Lakini ukitizama sana na kwa undani watu wengi sana hawaamini katika Mungu hasa. Japo wengi kwa sababu za kutaka kuzikwa au kupata kukubalika na jamii hawawezi kusema ukweli huo. Ila ukitizama matendo na fikra zao halisi ....za wazi na za sirini, ni wazi hawaamini katika Mungu na hata uwezo Mungu. Hata wale wanaokwenda au kushinda katika nyumba za ibada. Deep down hawamuamini Mungu.
Ukisoma cultural anthropology na ethnology, ukaangalia na history of the writing of the Bible kwa mfano, kutoka watu kama Dr. James Kugel, unaweza kuelewa vizuri kwamba Biblia si kitabu cha Mungu, ni kitabu cha Wayahudi waliokuwa wanajaribu kuelezea mwanzo wa taifa lao.
Na kwa kweli, kitabu cha Mwanzo hakielezei historia ya kuumbwa mtu wa kwanza Adam, kinaelezea historia ya mwanzo wa taifa la/ Utamaduni wa Wayahudi.
Sawasawa na sisi tunavyoweza kuandika historia na ngano hivyo hivyo kuhusu vyanzo vya makabila yetu.
Na hapo ndipo point ya hii thread inavyokuja.
Kuna watu waliwahi kuandika na kutuzidi kutangaza sehemu zao, wakazifanya ziwe takatifu.
Zamani Waarabu wa Arabia walikuwa wanasali kwa kuelekea Jerusalem, wakaona hu ujinga, tuache kuabudu Jerusalem, tuanze kusali kuelekea kwetu Mecca.
Sasa, huku Africa wengi bado tunaamini kwamba hizisehemu zina utakatifu wa Mungu, wakati hizi ni hadithi za kuwekwa na watu tu katika kutafuta majibu ya maswali magumu.
Kuna hiki kitabu nakipenda sana kimeongelea mengi sana.
Kinaitwa "How To Read The Bible: A Guide To Scripture Then and Now", kinagusa history of the Bible, cultural anthropology na theology.
In How to Read the Bible, Harvard professor James Kugel leads the reader chapter by chapter through the "quiet revolution" of recent biblical scholarship, showing time and again how radically the interpretations of today's researchers differ from what people have always thought. The story of...
www.jameskugel.com
How to Read the Bible
A Guide to Scripture, Then and Now
READ AN EXCERPT
Scholars from different fields have joined forces to reexamine every aspect of the Hebrew Bible. Their research, carried out in universities and seminaries in Europe and America, has revolutionized our understanding of almost every chapter and verse. But have they killed the Bible in the process?
In How to Read the Bible, Harvard professor James Kugel leads the reader chapter by chapter through the “quiet revolution” of recent biblical scholarship, showing time and again how radically the interpretations of today’s researchers differ from what people have always thought. The story of Adam and Eve, it turns out, was not originally about the “Fall of Man,” but about the move from a primitive, hunter-gatherer society to a settled, agricultural one. As for the stories of Cain and Abel, Abraham and Sarah, and Jacob and Esau, these narratives were not, at their origin, about individual people at all but, rather, explanations of some feature of Israelite society as it existed centuries after these figures were said to have lived. Dinah was never raped — her story was created by an editor to solve a certain problem in Genesis. In the earliest version of the Exodus story, Moses probably did not divide the Red Sea in half; instead, the Egyptians perished in a storm at sea. Whatever the original Ten Commandments might have been, scholars are quite sure they were different from the ones we have today. What’s more, the people long supposed to have written various books of the Bible were not, in the current consensus, their real authors: David did not write the Psalms, Solomon did not write Proverbs or Ecclesiastes; indeed, there is scarcely a book in the Bible that is not the product of different, anonymous authors and editors working in different periods.
