Kipindi hiki cha sikukuu kimekua na ajali nyingi sana, Naomba tuwe makini barabarani.

Kipindi hiki cha sikukuu kimekua na ajali nyingi sana, Naomba tuwe makini barabarani.

ThisisDenis

Senior Member
Joined
Apr 14, 2013
Posts
162
Reaction score
139
Naomba suala hili nilielekeze kwa wasafiri, wasafirishwa na wasimimizi wa miundombinu yoye ya usafiri, Ikiwezekana kupunguza hizi ajali dereva tax, bus, bodaboda wapimwe kiwango cha ulevi kama kitakua kimezidi kiwango basi wasiendelee na safari au kusitisha kabisa safari.

Askari wamekua wakifuatilia sana barabara za mikoni naamini wakiongoza tu magari na kukagua vyeti feki, naomba tuzingatie taratibu zote za usalama za chombo chochote mahala popote.
 
Back
Top Bottom