Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

hiki ndo kinaitwa kiburi cha uzima
kama vitu vyote tunavyoviona, hata nguo zina mtengenezaji wake, wewe ndo ukose mtengenezaji wako. na ufike hatua ya kusema hayupo
acha ujeuri ndugu
Kwanza kabisa, kitu kuwa na mtengenezaji wake si lazima mtengenezaji wake awe Mungu.

Pili, dhana nzima ya kusema Mungu asiyeonekana yupo, kwa sababu kika kinachoonekana kina mtengenezajinwake ni kichaa cha aina fulani.

Yani ni bora ungesema habari ya vitu vinavyoonekana kuhalalisha uwepo wa Mungu anayeonekana.

Zaidi, kudai kila kitu kinachoonekana kinq mtengenezaji wake, hujaongelea visivyoonekana.

Na unaonesha hujasoma Quantum Physics ambayo inavunja cause and effect.

Umeonesha ujinga wako.
 
ngoja aje akuulize nae uyo.mtengenezaji alitengenezwa na nani.
Ukimuuliza Physics kaishia wapi kujielimisha kabla ya kurukia dhana ya Mungu jibu lake majanga.

Mtu anamkubali Mungu mwenye contradictions mwanzo mwisho.

Hata kujibuzana naye kimantiki kazi.
 
Watoto wanazaliwa wakiwa hawajui uwapo wa Mungu, hivyo by definition ni a theists.
Si kweli.

Kwahiyo unataka kutuambia kutokujua na kukataa uwepo wa mungu hivi viko sawa ns ndiyo "Atheism" hii ?

Sasa kama hata kutofautisha kati ya kutokujua na kukana unashindwa inakuwaje una mkana Mungu ?
 
Ukimuuliza Physics kaishia wapi kujielimisha kabla ya kurukia dhana ya Mungu jibu lake majanga.

Mtu anamkubali Mungu mwenye contradictions mwanzo mwisho.

Hata kujibuzana naye kimantiki kazi.
Unataka kutuambia kwamba Fizikia ndio mzani wa kuujua ukweli ?

Juzi kama si jana katika mjadala juu ya uwepo wa Mola ndani ya mada fulani,ukaleta habari za Quantum Physics,nikakuuliza hili linaingiaje katika mada hii,ukashindwa kujibu,mwisho wa siku ukawa unaonyesha ujuaji kwenye hakuna,huu ni udhaifu mkubwa sana.

Kaka misingi yako ni dhaifu sana,yaani kila unapoegemea ni padhaifu kushinda hata nyumba ya bui bui. Mara Fizikia mara mantiki,nikikuuliza swali utumie misingi ya mantiki uonyeshe ukweli wako juu ya ukanushaji wa kuwepo Mola utaweza ?
 
Hapa labda katika mambo mengine,ila kuhusu Mungu,sijaona mtu mjinga katika suala hili kwa humu ndani jf kumzidi yeye,hata namna anavyo jadili suala hili anaonyesha anakipinga kitu asichokijua,ndiyo maana huwa tunahitimisha ya kuwa Wakanamungu ni wagonjwa wa akili. Hivi mtu unapata wapi ujasiri wa kumkana usiye mjua ?
Amka ewe mwarabu mweusi huo ndio ukweli huyo Mungu mnayemtetea hajawahi kua msaada kwa watu weusi zaidi ya kuwaongezea mizigo na nira nzito ambazo zinawatesa maelfu ya watu,
Hao miungu wa uyahudi,uyunani na uarabuni wamewaharibu akili watu weusi leo tumekua choka mbaya sababu ya huyo mnatetea hapa
Amkeni nyie black race siku mkiacha huo ujinga wa kuwaabudu hao miungu mtakua free na kuijua kweli!
 
Anhaa kumbe unasema kwamba uwepo wa mema na baya ni kwasababu Muumba mwenyewe ( kwa maamuzi yake) ameruhusu yatokee kwenye ulimwengu wake. Hapo tupo pamoja..

Kungekuwa hakuna mabaya yanayotendeka katika ulimwengu, still watu wangeuliza kwanini Mungu asiruhusu mabaya kutokea !! Hawaoni kwamba logic wanayotumia inawadanganya...
Uko sahihi kabisa.

Wengi wanao ipa kipao mbele elimu ya logic ukiwaangalia kwa umakini wamekaririshwa zile kaida pasi na kuzihoji.

