https://www.youtube.com/live/wWF92iaqD5c?si=dHFNoMnIs0jHkaB4
Siyo kila sunni anakubaliana na hayo mambo! Ni watawala wa nchi za kisunni wanatetea madaraka yao.Shia wanawapiga Suni hujui hilo kwani wanaovujisha siri kupeleka Israel huwajui ni akina nani Suni, kwa hio jichunguze
Mimi naweza kuingia msikiti wa kishia na naswali kama kawaida.Suni na Shia unawajua?
Out of mada njoo kwenye madaMbona hao masalafi wa Saudi Arabia walikuwa wanalindwa na makafiri kabisa UK na kwa sasa wanalindwa na makafiri yaliyopitiliza kwenye ushenzi USA?
Nyie mliua wapiganaji au Raia?Wawe wanauwa wapiganaji sio raia
Pole sana.Hezbollah imeripoti kuwa imefanikiwa kubamiza vituo muhimu vya kijeshi vya Israel, ikiwa ni pamoja na makao makuu ya upelelezi ya Mossad na kambi muhimu ya IDF, wakati wa mgogoro unaoendelea kufuatia uvamizi wa ardhi wa mazayuni kusini mwa Lebanon. Jionee:
View: https://www.youtube.com/live/wWF92iaqD5c?si=dHFNoMnIs0jHkaB4
Hawa wanapotezwa na Western media na Israel media huwa hawasemi ukweli. Hata wakipigwa watasema wao ndio wamepiga 😄Hiyo ni live, inaendelea mpaka sasa. Ngumu sana wewe kumeza kwa sababu unatazama sana picha za hollywood. Umejazwa ujinga.
Basi mazayuni kwisha habari yao.Hezbollah imeripoti kuwa imefanikiwa kubamiza vituo muhimu vya kijeshi vya Israel, ikiwa ni pamoja na makao makuu ya upelelezi ya Mossad na kambi muhimu ya IDF, wakati wa mgogoro unaoendelea kufuatia uvamizi wa ardhi wa mazayuni kusini mwa Lebanon. Jionee:
View: https://www.youtube.com/live/wWF92iaqD5c?si=dHFNoMnIs0jHkaB4
Hawa wanapotezwa na Western media na Israel media huwa hawasemi ukweli. Hata wakipigwa watasema wao ndio wamepiga 😄
Hii habari yako ninamashaka nayo.Hezbollah imeripoti kuwa imefanikiwa kubamiza vituo muhimu vya kijeshi vya Israel, ikiwa ni pamoja na makao makuu ya upelelezi ya Mossad na kambi muhimu ya IDF, wakati wa mgogoro unaoendelea kufuatia uvamizi wa ardhi wa mazayuni kusini mwa Lebanon. Jionee:
View: https://www.youtube.com/live/wWF92iaqD5c?si=dHFNoMnIs0jHkaB4
Hii nayo nimeona imesambaa sana.Russia reportedly sent S400 air defense systems to Iran in anticipation of an Israeli attack.