Unaelewa kwamba tatizo langu na suala zima la kuwepo kwa Mungu si kuamini?Kiranga ni mtu smart sana,ila katika haya mambo yake ya kutoamini kama Mungu yupo si m support.
Nina imani siku moja takuja kuamini kama Mungu yupo.
Ni swala la muda tu.
Kwahiyo ukweli ulivyo ni kwamba hakuna Mungu?ukiambiwa uthibitishe hayo madai yako unasema mwenye kutakiwa kuthibitisha yule anayesema Mungu yupo, yani ni full vituko.Unaelewa kwamba tatizo langu na suala zima la kuwepo kwa Mungu si kuamini?
Unaelewa kwamba kwenye kuamini naweza kuamini Mungu yupo na akawa hayupo?
Unaelewa kwamba ninachoamini mimi si muhimu sana, muhimu zaidi ni ukweli wa mambo?
Kwa nini unajikita kwenye ninachoamini au nisichoamini mimi, badala ya kujikita katika ukweli ulivyo?
Mungu ni nini na unajuaje yupo kweli na habari za kuwapo kwake si hadithi za kutungwa na watu tu?Kwahiyo ukweli ulivyo ni kwamba hakuna Mungu?ukiambiwa uthibitishe hayo madai yako unasema mwenye kutakiwa kuthibitisha yule anayesema Mungu yupo, yani ni full vituko.
Mkuu acha maneno mengi, nipe majibu kama unayoHaya maswali uliyouliza inaonekana jinsi gani huelewi mambo, au ndio tuseme umejiona umeuliza maswali magumu sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787] maswali yote uliyouliza yanamajibu tena mengine yameshajibiwa karne nyingi zilizopita. Ningetamani nikujibu ila kwasasa nakuacha uendelee kuishi kwenye ujinga wako.
NB: kama sayansi imeshindwa toa jibu basi hamna dini yoyote humu duniani inaweza leta hilo jibu
Najua ataendelea kulikwepa hili swali na kuishia kukimbia.Akikujibu nitag.....
Hajasema bado hivyo vitu hajui vilitokea vipi, naona unamjibia.Yeye kutokujua hivyo vitu vilikotokea haimaanishi kua unachosema wewe ni sahihi!. ndio maana anomba uthibitishe kua usemacho ni sahihi!.
Tangu mwanzo amekwambia msimamo wake kua yeye yuko njia panda, ila wewe ulie tayari una njia yako uliyochukua ni muhimu ukamjibu/kumuonesha na kumhakikishia kua njia yako ni sahihi.
🤣🤣Najua ataendelea kulikwepa hili swali na kuishia kukimbia.
Una uhakika gani kwamba kuna namna vilitokea tokea?Umejibu vizuri kwamba haujui kitu chochote kilichopo kwenye ulimwengu unaoonekana kwa macho ni lazima kiwe na muudaji.
Sasa nakuuliza tena hivi:-
Unaweza kuniambia vitu vifuatavyo vilitokeaje tokeaje(formation)?
1. Jua na nyota zote angani
2. Vimondo vyote angani
3. Sayari zote
4. Madini yote katika ardhi ya sayari dunia
5. Gas katika ardhi ya sayari dunia
6. Mafuta katika ardhi ya sayari dunia
7. Upepo/hali ya hewa na majira ya mvua
8. Bahari, mito na maziwa katika sayari dunia
9. Milima na mabonde katika sayari dunia
10. Miti na mimea ya aina zote katika sayari dunia
11. Ndege wa aina zote katika sayari dunia
12. Samaki wa aina zote kwenye mito, maziwa na bahari
13. Wanyama wa aina zote wa kufungwa na mwituni
14. Binadamu
NB: Nasubiri uniambie vilitokeaje tokeaje(formation)
Una uhakika upi kwamba kuna namna vilitokea tokea na wala si pengine vilikuwepo tu kabla ya ujio wa muda?Hajasema bado hivyo vitu hajui vilitokea vipi, naona unamjibia.
