ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 17,640
- 22,748
Jamaa hata yale maajabu ya musa kuwekwa museum pale misri yanamfanya asiamini kama kuna Mungu....Mara nyingi nimekuwa nikiwaza huyu member hapa JF atakuwa alikutana na incident iliyomfanya akamchukia Mungu.
Hapa anaeleza namna alivyokuwa anasali na Nyerere pale St Peters
My take, huyu anahitaji kuombewa ili amrudie muumba wake.
Mshana Jr