Mi naona wenginwa mapadre hata hawaamini Bali wapo kiugizaji.
Kuna mmoja niliwahi kumsikia akisema Kama kusoma amesoma Sana tena Sana na Ni kweli amesoma !
Yeye alisema kule kusema Kuna Moto was milele Ni fix, kule kusema Kuna mwisho wa dunia Ni fix.
Akasema pia hakuna sehemu kuliko na mbinguni au peponi , Bali mbinguni Ni Hali na sio mahali.
Na kwamba kitu kitakachomkuta roho ya mtu muovu Ni kutokumuona Mungu milele , hio ndio adhabu kwa wenye dhambi, na wema mbingu yao Ni kumuona Mungu tu.
Hayo alisema nje ya mahubiri ya kanisani, akiwa kanisani anazungumza kinyume!
Mi naona wenginwa mapadre hata hawaamini Bali wapo kiugizaji.
Kuna mmoja niliwahi kumsikia akisema Kama kusoma amesoma Sana tena Sana na Ni kweli amesoma !
Yeye alisema kule kusema Kuna Moto was milele Ni fix, kule kusema Kuna mwisho wa dunia Ni fix.
Akasema pia hakuna sehemu kuliko na mbinguni au peponi , Bali mbinguni Ni Hali na sio mahali.
Na kwamba kitu kitakachomkuta roho ya mtu muovu Ni kutokumuona Mungu milele , hio ndio adhabu kwa wenye dhambi, na wema mbingu yao Ni kumuona Mungu tu.
Hayo alisema nje ya mahubiri ya kanisani, akiwa kanisani anazungumza kinyume!