Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Ni kwa sababu sikujui nieleze vipi ndipo uweze kuamini kwamba yupo.
Hatujafika kwenye wewe kunieleza mimi niamini kwamba Mungu yupo, kwanza mimi sitaki kuamini nataka kujua.

Swali nililokuuliza ni hili hapa.

Sasa unajuaje kwamba huwezi kuthibitisha kwamba Mungu yupo wewe kwa ujinga wako tu, na kiukweli Mungu yupo, au huwezi kuthibitisha kwamba Mungu yupo kwa sababu Mungu hayupo?

Hujajibu swali hili.

Umelielewa swali? Unaweza kulijibu?
 
Unaufahamu mzuri sana. Rc 95% ni allminat ukichanganya na ujenzi huru. Wana elimu isio pimika kwa macho ya kibinadamu, na ndio wanao imiliki dunia kwa utajiri wa Mali na akili, ni Alfa na Omega hapa duniani.
Allminat ni nini ?
 
Hatujafika kwenye wewe kunieleza mimi niamini kwamba Mungu yupo, kwanza mimi sitaki kuamini nataka kujua.

Swali nililokuuliza ni hili hapa.

Sasa unajuaje kwamba huwezi kuthibitisha kwamba Mungu yupo wewe kwa ujinga wako tu, na kiukweli Mungu yupo, au huwezi kuthibitisha kwamba Mungu yupo kwa sababu Mungu hayupo?

Hujajibu swali hili.

Umelielewa swali? Unaweza kulijibu?
Wewe unachotaka ni kujua kutoka kwangu. Siyo kunipangia nikujibu vipi maana hata mimi nikikupangia cha kunijibu tutaelewana vipi? Basi na mimi sitaki unipangie nikujibu vipi.
 
Nashangaa sana Karne ya 21 Bado Kuna mwafrika anaamini Hadith za wagiriki na wayahudi wa kale na kuendelea kuziamini
Hivi nyie watu amkeni muujue ukweli dini ni utapeli wa kale uliodumu miaka elfu nyingi kwenye bongo za watu

Amkeni mnapigwa wadau!

Enyi watu weusi amkeni narudia amkeni huyo Mungu wao hajawahi
kuwa mwema kwenu aisee
Daaaaaa inasikitisha watu kua brain washed!
😢😢😪😥😥
 
Hiyo comment alinijibu mimi mkuu, nina imani Mh Kiranga alikuwa miongoni mwa washauri/wasaidizi/walinzi wa mwalimu kama siyo mseminari ila kiuahalisia dini zetu ukireason sana na kufuatilia mafundisho yake ni kama business plan ya wale jamaa weupe ambao mwendazake alipendelea kuwaita mbuzi dume.
 
Akili za Kiranga hazichunguziki mkuu, huyu ni miongoni mwa watu wenye uelewa na uwezo mkubwa sana wa kuchambua na kuelezea mambo kwa marefu na mapana, huku yote yakiwa kwa ufasaha.
Kiranga anachunguzika ingawa ukweli ana akili nyinyi au uelewa mkubwa.
Hana woga wa kuhoji juu ya Mungu na imani za kidini.
Anajitambua, NI MTU MWENYE FIKRA HURU.
 
Mara nyingi nimekuwa nikiwaza huyu member hapa JF atakuwa alikutana na incident iliyomfanya akamchukia Mungu.

Hapa anaeleza namna alivyokuwa anasali na Nyerere pale St Peters




My take, huyu anahitaji kuombewa ili amrudie muumba wake.
Mshana Jr
A human is not static but dynamic. Kama Muhamad ambaye anasemekana aliwahi kuwa mkristo aliweza kuwa mtume au Paul au Sayyidna Omar kubadilika, Kiranga ni nani. Kama ni binadamu mwenye kufikiri lazima abadilike.
 
A human is not static but dynamic by nature. Kama Muhamad ambaye anasemekana aliwahi kuwa mkristo aliweza kuwa mtume au Paul au Sayyidna Omar kubadilika, Kiranga ni nani. Kama ni binadamu mwenye kufikiri lazima abadilike.
 
I will look for it and post it here.

I am an atheist.I am not anti-theist.

I can even see the reason for people believing in a God, I can explain these reasons, I even have empathy for believers.

I am also some kind of libertarian, so I am an advocate for freedom of religion as it was established by the Universal Declaration of Human Rights since December 10 1948.

President Kagame of Rwanda a few days ago announced that he will require pastors to have a degree in theology, I voiced my strong opposition to this move, as it infringes on the Human Rights of the people of Rwanda.

Even as I am an atheist, I will defend the freedom of religious people to worship as they want, justvas I will defend the freedom of atheist to reject religion.

The most important thing is freedom of choice and self determination.