Kuliwahi kupita zama katika uso wa dunia,wanafalsafa na watu wa logic walionekana wajinga na dhaifu sana tena vituko mno kwa kukosolewa kwao katika Logic na Falsafa yaani ilikuwa ukijinasibu na logic au Falsafa unaonekana mjinga wa kutupwa.

Laiti kama watu wangekuwa wanatafakari kwa uhalisia nina amini elimu kama Falsafa na logic zingekuwa hazipo tena.
 
Amka ewe mwarabu mweusi huo ndio ukweli huyo Mungu mnayemtetea hajawahi kua msaada kwa watu weusi zaidi ya kuwaongezea mizigo na nira nzito ambazo zinawatesa maelfu ya watu,
Nataka tujadili kielimu hili jambo,uko tayari ?

Kwako wewe msaada ili uwe msaada huwa una upima kwa mizani gani ?

Ukweli gani unao uzungumzia hapa ?
Hao miungu wa uyahudi,uyunani na uarabuni wamewaharibu akili watu weusi leo tumekua choka mbaya sababu ya huyo mnatetea hapa
Amkeni nyie black race siku mkiacha huo ujinga wa kuwaabudu hao miungu mtakua free na kuijua kweli!
Mtu mwenye akili au mafanikio unampimaje kijana ?
 
Nataka tujadili kielimu hili jambo,uko tayari ?

Kwako wewe msaada ili uwe msaada huwa una upima kwa mizani gani ?

Ukweli gani unao uzungumzia hapa ?

Mtu mwenye akili au mafanikio unampimaje kijana ?
Mtu mwenye akili timamu ni yule aliyejikomboa kutoka kwenye utumwa wa fikra,yaani aliyeacha kuyafuata mafundisho ya wayunani,wayahudi na waarabu wa kale
Huyo kwangu ndie mtu mwenye mafanikio makubwa na ndio atakua binadamu mwenye kujitambua sana
Amka mkuu hujachelewa uwe binadamu unayejitambua toka kwenye nira ya utumwa huko hakuna jema utakalolipata daima mkuu dini ni utapeli wa kale uliodumu maelfu ya miaka amka amka mtu mweusi uukane utumwa!
 
Mtu mwenye akili timamu ni yule aliyejikomboa kutoka kwenye utumwa wa fikra,yaani aliyeacha kuyafuata mafundisho ya wayunani,wayahudi na waarabu wa kale
Huyo kwangu ndie mtu mwenye mafanikio makubwa na ndio atakua binadamu mwenye kujitambua sana
Amka mkuu hujachelewa uwe binadamu unayejitambua toka kwenye nira ya utumwa huko hakuna jema utakalolipata daima mkuu dini ni utapeli wa kale uliodumu maelfu ya miaka amka amka mtu mweusi uukane utumwa!
Naamka vipi wakati wewe unaye niamsha ndiyo umelala fofo.

Mfano wa fikra za utumwa ni upi ?
 
Kwa huo mfano wako unajaribu kusema kwamba kuna uwezekano gwajima ndie tapeli , lakini sio dini yake ?

Unaweza kututhibitishia kuwa huo utapeli umeelekezwa na dini yake ?
Gwajima kaingiaje hapo?
Nimeandika gwajiboy usinitafutie bifu na mtumishi wa Mungu aisee!😂😂😂😂
 
Naamka vipi wakati wewe unaye niamsha ndiyo umelala fofo.

Mfano wa fikra za utumwa ni upi ?
Fikra za utumwa ni wewe kuamini miungu ya waarabu ngano zao na mapokeo ya kale ya jamii hizo na kuzipractice katika maisha halishi ya Sasa
Kama sio ujuha na uwendawazimu ni nini Kama sio ugonjwa wa akili ingali wewe ni mtu mweusi Wala huna vinasaba vya jamii husika ya mashariki ya Kati?
Ndio maana nasema amka ewe mtu mweusi utoke katika fikra mfu za hizo jamii zao!

Kama hinielewi endelea kua mtumwa wao daima ila Mimi hunishawishi kama mtu mweusi wa huku nyumbanitu!
 
Unaufahamu mzuri sana. Rc 95% ni allminat ukichanganya na ujenzi huru. Wana elimu isio pimika kwa macho ya kibinadamu, na ndio wanao imiliki dunia kwa utajiri wa Mali na akili, ni Alfa na Omega hapa duniani.
matajiri wa mali wakatoliki labda wa sehem nyngne tofaut na tz
 
Back
Top Bottom