Asante kwa kunielewa Mkuu,Yeye kutokujua hivyo vitu vilikotokea haimaanishi kua unachosema wewe ni sahihi!. ndio maana anomba uthibitishe kua usemacho ni sahihi!.
Tangu mwanzo amekwambia msimamo wake kua yeye yuko njia panda, ila wewe ulie tayari una njia yako uliyochukua ni muhimu ukamjibu/kumuonesha na kumhakikishia kua njia yako ni sahihi.
Kama huna idadi ya wote huo uhakika wa kusema wanasayansi wote wanasema vile unautoa wapi?Sihitaji kuwa na idadi yoyote kufahamu watu wote wenye akili timamu(sio wanasayansi tu) wanafahamu uhai ulianza katika kipindi fulani hapa duniani.
Nina uhakika chochote(Matter) kilichopo kwenye ulimwengu(Space) huu tunaoishi unaoonekana kwa macho ni lazima kiwe na muda(Time) kilichoundwa na muundaji.Una uhakika gani kwamba kuna namna vilitokea tokea?
Siyo unaniuliza vilitokeaje wakati wewe mwenyewe hujui kama vilitokea ama vilikuwepo tu kabla ya ujio wa muda.
Unaweza kuthibitisha kwanza kwamba kuna namna vilitokea ili swali lako la kuitafuta hiyo namna liwe na uhalali!?
Haya maelezo haukunipa Mkuu, hukuniambia kama haujui formation ya hivyo vitu ndio maana nimeendelea kutaka majibu. Hivyo kwa maelezo yako haya itoshe kusema umekiri kwamba haujui hivyo vitu vimetokeaje?(formation) si ndio?Na nimejitahidi sana kumwelezea ili aone msimamo wangu uko wapi, kwamba hadi sasa sijui kama dunia ilianza, ilikuwepo muda wote au ilitoka mahala.
Kwa kuwa yeye tayari ana uhakika kuwa ilianza ndipo namuomba na mimi huo uhakika ili nitoke hapa njia panda niwe upande wake na kwa pamoja tumsake huyo muanzilishi.
Nina uhakika hakuna chochote(Matter) kinachoweza kutokea katika muda(Time) husika na kuwepo katika ulimwengu(Space) unaoonekana kwa macho bila kuwa kimeundwa na muundaji.Una uhakika upi kwamba kuna namna vilitokea tokea na wala si pengine vilikuwepo tu kabla ya ujio wa muda?
Tupe huo uhakika na sisi tuone,Nina uhakika hakuna chochote(Matter) kinachoweza kutokea katika muda(Time) husika na kuwepo katika ulimwengu(Space) unaoonekana kwa macho bila kuwa kimeundwa na muundaji.
Hakuna gari/pikipiki/juice/baiskeli n.k(Matter) linaloweza kutokea katika muda(Time) husika na kuwepo sehemu(Space) bila ya gari/pikipiki/juice/baiskeli n.k hiyo kuundwa na muundaji
Ndiyo maana Kiranga amekuweka kwenye ignore list,Haya maelezo haukunipa Mkuu, hukuniambia kama haujui formation ya hivyo vitu ndio maana nimeendelea kutaka majibu. Hivyo kwa maelezo yako haya itoshe kusema umekiri kwamba haujui hivyo vitu vimetokeaje?(formation) si ndio?
Ili tuendelee na mada.
Sema 80% ni wakristo
Unamaanisha Wema Sepetu na mpenzi wake Diamond ambao umri wao ni chini ya miaka 40 ukikubali ndiyo wazazi halali wa Rais Mwinyi, Mzee wa Rukhsa mwenye miaka 96 hupungukiwi na chochote siyo?kwani ukikubali Mungu yupo unapungukiwa nini
pangilia vizuri sentensi yako ilete maana kwanza ndio uje u-criticizeunaweza kudhibitisha hili?