Statics
JF-Expert Member
- Dec 29, 2017
- 394
- 1,015
Kwanini huamini uwepo wa malaika kwasababu hujawahi kuwaona ? Seriously mkuu ? Ebu nipe sababu nyingine sio hii !!Heheeeee taratibu mbona maswali mengi
Haya tulia nikupe majibu
-kuhusu malaika tafadhali acha kuniuliza vitu ambavyo ni vya kufikirika, sijawahi ona huyo kiumbe, na siamini kama kweli anaexist kwa ulimwengu huu AMBAO UPO REAL. jomba yaani ni sawa na kuniuliza kusud la kuumbwa babu chrismass au tooth fairy
-sitatofaitisha kati ya malaika na mwanadamu, nitatofsutishaje na kitu cha kufikirika, ivi ulikiwa wawaza nini kuuliza swali kama hilo. Yaani ni sawa na mtu anayeuliza tofauti ya john cena na thano.... Upo
-huwezi kuja kichwa kichwa unakuja na kuniuliza swali ambalo toka enzi na enzi halina jibu juu ya dhumuni la uwepo wetu hapa duniani ukitegemea ntakupatia jibu, ivi unafikiri jibu la hilo swali linaweza kuenea kwenye server za jamii forum, xiiu
- asiruhusu ..... Hayo tafuta sentensi zako acha kuparamia na kugeuza sentensi UNAFIKIRI NAFANYA MZAHAAA HAPAA
Ni sawa na kusema huamini uwepo wa electricity ( umeme ) kwasababu hujawahi kuuona !!
Una uhakika gani kuwa hilo swali halina jibu tokea enzi na enzi ? Je, Hujawahi kupewa jibu kabisa ? Au, ulipewa jibu ila halijakuridhisha ?