Kipigo Kikubwa Kwa Israel Mossad Spy HQ, Na ngome muhimu ya IDF Zimeshambuliwa

Kipigo Kikubwa Kwa Israel Mossad Spy HQ, Na ngome muhimu ya IDF Zimeshambuliwa

Kwa kutumia ndege na makombora ya mabwana zao wa marekani kuuwa watoto, wanawake, wazee na wagonjwa? Hapo hakuna anaewashinda.
Hii ya uso kwa uso ndiyo msema kweli. Mwaka sasa vijana wa Ghaza wanawahenyesha, watawaweza wababe wao wa miaka yote Hezbollah?

Maawee.
sasa hezbola wiki moja tuu wameuliwa viongozi wote si bora hata hamas? hezbola nawafananisha na nyumbu..hao waje huku wapambane na watoto waliotoka mafunzo jkt
 
sasa hezbola wiki moja tuu wameuliwa viongozi wote si bora hata hamas? hezbola nawafananisha na nyumbu..hao waje huku wapambane na watoto waliotoka mafunzo jkt
Hilo lisikutishe sana, sio movie hii.

Hezbollah walishatangaza mapema sana, kabla hawajauliwa hao viongozi wao, kuwa wao ni Waislam msifikiri mkimuua Imam basi sala haiataendelea. Kila Muislam anaweza kuwa Imam.

Natumai kwa maneno hayo ya Hezbolllah umenielewa.

Hilo siyo tatizo la watu wanaoufata Uislam. Ukilielewa hilo na ukielewa maana ya Shahid kwenye Uislam, hutopata shida au kuchekelea sana. Kwani huo ni ushindi mkubwa sana kwa Muislam anayeamini anapigana katika njia ya Allah.
 
Hilo lisikutishe sana, sio movie hii.

Hezbollah walishatangaza mapema sana, kabla hawajauliwa hao viongozi wao, kuwa wao ni Waislam msifikiri mkimuua Imam basi sala haiataendelea. Kila Muislam anaweza kuwa Imam.

Natumai kwa maneno hayo ya Hezbolllah umenielewa.

Hilo siyo tatizo la watu wanaoufata Uislam. Ukilielewa hilo na ukielewa maana ya Shahid kwenye Uislam, hutopata shida au kuchekelea sana. Kwani huo ni ushindi mkubwa sana kwa Muislam anayeamini anapigana katika njia ya Allah.
maneno ya mfa maji hayo
 

Yaroun imegawanyika kati ya Waislamu wa Shia na Wakristo wa Kikatoliki.
Mwaka 2009, kulikuwa na waumini 365 wa Parokia ya Saint-Georges ya Kanisa la Melkite katika kijiji hicho.[19]

Wakati wengi wa Yarounis kutembelea Yaroun kwa majira ya joto, takriban 60% hadi 70% ya wenyeji wa Yaroun wanaishi nje ya Lebanon, Australia, Marekani, Argentina, Brazil, Colombia, Panama, Venezuela, na Afrika Kusini

 
Yaroun imegawanyika kati ya Waislamu wa Shia na Wakristo wa Kikatoliki.
Mwaka 2009, kulikuwa na waumini 365 wa Parokia ya Saint-Georges ya Kanisa la Melkite katika kijiji hicho.[19]

Wakati wengi wa Yarounis kutembelea Yaroun kwa majira ya joto, takriban 60% hadi 70% ya wenyeji wa Yaroun wanaishi nje ya Lebanon, Australia, Marekani, Argentina, Brazil, Colombia, Panama, Venezuela, na Afrika Kusini

Washia wa Iran Wana haribu nchi za Waarabu ili waje kuzitawala kirahisi.

Yemen, mateja wamejaa, Syria Imegawanyika, Iraq imekuwa failed State now Silaha walizopeleka Lebanon zinawaponza
 
Washia wa Iran Wana haribu nchi za Waarabu ili waje kuzitawala kirahisi.

Yemen, mateja wamejaa, Syria Imegawanyika, Iraq imekuwa failed State now Silaha walizopeleka Lebanon zinawaponza
Na wewe linakuuma hilo, au siyo?

Kondoo wa mazayuni ni vigumu kuelewa kuwa Yemen mpaka leo kuna Mayahudi ambao wamekataa kwenda israel kwa sababu Wayahudi wanaelewa hiyo ni ardhi ya Waarabu.

Usichanganye mazayuni na Mayahudi, ni vitu tofauti.
 
Na wewe loinakuuma hilo, au siyo?

Kondoo wa mazayuni ni vigumu kuelewa kuwa Yeman mpaka leo kuna Mayahudi ambao wamekataa kwenda israel kwa sababu Wayahudi wanelewa hiyo ni ardhi ya Waarabu.

Usichanganye mazayuni na Mayahudi, ni vitu tofauti.
Uzayuni ni movement/Ulta nationionalisim ya Wayahudi wengi kuwa Lazima wawe na nchi katika Ardhi ya babu zao na wao wanaanda mazingira ya Masiah wao

Zion(Sayuni) ni Yerusalem, baadhi ya Wayahudi wanaamini hawatakiwi kuwa na nchi Hadi Masiah aje.
 
Uzayuni ni movement/Ulta nationionalisim ya Wayahudi wengi kuwa Lazima wawe na nchi katika Ardhi ya babu zao na wao wanaanda mazingira ya Masiah wao

Zion(Sayuni) ni Yerusalem, baadhi ya Wayahudi wanaamini hawatakiwi kuwa na nchi Hadi Masiah aje.
Hawajawahi kuwa na nchi, mpaks Muingereza mturuki walipowapa ardhi ya Wapalestina.
 
Hawajawahi kuwa na nchi, mpaks Muingereza mturuki walipowapa ardhi ya Wapalestina.
Mfalme Daudi na Sulemani walikuwa Wafalme wa taifa gani

Hadi Wagiriki wanaondoka walikuwa na Taifa huru linaitwa Hasmonean dynasty
 
Kumbe hawa nguruwe wamepigwa hiviii, aisee wapalestina ni kiboko aisee, yaani silaha za kuokoteza na wamewapiga na kuteka na vifaru vyao kweli waarabu ni hatari aisee
 
kichwa kingine kimeliwa bibi, allah hawezi kumshinda Jehova

17_110.gif

Qur'an 17:110. Sema: Mwombeni Allah (Mwenyezi Mungu), au mwombeni Rahman (Mwingi wa Rehema), kwa jina lolote mnalo mwita. Kwani Yeye ana majina mazuri mazuri. Wala usitangaze Sala yako kwa sauti kubwa, wala usiifiche kwa sauti ndogo, bali shika njia ya kati na kati ya hizo. 110
 
17_110.gif

Qur'an 17:110. Sema: Mwombeni Allah (Mwenyezi Mungu), au mwombeni Rahman (Mwingi wa Rehema), kwa jina lolote mnalo mwita. Kwani Yeye ana majina mazuri mazuri. Wala usitangaze Sala yako kwa sauti kubwa, wala usiifiche kwa sauti ndogo, bali shika njia ya kati na kati ya hizo. 110
Kumbukumbu la Torati 10:17
Kwa maana BWANA, Mungu wenu, yeye ndiye Mungu wa miungu, na Bwana wa mabwana, Mungu mkuu, mwenye kuogofya, asiyependelea nyuso za watu, wala hakubali rushwa.

Allah ni Mungu kama miungu wengine, ila Mungu wa Allah ni JEHOVA

So Allah Hawezi kumshinda Boss wake kamwe. upo hapo bibi?
 
Back
Top Bottom