Ukiwaangalia kwa makini watu hao wana ugonjwa wa akili.
Wewe muulize tu swali rahisi,kama ana amini George Washington aliwahi kuwepo hapa duniani,kipi kimemfanya aamini je kuna mtu yeyote anasimulia katika mapokezi aliyemuona George Washington tena amesimulia kwa kuanza na tamko hili "Nilimuona George Washington akisema kadha wa kadha..".
Ukitaka kujua namna gani walivyo wajinga watu hawa,waulize swali halafu komaa nao mpaka wajibu,sababu wanakwepa sana maswali hii nahisi washajua madhaifu yao. Sasa akianza kujibu ndiyo utafurahi,juzi hapa nilikuwa najadiliana na Kiranga sehemu,nikambana ajibu maswali yangu akawa ana dai amejibu,mwisho wa siku akakiri hajajibu sasa alivyo anza kujibu ilikuwa kizaa yaani vituko,analeta vitabu kama ushahid ambavyo havihusiani na kadhia husika. Hakurudi tena. Hawa wabaneni katika kujibu maswali ni weupe mno.
Cheki ulivyo na confidence, kama vile unajua unayosemaa,
Ivi unajua sifa mojawapo ya mjinga.... Mjinga huwa anaamini sana yale aliyojifunza na inakuwa ngumu kwake kubadilika kutokana na maarifa mapya yanayokinzana na ujuzi wake wq awali.
Socrates alisemwa na oracle hio kale ya ugiriki kama mtu aliye na busara kuliko wote. Jee unajua sentensi inayojumuisha mafunzo yake yote inasemaje...
Inasema hivi " ninachojua kwa uhakika ni kwamba sijui kitu"
Na je unajua ugonjwa wa akili upo vipi sifa za wenye ugonjwa wa akili unazifahamu? Nafahamu chache kama kusikia sauti kichwani, kuona vitu ambavyo havipo, na kuwa na mashaka kama kuna kitu kinakwangalia matendo yako na kina kalamu kinaorodhesha, tena mpaka hata chooni bado tu kinakufatilia nyendo hata mawazo kinahesabia,
Kuhusu proof ngoja nikupe somo kidogo tuu
Jambo linakuwa linathibitishwa pale zaidi ya ushahidi moja unapotolewa
Mfano
Geogre washington ameacha shahidi nyingi sana kuna barua alizoandika, kuna kaburi, kuna story za watu waliokutana,kuna evidence ya vita aliyopigana,
Na pia unaongea watu kukimbia maswali huna lolote watalamu wa psychology wanajua tuu hio ni self defence yaani unapakazia wengine madhaifu ambayo unayo
Nikuulize swali je ni kitabu gani cha mkusanyiko wa waandishi ambao hao waandishi sio wao walioandika hicho kitabu?