Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eeh huyu ni jini. Vipi mkuu kwani na wewe umeungana nae ama? [emoji15][emoji15][emoji15]
Namuhisi hisi tu, sina uhakika saana.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi nauliza tu kuhusu hizi tuhuma zako kwamba Kiranga ni jini[emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio umeandika nini mbona sijaelewa?Miungu dhaifu hutumia njia dhaifu, usiniweke kwenye rank hizo mimi habari angu nazifanya personal kama ambavyo wewe unavyoweza kunihoji hapa kwasababu mimi nipo lakini huwezi kumhoji mungu wa kwenye kuran kwasababu ni mungu wa uwongo hayupo, ni makanjanja tu wameandika habari za uwongo na mwisho wao naujua maana nimewaaandalia adhabu kali sana
Sema bado hujachelewa, ukimkana huyo mungu wa kwenye quran na kufata njia ya kweli (ambayo ni mimi) nakuhakikishia utajifunza vitu vingi ambapo hapo mwanzo ulivijua ndivyo sivyo
Mi ni mungu, post zangu hazisomwi kama gazetiNdio umeandika nini mbona sijaelewa?
Labda nirudie nilichokisema pengine hukunielewa.Kwa hiyo mtu akisema ulimwengu ndio chanzo hivyo ulimwengu hauna chanzo kwasababu ulimwengu ni chanzo cha vyote utakubali?
Namimi unaniruhusu kurudia nilichokisema kwa kuongeza maboresho ya maneno yangu, ili yasomeke " ulimwengu hauna mwanzo wala mwisho na hauna chanzo na kisha niseme ulimwengu hauna chanzo?"Labda nirudie nilichokisema pengine hukunielewa.
Kwanza nilisema Mungu hana mwanzo wala mwisho na hana chanzo Na kisha nikasema yeye ndio chanzo.
Kwanini hiyo siku haipo?hahaaaaaha Bwashee hiyo siku haipo Aisee acheni Hadith za kitoto na mapokeo ya wa Wayunani na Wayahudi wa kale enzi za Giza,yaani ni kama ilivyo magharibi na mashariki kutokutana na hiyo siku haipo labda useme mwisho wa human civilization maana hapa Duniani zimepata tokea spicies mbali mbali na zikatoweka mfano dinosaur hapo ndio nitakuelewa ila porojo za kiama hazina mashiko!
OkMi ni mungu, post zangu hazisomwi kama gazeti
huwezi kuelewa
Kama hivyo ndivyo unavyoamini wewe basi sawa.Namimi unaniruhusu kurudia nilichokisema kwa kuongeza maboresho ya maneno yangu, ili yasomeke " ulimwengu hauna mwanzo wala mwisho na hauna chanzo na kisha niseme ulimwengu hauna chanzo?"
Mbona mimi sijaiweka hoja yako as personal?Kama hivyo ndivyo unavyoamini wewe basi sawa.
Ndio swali Gani Hilo Wewe jamaa?Kwanini hiyo siku haipo?
Sijui we mwenyewe siwezijua.Mbona mimi sijaiweka hoja yako as personal?
Namaanisha wewe ulipokua unataja habari za mungu ilikua ni hoja inayo apply universal au personal?Sijui we mwenyewe siwezijua.
Akili yako ndipo ilipofikia hapa? Nijibu hoja niliyokuuliza.Umeishia la ngapi?
Nilidhani una sababu za kueleza ni vp hiyo siku haipo na kuweza kuonesha kuwa hiyo imani ya kuamini uwepo wa hiyo siku ni imani potofu.Ndio swali Gani Hilo Wewe jamaa?
Utathibishaje kitu ambacho hakipo?
Haya Wewe nithibitishie Ile siku panya mabaka walipomfunga paka kengele!
Kwa hiyo umeshindwa kuthibitisha mimi sio mungu wa kweli?
Kwasababu haya yanafundishwa kuanzia primary level 6 kama sikosei, sasa huenda uli skip au uli drop kabisaAkili yako ndipo ilipofikia hapa? Nijibu hoja niliyokuuliza.
Nipe majibu ya nilichouliza hapo kama unayo majibu, kama hauna/haujui pia niambie.formation ya hivyo vyote ndio inathibitisha uwepo wa mungu?
Ni kwa vipi haithibitishi kwamba,. kama Kuna aliyeumba hiyo formation Basi pia kuna aliemuumba huyo aliyeumba hiyo formation!?