Such findings pose a serious problem for adherents of traditional, Bible-based faiths. Hiding from the discoveries of modern scholars seems dishonest, but accepting them means undermining much of the Bible’s reliability and authority as the word of God. What to do? In his search for a solution, Kugel leads the reader back to a group of ancient biblical interpreters who flourished at the end of the biblical period. Far from naïve, these interpreters consciously set out to depart from the original meaning of the Bible’s various stories, laws, and prophecies — and they, Kugel argues, hold the key to solving the dilemma of reading the Bible today.
How to Read the Bible is, quite simply, the best, most original book about the Bible in decades. It offers an unflinching, insider’s look at the work of today’s scholars, together with a sustained consideration of what the Bible was for most of its history — before the rise of modern scholarship. Readable, clear, often funny but deeply serious in its purpose, this is a book for Christians and Jews, believers and secularists alike. It offers nothing less than a whole new way of thinking about sacred Scripture.
Misquoting jesus and jesus interupted by bart ehrman hakuna mkristo free thinker atasoma hivi vitabu bado akaamini katika biblia maana ni fact tupu zipo hapo ..lakini pia kingine ni misgoded and goded by lawrence brown....vinajaribu kuelezea the fact behind bible japo vinasapoti quran lakini biblia humo imechambuliwa kiasi cha kutosha na kwa evidence nyingi .
Misquoting jesus and jesus interupted by bart ehrman hakuna mkristo free thinker atasoma hivi vitabu bado akaamini katika biblia maana ni fact tupu zipo hapo ..lakini pia kingine ni misgoded and goded by lawrence brown....vinajaribu kuelezea the fact behind bible japo vinasapoti quran lakini biblia humo imechambuliwa kiasi cha kutosha na kwa evidence nyingi .
Bart Ehrman nimemsoma, ukiwa na upeo wa kusoma waandishi kama huyu ukawaelewa bila kuleta figisu zile za ushabiki haya mambo ya imani za kidini utayaangalia kwa jicho la uelewa wa juu sana.
Tatizo hapa utataka mjadala na watu wengi ambao hawajasoma vitu kama hivi na jina kama la Bart Ehrman ndiyo kwanza wanalisikia.
Mimi mtu akinitajia kwamba kasoma waandishi kama hawa namuheshimu sana upeo wake, yani si lazima tukubaliane kila kitu, hata kama anatetea uwepo wa Mungu na Ukristo/Uislamu, akitetea kwa level ya kuweza kukanusha hoja zilizomo kwenye vitabu kama vya Ehrman anakuwa level tofauti na wafia dini wa kawaida wa JF ambao wamekaririshwa aya wanazipigania kwa identity tu hata kuzitetea kwa mantiki hawawezi.
Umenifurahisha sana kunitajia Bart Ehrman. Jamaa kasoma Princeton Theleogical Seminary, anaichambua Biblia kwa umakini wa mtu aliyesoma Priceton Theological Seminary, halafu anaikosoa.
Akili za Kiranga hazichunguziki mkuu, huyu ni miongoni mwa watu wenye uelewa na uwezo mkubwa sana wa kuchambua na kuelezea mambo kwa marefu na mapana, huku yote yakiwa kwa ufasaha.
Kama hivyo ndivyo, basi angekuwa na uwezo mzuri wa kuweza kumwelezea Mungu "kwa uwezo mkubwa sana wa kuchambua na kuelezea mambo kwa marefu na mapana, huku yote kwa ufasaha". Badala ya kufanya hivyo, yeye anasema "Mungu hayupo" - yaani anakana kuwepo kwa Mungu.
Lakini ukitizama sana na kwa undani watu wengi sana hawaamini katika Mungu hasa. Japo wengi kwa sababu za kutaka kuzikwa au kupata kukubalika na jamii hawawezi kusema ukweli huo. Ila ukitizama matendo na fikra zao halisi ....za wazi na za sirini, ni wazi hawaamini katika Mungu na hata uwezo Mungu. Hata wale wanaokwenda au kushinda katika nyumba za ibada. Deep down hawamuamini Mungu.
