Wewe ulishawahi kufa ukathibitisha "huko hakuna wa kukusaidia?".Aisee!!! Mnatabu sana enyi viumbe mliopotea, pumzi inawahadaa, mnaongea vitu sivyo kabisa. Sasa mjomba ee, subiri kifo kikukute, huko hakuna wa kukusaidia si kiranga, baba wala mama yako, wewe na matendo yako. Kwa maana ukiwa "umeshasilimu na kuwa Muislamu"
Je, dini ndo inawaelekeza hao wanaokwenda misikitini kufanya maovu ?Ndugu yangu kwani mm nasema uongo au jiulize kwanini wengi wenu pamoja na kwenda kanisani na msikitini lakin mna fanya maovu mengi au dini ndio zinazosema mfanye hayo.
Kiranga ni mtu safi kama pepo ipo atakaa karibu na yesu na Muhammad
Kwani ni lazima yeye afe ndo athibitishe kuwa huko hakuna wa kumsaidia ?Wewe ulishawahi kufa ukathibitisha "huko hakuna wa kukusaidia?".
Hiyo ni njia moja thabiti kabisa kuhakiki.Kwani ni lazima yeye afe ndo athibitishe kuwa huko hakuna wa kumsaidia ?
Dini inafundisha wema na mambo mazuri lakin kwanini hamtendi?Je, dini ndo inawaelekeza hao wanaokwenda misikitini kufanya maovu ?
Wapi dini inafundisha waumini wake kufanya maovu ?
Atheist ndo hawafanyi maovu ?
LovelyAhsante sana mkuu kwa kutunza kumbukumbu.
Nilipata miito miwili kwa wakati mmoja, kuchagua kuwa Buddhist Monk milima ya Himalaya, au kwenda Wall St. kupiga dola.
Hapo nilikuwa natafsiri "The Dhammapada" na rafiki yangu Andy Nyerere kwenda Kiswahili.
Nikamuachia mikoba Andy mimi nikakwea pipa.
Mpaka leo sijui kama Andy alimaliza ile kazi, maana nilipotezea mawasiliano na Africa kwa muda fulani.
Kwa waliopenda kujua kwa nini niliamua kuacha kuamini uwepo wa Mungu, nitaweka kitabu kilichonishawishi mara ya mwisho kabisa, kinaitwa "The Philosophy of Religion: An Anthology".
Hususan kuna sehemu wanaongelea "the problem of evil".
Ni kitabu kizuri sana kina arguments nzuri na nyingi za kutetea uwepo wa Mungu na kupinga uwepo wa Mungu, ni falsafa pana sana.
Hujajibu maswali yangu !!Dini inafundisha wema na mambo mazuri lakin kwanini hamtendi?
Hamtendi wala kufata maagizo ya dini kwakuwa hamna imani kuwa dini ni za kweli yaan nyinyi mna fanya dini kama sehemu ya utamaduni wa maisha umezaliwa katk uislam au ukritso basi na ww unakuwa hivyo
Atheist wengi wanakuwa wngi wanajua umuhimu wa utu na maisha kama vile kuuwa sio jambo zuri basi nao hawatauuwa sio mpk dini iseme that's why nikakuambia kama kuna pepo Atheist wote peponi
Hilo ni swali la kuulizwa mimi au kuulizwa yeye?Inaweza kuwa njia thabiti kwake yeye kuhakiki,, je, atakuhakikishia vp ww ilhali yeye ameshakufa ?
Nimekujibu vzr kuwa mna fanya maovu kwakuwa hamuamini kama dini zina habari za kweli mmengua mna iman msingefanya dhambiHujajibu maswali yangu !!
Narudia
Je, dini ndo inawaelekeza hao wanaokwenda misikitini kufanya maovu.?
Wapi dini inafundisha waumini wake kufanya maovu ?
Atheist hawafanyi hayo maovu ?
