Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Labda alisoma kwa makini historia ya kanisa akagundua mambo ndani ya kanisa .
 
Quran inasema Allah kasema kuna watu Waislamu wasibishane nao, kwa sababu watu hao Allah mwenyewe kawaziba macho na masikio, kisha kawafanya mioyo yao iwe migumu kumuelewa.

Halafu, watu hao hao ambao Allah kawafanya macho yao yasimuone, masikio yao yasimsikie wala mioyo yao isimjue, wakishindwa kumjua Allah, kwa sababu Allah kawazuia wasimjue, Allah atawahukumu vikali kwa kutomjua.

Halafu unaambiwa Allah ni Mungu wa haki yote, upendo wote, ujuzi wote na uwezo wote.

Sasa mtu anayeamini Mungu huyu Allah, hataki reason wala logic, unaanzaje kubishana naye?
kwaiyo kwa lugha allah anamakusudi yake watu wengine wasiuelewi uislam ili awa adhibu vikali?????? kuna mda huo naona dini inazuia binadamu kuwa kwa kina ili hali tulishapewa hofu
 
Maneno yale hayajasimama kama uthibitisho sababu wewe umenukuu,na ukasema ni maneno ya fulani. Sasa ni juu yako kututhibitishia hilo. Usipoteze muda.

Nimekwambia uthibitishe sababu sijui ya nani ila umeandika wewe. Sasa usiulize maswali ya kitoto na kukimbia swali.

Unarudia ujinga ule ule na kupoteza muda.

Ungeuliza swali endapo ningekuwa nimekanusha juu ya hilo,ila nimehoji na kutaka ushahidi kwanza kutokana na kile kilichomo katika maneno hayo.

Sasa kama unaleta mzaha katika mambo yanayo hitaji umakini wa hali ya juu,hapa hakuna pa kutokea. Weka ithibati ya kwamba hayo maneno ni ya huyo uliyemtaja na uonyeshe uwezekano huo yaani uhalisia.

Naona unazidi kuthbitisha ya kuwa wewe ni mgonjwa wa akili na hiki ulichokiandika huna ushahidi nao.

Sasa cheza vizuri usichafuke usije kuchapwa na mkubwa wako.

Kazi yangu nimemaliza.
wakati ukisubiri uthibitisho kua aliesema yale maneno ni SNDANGUNJA(ambao najua haupo zaidi ya simulizi za Scars ,ww tupe ushahidi wa QUR AN ni maneno ya MUNGU/Mwenyezi Mungu.


natanguliza shukrani.
 
ushahidi ni quote iliyoandikwa kwa capital kubwa, huo ndio ushahidi kuonesha sndanguja yupo na ndo aliyeandika hiyo line

Ukisema huo sio ushahidi unatakiwa uthibitishe kwanini huo usiwe ushahidi, kwakua quote ile ilikua inaushahidi wa kuonesha sndanguja yupo nawe umepinga kua sio ushahidi itakubidi pia uthibitishe sndanguja hayupo
hahaaaa umeamua kuturn argument katika mtindo wa yy avae viatu vyako,ila nadhani hajaliona hili!.
 
hahaaaa umeamua kuturn argument katika mtindo wa yy avae viatu vyako,ila nadhani hajaliona hili!.
Mtindo wangu na wake haufanani sababu mimi naongelea uhalisia yeye analeta utoto ambao nafsi yake inashuhudia na inajulikana wazi na ndiyo maana maswali hajibu.

Nilichokuwa nakifanya kwake ni kuonyesha ujinga wake ulipo na ndiyo maana nikamwambia kazi yangu nimemaliza na hivi ndivyo nilivyo mimi.

Narudi katika swali lako.
 
wakati ukisubiri uthibitisho kua aliesema yale maneno ni SNDANGUNJA(ambao najua haupo zaidi ya simulizi za Scars ,ww tupe ushahidi wa QUR AN ni maneno ya MUNGU/Mwenyezi Mungu.


natanguliza shukrani.
Kwanza kabisa swali hili halikuanza leo kwani Mtume zama zake walio dhidi yake walikuwa wanamtaka ushahidi juu ya ukweli wa kile anachokisema,wakawa wanamuita kwa majina mengi mara mchawi mara mwenda wazimu,mara mzushi na yasiyokuwa hayo. Allah akawapa kazi (Challange) watu hao,akasema :

88. Sema: Wangeli kusanyika watu na majini ili walete mfano wa hii Qur'ani basi hawaleti mfano wake, hata wakisaidiana wao kwa wao.(al-Israa : 88)

Lakini haikuishia hapo akasema tena Allah mtukufu.