I can't be anti-theist. I defend the right of religious people to worship their own God as they please. As long as they are not imposing their faith on me.

I do not acknowledge the existence of God outside of what if abstract thought experiments, particularly and starting with an all knowing, all loving and and all capable God such as the one preached about in the Bible and the Quran.

If atheism is the absence of belief in God. That is me.
.
If anti theism is the conscious, deliberate and almost activism opposition to theism. I am not that much of an anti theist. For starters, I do not initiate much in these conversations. An anti theist to me must initiate the agenda, not merely respond to something that is already in the conversation.

If you have noticed, I hardly start anything about God here. In fact I hardly start anything.

I just reply to people and air my views, especially by showing obvious contradictions.

Mostly the cognitive dissonance is so thick people shrug off these obvious contradictions.

Mtu anawezaje kupinga au kukataa kitu ambacho kwa yeye hakipo. Au anaamini hakipo. Ataanzia wapi? Atheist- Theos— God a - ohne / without. Ukianzia tu kwenye etymology tu unaona uwepo unaofanya kutokuwepo.
 
Ahsante sana mkuu kwa kutunza kumbukumbu.

Nilipata miito miwili kwa wakati mmoja, kuchagua kuwa Buddhist Monk milima ya Himalaya, au kwenda Wall St. kupiga dola.

Hapo nilikuwa natafsiri "The Dhammapada" na rafiki yangu Andy Nyerere kwenda Kiswahili.

Nikamuachia mikoba Andy mimi nikakwea pipa.

Mpaka leo sijui kama Andy alimaliza ile kazi, maana nilipotezea mawasiliano na Africa kwa muda fulani.

Kwa waliopenda kujua kwa nini niliamua kuacha kuamini uwepo wa Mungu, nitaweka kitabu kilichonishawishi mara ya mwisho kabisa, kinaitwa "The Philosophy of Religion: An Anthology".

Hususan kuna sehemu wanaongelea "the problem of evil".

Ni kitabu kizuri sana kina arguments nzuri na nyingi za kutetea uwepo wa Mungu na kupinga uwepo wa Mungu, ni falsafa pana sana.
Kitupie baba
 
Mtu anawezaje kupinga au kukataa kitu ambacho kwa yeye hakipo. Au anaamini hakipo. Ataanzia wapi? Atheist- Theos— God a - ohne / without. Ukianzia tu kwenye etymology tu unaona uwepo unaofanya kutokuwepo.
Kama kuna ugonjwa ambao hauna dawa, halafu anakuja mganga muongo anasema majani yake fulani ni dawa ya huo ugonjwa, na wewe unajua kwamba majani hayo si dawa, unaweza kupinga maneno hayo kwamba majani hayo ni dawa ya huo ugonjwa?

Nikikwambia Mfalme wa Tanzania ni James Bond, 007 jasusi wa Kiingereza, unaweza kupinga?

Nikikwambia kuna pembe tatu yenye pembe nne ambayo hapo hapo ni duara, katika plane Euclidean geometry, unaweza kupinga?
 
Kitupie baba
Kuna mwamba anaitwa 911 kanisaidia kukiweka hapa kipo post namba 59 kama nakumbuka vizuri.

Soma vizuri sana Part 3 "The Problem of Evil" halafu tujadili kisomi zaidi ikiwezekana.

Kitabu kizuri sana kime cover mambo mengi sana ya kutetea na kupinga uwepo wa Mungu.
 
Kiranga anachunguzika ingawa ukweli ana akili nyinyi au uelewa mkubwa.
Hana woga wa kuhoji juu ya Mungu na imani za kidini.
Anajitambua, NI MTU MWENYE FIKRA HURU.
Bora mtu aanzishe headline ya mafafa kwenye kuuza gazeti nitaelewa anapiga hela.
 
Hivi unaelewa unachokiandika kweli ?

Tangu lini Muhammad ( SAW) alikuwa Mkristo ?
Najua na nimefanya makusudi. Kwanini iwezekane kila mtoto akizaliwa awe ni muislam ila baadaye abadilishwe na dunia? Kama ukristo ulikuwapo kabla ya uislam na Yesu alikuja kuwakomboa wanadamu wote,kwanini na Muhamad asiwe miongoni mwao. Sijui kama utaelewa mantiki ya niandikayo.
 
"A child is born with no state of mind, blind to the ways of mankind".

- Grandmaster Falash & The Furious Five "The Message"

Watoto wanazaliwa wakiwa hawajui uwapo wa Mungu, hivyo by definition ni a theists.

Kingine ninachokikubali toka kwako chief, we Hip Hop sana na unaijua.. Watu hawajui kama Grandmaster flash ni one of the pioneer wa Hip Hop.. Respect mkuu
 
Back
Top Bottom