Umenisoma vizuri, umetoa muhtasari mzuri.Kilanga aamini chochote(super nature) na zaidi ye hataki kuamini, anataka KUJUA .
Uchawi, vibweng'o, majini kwake ni HEKEYA tu, hakuna anaeweza kuthibitisha kwamba vipo.
asante, na nadharia unaitafsiri vipi?Ni kauli au kitendo kuafikiana na ukweli.
Kupinga uwepo wa Mungu kwa fikra na akili za kibinadamu ambazo zimeshindwa kugundua zaidi ya 80% ya viumbe vya baharini na bahari kwa ujumla ni upumbavu mmoja mkubwa sana haijalishi wewe ni mwana falsafa au La!Ni either ni Wakatoliki au Wamepita Shule za Kikatoliki au zilizoanzishwa kwa mpango wa Katoliki.
Sababu kuu kunatolewa elimu high class kichwa chako kinafunguka ni wewe sasa kuendelea kuamini au kutokuamini tena.
Kwenye Falsafa kwa wanaosoma Upadri kuna Module mnafundishwa kupinga uwepo wa Mungu. Utapigwa hoja na fact mabalimbali kutoka kwa wanafalsafa na wanasayansi wa kale wanaopinga uwepo wa Mungu. Kisha utaletewa hoja pia za wanafalsafa wa Kikatoliki wanaoelezea uwepo wa Mungu kama Thomas Aquinas, Paulo, Ignas, Franscis, etc.
Kazi inabaki kwako kuamini au kutokuamini [emoji3577]
JapanElimu ni nini kwanza?
Socrates alisoma shule gani?
Mimi nimesoma Kumamoto, nikamalizia Surabaya, unapajua Kumamoto na Surabaya?
Freedom.Kweli asee kuna jamaa nilisoma nae alikuwa TYCS muhumini mzuri sana! Amekuja kuwa atheist mwenye misimamo ya hali ya juu! What's behind being a roman catholic then suddenly an atheist?
Ni kanuni kanuni katika ambayo hutokana na wazo lenye kuambatana na majaribio au wazo tu.asante, na nadharia unaitafsiri vipi?
Kuna muda kujadiliana na wewe ni kama najadiliana na mtoto ambaye ana matatizo ya akili.Sasa nithibitishe nini?
Unaweza kuthibitisha ile quote ya mwisho sio ya sndanguja?
Akikujibu nistue.Big bang ni nini ? Can you prove it ?
How is time not fundamental ? Ebu tupe mifano ya universe ambazo hazina time, ambazo zina multi dimensions time, na ambazo zina reversible time
Na katika yote hiyo tuthibitishie kwamba ni kweli..
How is time standing still ? From which perspective have you taken your reference ?
Unaweza kuProve hio ? Big bang theory imekuwa proved, Au ni story za vijiweni tu ?
Kwanini msingi wa kuulizwa hilo swali Lina makosa ? Kuna uhusiano gani kati ya hilo swali na huo mfano uliotoa ? Huoni kwamba ni very different things ? Kama kuna uhusiano, unaweza kututhibitishia ?
Ni perspective gani hiyo inayohitajika ili kuanza kuuliza maswali katika level hiyo ?
Kama ni waandishi wa kueleweka, Kwanini mpaka wameshindwa kutambua chimbuko la ulimwengu, na baadhi ya mambo kama vile siri ya kifo, etc ?
Mwisho nikuulize,
Qur'an ni maandiko ya nani ?
"Katika universe yetu hii, from the perspective of a ray of light moving at the speed of light in a vacuum, time is standing still."Msingi wako mzima wa kuuliza swali wa "nini kilikuwapo kabla ya big bang" unatokana na uzoefu wako wa sasa, ambao upo katika time.
Time supposedly ina past, present and future. Causality inaenda kwa vitu vinavyoanza mwanzo kusababisha vitu vinavyokuja baadaye.