Watu wengi matendo yao hayaoneshi kwamba wanaamini Mungu, na ironically, mara nyingine sisi tusioamini Mungu ndio tunaotenda matendo yanayoendana na imani za kuamini Mungu.
Nitakupa mfano mmoja mdogo tu.
Nilikuwa katika kundi moja, mtu mmoja akawa analalamika anaumwa katika hilo kundi.
Wale watu wa kwenye hilo kundi wote wanajinasibu na imani ya Mungu.Kila mmoja akawa anasema "tutakuweka kwenye maombi", na "Mungu atakusaidia".
Mimi siamini katika maombi wala Mungu kumsaidia mtu mwenye matatizo, kwa sababu siamini Mungu yupo. Nakwenda kwa falsafa za kwamba, matatizo ya mtu yatamalizwa na mtu, maombi ni kujiliwaza tu na Mungu hayupo.
Nikaguswa sana na kilio cha yule mtu, ni dada wote tunamjua, hana uwezo, na pale kwenye kikundi kuna watu wana uwezo wa kumsaidia wanajibalaguza kumuombea kwa Mungu.
Mimi nikatembeza muamala chapchap yule dada asaidiwe, nikamtumia rafiki yetu mwingine alikuwa Dar alikuwa na wasaa wa kuweza ku organize mgonjwa apelekwe hospitali.
Kuna rafiki yetu mwingine daktari aka arrange hospitali yule dada apokewe.
Ndani ya muda mfupi ule muamala wangu ukawa umeshawezesha yule mgonjwa akatiwe bima, aanze matibabu.
Huku wengine waliojikita kumuombea mgonjwa kwa Mungu wakawa kama wameona aibu, ukatembea mchango kusaidia mgonjwa.
To make a long story short, wale watu wanaoamini Mungu waliofundishwa usamaria mwema na kusaidia watu wenye matatizo wote walikuwa wanaangaliana wakati mwenzao, rafiki yao waliyemjua kwa miaka mingi anakaribia kufa. Na ninaposema anakaribia kufa si utani.Yule rafiki yetu daktari alikuja kutuambia kwamba pale tungechelewa kidogo tu habari ingekuwa tofauti sana.
Nikatokea gubegube tu hata siamini Mungu yupo, lakini kwa sababu siamini Mungu yupo hilo ndilo limenipa wajibu mimi kufanya kazi ya kusaidia mwenyewe bila kumsukumizia mzigo huo Mungu, kwa sababu najua Mungu hayupo. Nikaanzisha msaada chapchap.
Sasa hapo utaona wasioamini Mungu wanafanya usamaria mwema kirahisi kama vile wanaamini Mungu, wanaoamini Mungu wameendekeza ubinafsi.
Hii dunia kama watu wangekuwa kweli wanaamini Mungu yupo kama wanavyodai, maovu mengi sana yangetoweka.
Watu wanaiba mpaka misikitini. Waziri Mkuu katudanganya msikitini kwamba rais mzima anapiga kazi.
Halafu utaambiwa huyo naye anaamini Mungu.
Ni kweli anaamini Mungu?
Bora hata mimi nimesema siamini Mungu na sijadanganya msikitini kama yeye!
Kama hivyo ndivyo, basi angekuwa na uwezo mzuri wa kuweza kumwelezea Mungu "kwa uwezo mkubwa sana wa kuchambua na kuelezea mambo kwa marefu na mapana, huku yote kwa ufasaha". Badala ya kufanya hivyo, yeye anasema "Mungu hayupo" - yaani anakana kuwepo kwa Mungu.
Unaufahamu mzuri sana. Rc 95% ni allminat ukichanganya na ujenzi huru. Wana elimu isio pimika kwa macho ya kibinadamu, na ndio wanao imiliki dunia kwa utajiri wa Mali na akili, ni Alfa na Omega hapa duniani.
Bila shaka Mr kiranga alisoma kitabu kinacho itwa doctrines. Na hayo ndio majibu alio pata. (Thibitisha mungu yupo). Ukimuendekeza kufuru huwezi ikwepa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.