13. Au wanasema: Ameizua? Sema: Basi leteni Sura kumi zilizo zuliwa mfano wa hii, na waiteni muwawezao badala ya Mwenyezi Mungu, ikiwa mnasema kweli.

14. Na wasipo kuitikieni, basi jueni ya kwamba (hii Qur'ani) imeteremshwa kwa ujuzi wa Mwenyezi Mungu, na kwamba hapana mungu ila Yeye. Basi je! Nyinyi ni Waislamu? (Huud : 13-14)

Akasema tena Allah mtukufu.

23. Na ikiwa mna shaka kwa hayo tuliyo mteremshia mja wetu basi leteni sura moja ya mfano wake, na muwaite mashahidi wenu badala ya Mwenyezi Mungu, ikiwa mnasema kweli. (al-Baqarah : 23)

Huu ushahidi wa kwanza....

Naendelea ....
 
Kwanza kabisa swali hili halikuanza leo kwani Mtume zama zake walio dhidi yake walikuwa wanamtaka ushahidi juu ya ukweli wa kile anachokisema,wakawa wanamuita kwa majina mengi mara mchawi mara mwenda wazimu,mara mzushi na yasiyokuwa hayo. Allah akawapa kazi (Challange) watu hao,akasema :

88. Sema: Wangeli kusanyika watu na majini ili walete mfano wa hii Qur'ani basi hawaleti mfano wake, hata wakisaidiana wao kwa wao.(al-Israa : 88)

Lakini haikuishia hapo akasema tena Allah mtukufu.

13. Au wanasema: Ameizua? Sema: Basi leteni Sura kumi zilizo zuliwa mfano wa hii, na waiteni muwawezao badala ya Mwenyezi Mungu, ikiwa mnasema kweli.

14. Na wasipo kuitikieni, basi jueni ya kwamba (hii Qur'ani) imeteremshwa kwa ujuzi wa Mwenyezi Mungu, na kwamba hapana mungu ila Yeye. Basi je! Nyinyi ni Waislamu? (Huud : 13-14)

Akasema tena Allah mtukufu.

23. Na ikiwa mna shaka kwa hayo tuliyo mteremshia mja wetu basi leteni sura moja ya mfano wake, na muwaite mashahidi wenu badala ya Mwenyezi Mungu, ikiwa mnasema kweli. (al-Baqarah : 23)

Huu ushahidi wa kwanza....

Naendelea ....
Endelea ila mpaka hapo sijaona ushahidi, zaidi naona "fasihi simulizi" na mapokeo, na unatumia reference ya kitabu nnachohoji authentication yake.
 
Ibilisi mtoto wa shetani, Endelelea tu kumpoteza ndugu yako, mtakutana pamoja Fii naari jahannam, mtakua kuni za motoni.,.
kwanini umtishie mtu asie amini katika mungu kuwa na jihannam ilihali hyo jihnamu akuna alieithibisha????? wengi mna amini katka sababu ya hofu ya jihannamu akipatikana mtu hana iyo hofu inaonekana shetani
 
wakati ukisubiri uthibitisho kua aliesema yale maneno ni SNDANGUNJA(ambao najua haupo zaidi ya simulizi za Scars ,ww tupe ushahidi wa QUR AN ni maneno ya MUNGU/Mwenyezi Mungu.


natanguliza shukrani.
Ushahidi huu apa chini....
Je, ww unaweza kuniambia Qur'an ni maandiko ya nani ?.... wenzako mpaka leo wameshindwa kunijibu
 

Attachments

Mtindo wangu na wake haufanani sababu mimi naongelea uhalisia yeye analeta utoto ambao nafsi yake inashuhudia na inajulikana wazi na ndiyo maana maswali hajibu.

Nilichokuwa nakifanya kwake ni kuonyesha ujinga wake ulipo na ndiyo maana nikamwambia kazi yangu nimemaliza na hivi ndivyo nilivyo mimi.

Narudi katika swali lako.
Unaanzaje kumkosoa mtu kuonesha hayuko sahihi kwa kujitanabaisha kwamba wewe ndio uko sahihi kwa kitu ambacho umekiri kua haukijui maana yake?
 