Sasa ukisoma Physics sana, hususan Quantum Physics unakutana na habari kwamba time si kitu fundamental.
Katika multiverse theory kuna universes hazina time, nyingine zina multi dimensions za time, nyingine zina reversible time.
Katika universe yetu hii, from the perspective of a ray of light moving at the speed of light in a vacuum, time is standing still.
Kwa universe yetu hii, per Big Bang Theory, utasoma kwamba time nayo ilianza takriban miaka bilioni 13.8 iliyopita.
Na ukiuliza nini kilikuwapo kabla ya time kuanza ni sawa na kuuliza rangi ya wimbo wa taifa ni rangi gani, au kuuliza "what is north of the north pole?", swali halina jibu kwa sababu msingi wa kuulizwa kwake una makosa.
Unahitaji the right perspective kabla ya kuanza kuuliza maswali katika level hiyo.
Unahitaji kusoma sana hesabu na theoretical physics, uzame sana kwenye Einstein's Relativity na Quantum Physics.
By the way thanks for mentioning Krauss, ninavyo vitabu vyake. Umenifanya niamke niangalie bookshelf nimekutana na kitabu chake "Quintessence :The Mystery of Missing Mass In The Universe". Ninavyo vingine hata sivioni viko wapi.Too many books.
Nikijibizana na mtu ananitajia wandishi kama hawa napata nafuu kwa kujua huyu anasoma waandishi wa kueleweka, si kuishia kunukuu Biblia na Quran tu.
Speed ya light ni 3 x 10^8/s kwa observer anayeiangalia ray of ligh, kama wewe na mimi."Katika universe yetu hii, from the perspective of a ray of light moving at the speed of light in a vacuum, time is standing still."
[emoji121] Hapo, unajua speed of light ni approximately 3×10^8 m/s? Unajua hiyo per second inamaanisha nini ?
Time inakuwaje stand still? Na wakati ray of light ina occupy a certain distance at a certain period?
N ulivyoongelea stan still ni kwa frame ipi of refference?
N.b
Ninesoma quantum physic, relativity (both special and general).
Also usichokijua tu ni kwamba universe pia ina expand at a speed greater than the speed of light.
Umeniambia nisichokijua ni kwamba universe ina expand at a speed faster than that of light/"Katika universe yetu hii, from the perspective of a ray of light moving at the speed of light in a vacuum, time is standing still."
[emoji121] Hapo, unajua speed of light ni approximately 3×10^8 m/s? Unajua hiyo per second inamaanisha nini ?
Time inakuwaje stand still? Na wakati ray of light ina occupy a certain distance at a certain period?
N ulivyoongelea stan still ni kwa frame ipi of refference?
N.b
Ninesoma quantum physic, relativity (both special and general).
Also usichokijua tu ni kwamba universe pia ina expand at a speed greater than the speed of light.
This is a super understanding!Speed ya light ni 3 x 10^8/s kwa observer anayeiangalia ray of ligh, kama wewe na mimi.
Kutoka kwa perspective ya ray of light, per relativistic calculations, if a ray of light had consciousness, moving at that speed (speed of electromagnetic waves in a vacuum), the universe would appear timeless.
From the perspective of a ray of light, time stands still.
If you are familiar with relativity, per relativity, the more you approach the speed of light, the more you slow down the passage of time (time dilation).In a purely theoretical thought experiment, if you were able to reach the speed of light, time would stand still.
From there, moving faster than the speed of light is similar to moving backwards in time.
For a photon moving at the speed of light, it is equally valid to say that time does not exist or distance does not exist, it is everywhere along it's path at once.
Hapa wameelezea kwa mfano mzuri wa kutafuta muda unaochukuliwa na photon kutoka kwenye jua mpaka duniani, kutoka kwenye perspective ya photon.
How Do Photons Experience Time?
Einstein's relativity tells us how motion through space affects how our clocks run. But it all breaks down when you move at the speed of light!www.forbes.com
Also see
Does light experience time?
