Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
nithibitishie kua umeliona jibu kupitia link niliyokupa, ukishindwa kufanya hivyo nitakua nimekuthibitishia niliyosema kua una matatizo ya machoThibitisha hayo unayosema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nithibitishie kua umeliona jibu kupitia link niliyokupa, ukishindwa kufanya hivyo nitakua nimekuthibitishia niliyosema kua una matatizo ya machoThibitisha hayo unayosema
nithibitishie kua umeliona jibu kupitia link niliyokupa, ukishindwa kufanya hivyo nitakua nimekuthibitishia niliyosema kua una matatizo ya machoK
Kwanini nisilione jibu ?
kwanini ulakini usiwe kwako ambaye umepewa jibu umeshindwa kuliona?Kuna walakini juu ya msimamo wako kama unashindwa kujua Qur'an ni maandiko ya nani...
Inakuwaje unapinga kitabu halafu humjui mwandishi ? Isn’t that stupidity ?
umeona sasa hata uliposhindwa kuona napo hujapaona mbaya zaidi unataka nikuoneshe upaoneWapi nimeshindwa kuliona ?
Vp Kama dini zote hazieleweki!Watu wa aina hii huwa waovu na huwa hawachuji baya na zuri..wengi wao huwa walabata na .... Ukiona din unayoabudu huielewi hamia nyingine...lkn sio kusema hakuna Mungu....
Mkuu, hao ndivyo walivyo wanauliza maswali wanapewa majibu yaliyo sahihi, ukiwauliza wao maswali hawana uwezo wa kujibu huishia kukushambulia na kukuingizia concepts tofauti na maswali unayouliza ili kupotosha lengo la swali husika.Upo sahihi kbs mkuu...
Mm maswali yangu wanayaona, wanayasoma, na wanayakimbia,, wengine hawajibu kbs..
Inatakiwa wajitafakari sana na imani yao !!
Ebu onyesha swali ambalo halijajibiwa kutoka kwa theist ukiachana na huyo kibogoyo wa machoAtheist wote ni waoga na wakimbiaji wa kujibu maswali, pia ni watu wenye imani (Atheism Faith) iliyopotoshwa na waanzilishi wa imani hiyo.
Wapi umethibitisha mungu yupo kama kweli mkiulizwa maswali mnayayajibu?Mkuu, hao ndivyo walivyo wanauliza maswali wanapewa majibu yaliyo sahihi, ukiwauliza wao maswali hawana uwezo wa kujibu huishia kukushambulia na kukuingizia concepts tofauti na maswali unayouliza ili kupotosha lengo la swali husika.
Dhana hazina nafasi,tafuta uhakika uje ujenge hoja.Unajuaje katika mambo ambayo binadamu hawezi kufanya sio pamoja na kuthibitisha Mungu yupo kwasababu hayupo?
Unajuaje kua watu walivyoona kua binadamu ana huo udhaifu wakatumia kama mwanya kupenyeza habari za mungu ili kila atayetaka kujua ukweli apewe hizo aya kisha aambiwe "Kuna mambo mwanadamu hawezi kufanya ndiyo maana aya ziko wazi jambo hilo"
Lakini pia kama chain nayo ni ushahidi wa kihistoria unaoonesha ukweli wa jambo kwanini chain yako tu ya kihistoria kutoka dini ya kiislam iwe ya kweli halafu chain za dini zingine zisiwe za ukweli?
Hayo ni maswali yanayohoji kujua uhakika wa hicho unachokisimamiaDhana hazina nafasi,tafuta uhakika uje ujenge hoja.
Nipo ....
Sasa tafakari kisha uje kuhoji hilo. Najua hujatafakari na tujadili hicho ambacho kimeandikwa humo,maana wakubwa zako walishindwa hili na walikuwa na elimu na maarifa na kujia lugha vilivyo.Akili ikitafakari lazima itadai uthibitisho ku verify kama kweli hayo ni maneno ya Allah.
ni upumbafu tu ameshindwa kuchambua Africa na matatizo yake na kuleta solution ameamua kuanza kumchambua mungu na wewe unamsifia kwamba anauwezo mkubwaAkili za Kiranga hazichunguziki mkuu, huyu ni miongoni mwa watu wenye uelewa na uwezo mkubwa sana wa kuchambua na kuelezea mambo kwa marefu na mapana, huku yote yakiwa kwa ufasaha.
We hao wakubwa zako waliweka huo uthibitisho?Sasa tafakari kisha uje kuhoji hilo. Najua hujatafakari na tujadili hicho ambacho kimeandikwa humo,maana wakubwa zako walishindwa hili na walikuwa na elimu na maarifa na kujia lugha vilivyo.
Lakini hii haitoshi,mwisho wa siku walikubali ila waliamua tu kukataa kwa sababu zao binafsi.
Sasa tatua hiyo changamoto sababu maneno yanajithibitisha yenyewe.
Hapa naondoka na aya hii ya mwisho,sababu hizo za mwanzo ni muendelezo wako wa kushindwa katika kulinganisha mambo,yaani mfano wako haukidhi haja na uko mbali na jambo hili.Unataka nikiri kwa shurti bila uthibitisho?
Hiyo ni irrelevant ni sawa na mimi niseme haujui hata kuruka sarakasi ya ukutani hivyo haustahili kuhoji nini maana ya kung fu.
Kutokua mjuzi wa lugha sio kigezo cha kukufanya wewe ushindwe kuleta uthibitisho hapa
Nilikiri kwamba huyo simjui sasa wewe ambaye unamjua unawajibika ututhibitishie hilo,ndiyo maana mimi nilihoji na sikukanusha sababu simjui. Lakini ukashindwa,ila nafsi yako inajua kwamba unaleta utoto na mimi lengo langu likawa limetimia.Nithibitishe vipi wakati wewe mwenyewe ulikiri kua haujui?
Dhana haijengi hoja wala sheria mpaka ikidhi vigezo ndiyo maana sisi huwa hatujibu maswali ya uongo ambayo hayana uhalisia ndiyo maana akili zetu huwa nyepesi sana na makini sababu huwa tunafikiria kwa usahihi na kuepukana na kukosea.Hayo ni maswali yanayohoji kujua uhakika wa hicho unachokisimamia
Majibu yake unayo au huna?
Huko mbali unataka niweke mara ngapi ithibati.We hao wakubwa zako waliweka huo uthibitisho?
Maana ndo kitu ambacho nakuja kukuomba ukiweke hapa
Mbona unamuita kigogoyo wa macho?Ebu onyesha swali ambalo halijajibiwa kutoka kwa theist ukiachana na huyo kibogoyo wa macho
Tatizo mkipewa uthibitisho hampo tayari kuupokea akilini kwasababu imani yenu imeshapotoshwa imeamini imani potofu ya (Etheism Faith)Wapi umethibitisha mungu yupo kama kweli mkiulizwa maswali mnayayajibu?