Kipindi cha TV, Kutoa Elimu ya Katiba, Sheria na Haki, Kuanza Jumapili Hii Kupita Channel Ten

hahaha nimecheka sn, ni changamoto hizo, mfano Halima angekuwa amefukuzwa CCM ungeandika hiki?
 
Mkuu mimi na wewe tunapishana padogo sn, simama kwenye msitari kama zamani
 


Andiko la hovyo kama author wake.
 
Samahani mkuu kwa swali la kizushi, huwa naona mkono wako wa kushoto kama una shida au ni macho yangu tu? pole kama ulipata ajali sisi wote ni binadamu sina nia mbaya lakini natamani tu kujua. Asante
 
TBC na Channel 10 hawatakubali
 
hahaha nimecheka sn, ni changamoto hizo, mfano Halima angekuwa amefukuzwa CCM ungeandika hiki?
Mimi najihesabu ni mtetezi huru wa haki, CCM ilipomtimua Sofia Simba, nilimtetea! Rais Magufuli, Waliomchagua Wanajuta!, Wasiomchagua Wanamshangilia!. Akishika Chama, Watakoma

Siku CCM ilipomtimua Hassan Nasor Moyo, nilipandisha uzi huu Iwapo CCM itashindwa Zanzibar, Nini Majaaliwa ya Muungano?

Siku Benard Membe alipotimuliwa CCM, nilipandisha bandiko hili Membe, Japo Umeonewa, Usifanye Kosa la Lowassa!, Ila CCM ya Ajabu!, Uamuzi based on Illegal Evidence ni Void Ab Initial!.

Ukiwa ni mtetezi kweli wa haki, utamtetea yeyote.

P.
 

Nilikuwa nakuunga mkono ila ulipomtaja Tulia Akson nikaona kipindi hakina maana.
 
Unatetea watu walifoji signature ya KM? Sipo pamoja na wewe
 
Unatetea watu walifoji signature ya KM? Sipo pamoja na wewe
Wewe ndio hujui, wenyewe wanajua hakuna forgery yoyote, ndio maana hawajaripoti police, forgery ni kosa la jinai, amini nakuambia majina yalipelekwa NEC na bona-fide genuine legit documents, ila ni kweli hazikusainiwa na KM, but zimesainiwa na office bearers!. Voices From Within: Unaweza usiamini! Aliyetoa A Go ahead kwa Mdee na Wenzake ni Kigogo wa Chadema!. Alikuwepo Ukumbini na Vikaoni! Je, ni nani?
P
 
Ndiyo utaratibu? polisi wanasubiri maelekezo toka juu, kesi ya Lissu wanasubiri apone atoe ushahidi sijui angekufa kusingekuwa na uchunguzi.
 
Wakati nikiwa mwanafunzi wa Shule ya msingi nilikuwa sikosi kuangalia kipindi ulichokiendesha wakati huo Cha Kitimoto. Naamini hili pia kitakuwa na ubora ule ule. Kila la heri mkuu. Jumapili nitakuwa pamoja nawe karibu ya TV yangu kuangalia umahiri wako.
 
Barabara za wenzetu ni tofauti na hizi zetu sn tu, nakubali lakini mazingira yetu ni hatari sn maana madereva wengi wa magari ni vichaa. yote kwa yote tumshukuru MUNGU bado tupo pamoja na wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…