Ushahidi huu apa chini....
Je, ww unaweza kuniambia Qur'an ni maandiko ya nani ?.... wenzako mpaka leo wameshindwa kunijibu
kwanza sio kweli kua hujajibiwa hilo swali

kwani ule ushahidi wa muumini mwenzako niliokupa siku ile ukionesha walioandika kuran haukuuona?

gusa link hii itakupeleka kwenye jibu ambalo ulipewa na ukalikimbia
 
Kwanza kabisa swali hili halikuanza leo kwani Mtume zama zake walio dhidi yake walikuwa wanamtaka ushahidi juu ya ukweli wa kile anachokisema,wakawa wanamuita kwa majina mengi mara mchawi mara mwenda wazimu,mara mzushi na yasiyokuwa hayo. Allah akawapa kazi (Challange) watu hao,akasema :

88. Sema: Wangeli kusanyika watu na majini ili walete mfano wa hii Qur'ani basi hawaleti mfano wake, hata wakisaidiana wao kwa wao.(al-Israa : 88)

Lakini haikuishia hapo akasema tena Allah mtukufu.

13. Au wanasema: Ameizua? Sema: Basi leteni Sura kumi zilizo zuliwa mfano wa hii, na waiteni muwawezao badala ya Mwenyezi Mungu, ikiwa mnasema kweli.

14. Na wasipo kuitikieni, basi jueni ya kwamba (hii Qur'ani) imeteremshwa kwa ujuzi wa Mwenyezi Mungu, na kwamba hapana mungu ila Yeye. Basi je! Nyinyi ni Waislamu? (Huud : 13-14)

Akasema tena Allah mtukufu.

23. Na ikiwa mna shaka kwa hayo tuliyo mteremshia mja wetu basi leteni sura moja ya mfano wake, na muwaite mashahidi wenu badala ya Mwenyezi Mungu, ikiwa mnasema kweli. (al-Baqarah : 23)

Huu ushahidi wa kwanza....

Naendelea ....
kabla ya yote unathibitisha vipi kua hizo ni nukuu za Allah na sio kwamba ni mtu tu kaandika kua "Allah mtukufu akasema"
 
Endelea ila mpaka hapo sijaona ushahidi, zaidi naona "fasihi simulizi" na mapokeo, na unatumia reference ya kitabu nnachohoji authentication yake.
Umeelewa kilicho andikwa hapo ?

Ulichotakiwa kufanya wewe ukosoe kilicho andikwa humo au ufanye kama yaliyo semwa yafanywe humo.

Hapa unahitimisha ya kuwa huna hoja ya kupinga nilichokiandika bali hukitaki. Maana yake ni kuwa hata nikikupa shahidi elfu moja hutakubali.

Kwanini natumia kitabu hiki hiki kuthibitisha ukweli wake,sababu shahidi wa kwanza katika jambo husika ni nafsi ya kwanza.

Nakuuuliza swali vipi wewe huwezi kuwa shahidi namba moja juu jambo lako au kukuhusu wewe,yaani tukitaka kujua ukweli halisi kukuhusu wewe,tusikuulize wewe au tuwaulize wengine ? Sasa msiwe wajinga kiasi hiki,akili zenu mnatakiwa mzitumie vizuri,ukiandikiwa kitu kifikirie kwanza.

Lakini ushahidi wa pili ni kuwa,wanadamu ni wakosaji na tunafanya makosa,laiti kama Qur'aan ingekuwa si maneno ya Allah basi mngekuta kujichanganya kwingi na makosa mengi lakini,hukuti haya katika Qur'aan.

Anasema tena Allah :

82. Hebu hawaizingatii hii Qur'ani? Na lau kuwa imetoka kwa asiye kuwa Mwenyezi Mungu bila ya shaka wangeli kuta ndani yake khitilafu nyingi. (an-Nisaa : 82)

Sasa nategemea ukija uje kunikosoa si unalia lia na utoe hoja za maana.

Naendelea...nakuja na ushahidi wa tatu.
 
kwanini umtishie mtu asie amini katika mungu kuwa na jihannam ilihali hyo jihnamu akuna alieithibisha????? wengi mna amini katka sababu ya hofu ya jihannamu akipatikana mtu hana iyo hofu inaonekana shetani

Pole sana
 
Back
Top Bottom