Have you ever noticed that time flies when you're having fun? Well, not for light. In fact, photons don't experience any time at all. Here's a mind-bending concept that should shatter your brain into pieces.phys.org
Sasa unataka uthibitisho gani wakati maneno yale ndo yamesimama kama uthibitisho wenyewe?Kuna muda kujadiliana na wewe ni kama najadiliana na mtoto ambaye ana matatizo ya akili.
Nimekwambia thibitisha ya kuwa ya maneno ya herufi kubwa ni ya sndanguja. Unaniuliza tena swali uthibitishe nini,lakini hilo halitoshi unakuja tena kuuliza swali kwamba naweza kuthibitisha kwamba ile quote ya sndanguja ? Unatakiwa ukue,huyo ni wewe ndiye unaye dai kuwa ni mungu,mimi simjui ndiyo maana nahoji. Sasa hili ni jukumu lako.
Nasubiri ithibati.
Maneno yale hayajasimama kama uthibitisho sababu wewe umenukuu,na ukasema ni maneno ya fulani. Sasa ni juu yako kututhibitishia hilo. Usipoteze muda.Sasa unataka uthibitisho gani wakati maneno yale ndo yamesimama kama uthibitisho wenyewe?
Nimekwambia uthibitishe sababu sijui ya nani ila umeandika wewe. Sasa usiulize maswali ya kitoto na kukimbia swali.Kwa hiyo unataka kusema yale maneno ni yangu?
Unarudia ujinga ule ule na kupoteza muda.Unaweza kuthibitisha yale maeno sio ya sndanguja?
Naona unazidi kuthbitisha ya kuwa wewe ni mgonjwa wa akili na hiki ulichokiandika huna ushahidi nao.Uthibitisho mwingine kutilia mkazo kua yale ni maneno yake namuachia line ya mwisho aandike tena
MIMI SNDANGUJA MUUMBA WAKO NATHIBITISHA KUA ILE NUKUU NI YANGU
kwani kipi kigezo kinachofanya maneno yaliyo nukuliwa yasiwe utibitisho?Maneno yale hayajasimama kama uthibitisho sababu wewe umenukuu,na ukasema ni maneno ya fulani. Sasa ni juu yako kututhibitishia hilo. Usipoteze muda.
unaweza kuthibitisha kua yale maneno nimeandika mimi?Nimekwambia uthibitishe sababu sijui ya nani ila umeandika wewe. Sasa usiulize maswali ya kitoto na kukimbia swali.
ushahidi ni quote iliyoandikwa kwa capital kubwa, huo ndio ushahidi kuonesha sndanguja yupo na ndo aliyeandika hiyo lineUnarudia ujinga ule ule na kupoteza muda.
Ungeuliza swali endapo ningekuwa nimekanusha juu ya hilo,ila nimehoji na kutaka ushahidi kwanza kutokana na kile kilichomo katika maneno hayo.
hii ni dalili njema inayoonesha umeridhika na uthibitisho aliokupa sndangujaNaona unazidi kuthbitisha ya kuwa wewe ni mgonjwa wa akili na hiki ulichokiandika huna ushahidi nao.
Sasa cheza vizuri usichafuke usije kuchapwa na mkubwa wako.
Kazi yangu nimemaliza.
Yarejeshe kwa unayemnasibisha kwayo. Hiki ndiyo kigezo.kwani kipi kigezo kinachofanya maneno yaliyo nukuliwa yasiwe utibitisho?
Kazi yangu nimemaliza.ushahidi ni quote iliyoandikwa kwa capital kubwa, huo ndio ushahidi kuonesha sndanguja yupo na ndo aliyeandika hiyo line
Ukisema huo sio ushahidi unatakiwa uthibitishe kwanini huo usiwe ushahidi, kwakua quote ile ilikua inaushahidi wa kuonesha sndanguja yupo nawe umepinga kua sio ushahidi itakubidi pia uthibitishe sndanguja hayupo