Umeniuliza hapo juu kuwa dini inafundisha wema na mambo mazuri lakini kwanini hamtendi ? ,,
yaani ni sawa na kumuuliza mwanafunzi aliyefeli mtihani wa hesabu , ety " darasani mnafundishwa kanuni za hesabu, Kwanini hukufanya vile ulivofundishwa na mwalimu ?
Is that question logically correct ?
Wapi dini imelazimisha mtu kufata mafundisho yake ?
Yaani mkuu ulichokiandika hapa ndio uhalisia wenyewe. Na sababu nyingine inayomfanya mtu kujiunga na dini kuogopa na kuhisi kutengwa na jamii inyomzunguka.Lakini ukitizama sana na kwa undani watu wengi sana hawaamini katika Mungu hasa. Japo wengi kwa sababu za kutaka kuzikwa au kupata kukubalika na jamii hawawezi kusema ukweli huo. Ila ukitizama matendo na fikra zao halisi ....za wazi na za sirini, ni wazi hawaamini katika Mungu na hata uwezo Mungu. Hata wale wanaokwenda au kushinda katika nyumba za ibada. Deep down hawamuamini Mungu.
Hiki kitabu kimejaribu kuelezea the so called problem of evil.Ahsante sana mkuu kwa kutunza kumbukumbu.
Nilipata miito miwili kwa wakati mmoja, kuchagua kuwa Buddhist Monk milima ya Himalaya, au kwenda Wall St. kupiga dola.
Hapo nilikuwa natafsiri "The Dhammapada" na rafiki yangu Andy Nyerere kwenda Kiswahili.
Nikamuachia mikoba Andy mimi nikakwea pipa.
Mpaka leo sijui kama Andy alimaliza ile kazi, maana nilipotezea mawasiliano na Africa kwa muda fulani.
Kwa waliopenda kujua kwa nini niliamua kuacha kuamini uwepo wa Mungu, nitaweka kitabu kilichonishawishi mara ya mwisho kabisa, kinaitwa "The Philosophy of Religion: An Anthology".
Hususan kuna sehemu wanaongelea "the problem of evil".
Ni kitabu kizuri sana kina arguments nzuri na nyingi za kutetea uwepo wa Mungu na kupinga uwepo wa Mungu, ni falsafa pana sana.
Ni kwasababu wewe Iblis unashawishi watu kutenda uovu!Nimekujibu vzr kuwa mna fanya maovu kwakuwa hamuamini kama dini zina habari za kweli mmengua mna iman msingefanya dhambi
Polisi au FFU wakisema jambo fulani msifanye au msiandamane na mkiandamana tutawapiga nina imani hamta andamaana lkn kwanini dini ikisema usiibe usiuwe usizin usidhulumu usiseme uongo wewe hayo mambo unafanya jibu ni kuwa huna unachohofia au kuoogopa
Mara nyingi nimekuwa nikiwaza huyu member hapa JF atakuwa alikutana na incident iliyomfanya akamchukia Mungu.
Hapa anaeleza namna alivyokuwa anasali na Nyerere pale St Peters
My take, huyu anahitaji kuombewa ili amrudie muumba wake.
Mshana Jr
Hapa labda katika mambo mengine,ila kuhusu Mungu,sijaona mtu mjinga katika suala hili kwa humu ndani jf kumzidi yeye,hata namna anavyo jadili suala hili anaonyesha anakipinga kitu asichokijua,ndiyo maana huwa tunahitimisha ya kuwa Wakanamungu ni wagonjwa wa akili. Hivi mtu unapata wapi ujasiri wa kumkana usiye mjua ?Akili za Kiranga hazichunguziki mkuu, huyu ni miongoni mwa watu wenye uelewa na uwezo mkubwa sana wa kuchambua na kuelezea mambo kwa marefu na mapana, huku yote yakiwa kwa ufasaha.
Mbona faiza foxi hayupi hivyoHakuna mtu anayezaliwa akiwa atheist, elimu dunia iliyopitiliza ndo chanzo cha maatheist wote ulimwenguni.
Hakuna mtu anayezaliwa akiwa atheist, elimu dunia iliyopitiliza ndo chanzo cha maatheist wote ulimwenguni.