Majanga ya kidunia ni uthibitisho kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye upendo wote na uwezo wote hayupo.Siku ukipata majanga ya kidunia ndo utamkumbuka Mungu huku ukiwa umepiga magoti ukimlilia lakini itakuwa too late....
Sent using Jamii Forums mobile app
Unauliza swali halafu ukijibiwa unalazimisha jibu lako unalotaka wewe?Mie nilikuuliza Mungu ni nini hivyo ulitakiwa ueleze Mungu ni nini ila wewe ukaacha kuelezea Mungu ni nini ukaruka kwenda kusema kuwa uwepo wa huyo Mungu(ambaye hujaeleza ni nini?) ni jambo la kufikirika(dhana) na hata pale nilipokuomba ueleze ni hilo jambo la kufikirika lilivyo? hukutaka kueleza.
Kama kuna sehemu umetoa majibu ya hivyo vitu vimetokeaje (Formation) nitagHujaona majibu, umeona nini?
Mimi sijalazimisha ujibu navyotaka mimi, nimekuuliza Mungu ni nini unakazana kusema ni dhana tu basi ndio tumeishia hivyo sasa sijui hapo cha kujadili ni nini wakati ushamaliza mjadala kwa kukomaa kusema Mungu ni dhana tu.Unauliza swali halafu ukijibiwa unalazimisha jibu lako unalotaka wewe?
Kwa nini unaogopa sana kumtaja huyo Mungu wako tumjadili?
Unamuonea aibu?
Unajua ukimtaja huwezi kutetea uwepo wake?
Hatuwezi kujadiliana kwa sababu wewe unamuonea aibu Mungu wako.Mimi sijalazimisha ujibu navyotaka mimi, nimekuuliza Mungu ni nini unakazana kusema ni dhana tu basi ndio tumeishia hivyo sasa sijui hapo cha kujadili ni nini wakati ushamaliza mjadala kwa kukomaa kusema Mungu ni dhana tu.
Sasa sijui unataka nikueleze nini tena cha ziada?
Wewe umesema Mungu ni dhana, sasa nimtaje Mungu gani tena mwengine wakati ushamaliza kuwa Mungu ni dhana?Hatuwezi kujadiliana kwa sababu wewe unamuonea aibu Mungu wako.
Hutaki hata kumtaja yukoje.
Sasa tutajadiliana vipi kuhusu Mungu ambaye hutaki hata kumtaja?
Nikutag wakati nimeku quote huja reply?Kama kuna sehemu umetoa majibu ya hivyo vitu vimetokeaje (Formation) nitag
Wapi uliponi quote ambapo umetoa majibu ya hivyo vitu vimetokeaje (Formation)?Nikutag wakati nimeku quote huja reply?
Post ya mwanzo kuku-quote umeiona?Wapi uliponi quote ambapo umetoa majibu ya hivyo vitu vimetokeaje (Formation)?
Nimeiona haina majibu ya hivyo vitu vinetokeaje (Formation)Post ya mwanzo kuku-quote umeiona?
Kama haina majibu ina nini?Nimeiona haina majibu ya hivyo vitu vinetokeaje (Formation)
Huna hoja, kubali huna pa kutolea umebanwa koteUnafikiria kama mtoto, unasikitisha sana.
Hivi mimi nikikuuliza kwamba unajua kuhusu xyzwnss? kisha ukasema hujui na ukaniuliza xyzwssn ndio nini? halafu nikakwambia xyzwsnn ni dhana, utakuwa umeelewa xyzwsnn ndio nini?
Dhana ni fikra ya jambo lisilokuwa na hakika; wazo, fikira.
Na kuna dhana mbalimbali, sasa ukisema Mungu ni dhana inakuwa bado hujaeleza Mungu ni nini.
Kwa maelezo kama hayo basi swali lako la kuuliza Mungu ni Nini linakuwa halina maana, nilikuuliza Mungu ni nini ukajibu Mungu ni dhana na nilipokuuliza dhana ipi? unakuja kuniuliza tena Mungu gani ?na kuanza kuzungumzia sijui Mungu wa wakristo,waislamu na wayahudi.
Mungu ni nini kwanza tuelewane hapa kabla ya kuanza kujadili huyo Mungu wa Wayahudi waislamu na wakristo.
Tofauti ni ipi kati ya anayeamini Mungu(anasema yupo) na anayesema Mungu hayupo/hakuna?Unayeamini Mungu yupo ndiye mwenye wajibu na ndiye unayepaswa kusema Mungu ni nini. Kuwasukumizia hili swali watu wasioamini yupo ni kupoteza muda kitoto tu.
Ukiweza kunieleza ni wapi aliponibana nitakubali sina hoja.huna hoja, kubali huna pa kutolea umebanwa kote
Nikisema mungu ni dhana ya kufikirika nitakua nimejibu swali lako?Ukiweza kunieleza ni wapi aliponibana nitakubali sina hoja.
Kiranga wenu hadi sasa kashindwa kueleza Mungu ni nini kabaki kung'ang'ania neno "dhana" halafu wewe unakuja unaniambia mie ndio sina hoja et nimebanwa kote!
Vitu vyengine vinashangaza kwa kweli.
Bado hujajibu kwa sababu mimi sijauliza kama Mungu ni jambo la kufikirika au kitu halisi,sasa ukiishia tu kuniambia kuwa Mungu ni dhana bado nakuwa sijaelewa Mungu ni kitu kitu gani hasa ni Superman au Alien?Nikisema mungu ni dhana ya kufikirika nitakua nimejibu swali lako?
Bado sijajibu ina maana jibu sahihi unalijua?Bado hujajibu kwa sababu mimi sijauliza kama Mungu ni jambo la kufikirika au kitu halisi,sasa ukiishia tu kuniambia kuwa Mungu ni dhana bado nakuwa sijaelewa Mungu ni kitu kitu gani hasa ni Superman au Alien?
Ah kwahiyo kama nikikuuliza rais wa Marekani ni nani halafu ukajibu ni Magufuli kisha nikakataa maana yake lazima nitakuwa najua rais wa Marekani nani ndio maana nimekataa Magufuli(ambaye ni marehemu) kuwa ndio rais wa Marekani?Bado sijajibu ina maana jibu sahihi unalijua?
Unaweza ukaliweka hapa ili tuone kama lina pishana na jibu langu?
Siwezi kukurupuka kujibu swali bila kupata ufafanuzi wa swali lako kwanzaAh kwahiyo kama nikikuuliza rais wa Marekani ni nani halafu ukajibu ni Magufuli kisha nikakataa maana yake lazima nitakuwa najua rais wa Marekani nani ndio maana nimekataa Magufuli(ambaye ni marehemu) kuwa ndio rais wa Marekani?