Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Inamaana wewe haujui hivyo vitu vimetokeaje? (formation) kwanini unashindwa kunipa jibu.
Unatunga swali bovu halafu bila aibu unalazimisha watu walalie hukohuko kwenye ubovu wako ambao umetokana na ufahamu wako kuwa duni,

Thibitisha kwanza kwamba hivyo vitu vina formation.

Hatutaki hadithi za limited to time kwa kuwa time yenyewe kuna wakati inakuwa haipo,yaani haiko constant kila mahala.
 
Kama majibu unayo niambie mkuu kwanini unazunguka

Wewe ukiniambia bahari imesababishwa na miamba, bila kuniambia kwanza miamba imetokea wapi na imesababisha vipi bahari unanipa wasiwasi. Miamba imetokea tu gafla?
Tuko katika mjadala ambao tunajadili kwa kiswahili

Katikati ya mjadala ukauliza swali kwa sharti kwamba lijibiwe kichina

Nakupatia jibu kwa lugha ya kichina unakuja kuonesha tena kuwa kumbe hicho kichina ulichopendekeza jibu lijibiwe nacho hukijui

Sasa unanipa kazi ya ziada na kunitoa kwenye mjadala mkuu, nikufundishe kichina ukijue halafu tena nije nikufundishe namna ya kulielewa jibu la swali ulilouliza

Watu wanajiuliza...kulikua na ulazima gani wa wewe kuhitaji majibu ya swali lako yawe katika lugha ya kichina ilihali kichina hukijui?? Wewe unakazania tu kusema "nipe jibu"

Kuna haja gani ku-demand majibu ya kisayansi ilihali huijui hata basic ya sayansi yenyewe?
 
Hadi muda huu hakuna mshindi.
Hivyo basi....kila mmoja abaki na anacho kiamini.
UZI UMEFUNGWA
 
Ila chief una logic aisee, mind yako sio ya mchezo kabisa kuna elimu mtu unapata kupitia maandiko tu hapa vipi kama akipata walau saa moja la kuzungumza ana kwa ana? Hongera sana
 
Kuuliza hivyo vitu vimetokeaje tokeaje ni swali bovu? Una conclude vipi ni swali bovu ikiwa bado nahitaji kujua hivyo vitu vimetokeaje kwa uthibitisho unaothibitishika kisayansi. Kama majibu unayajua nijibu.
 
Sawa, baada ya kusoma haya maelezo yako meengi. Sasa nahitaji kujua hivyo vitu vimetokeaje tokeaje (formation) zake
 
unamaanisha Nini ukisema formation?
Namaanisha vimetokeaje tokeaje hivyo vitu, how do they formed? Mfano ili juice ya parachichi iwepo ina formation yake.

Nikihitaji kujua juice ya parachichi imetokeaje, nitakuuliza formation yake.

Unaweza ukaniambia ime-form kutokana na ingredients zifuatazo:- tunda parachichi, maji na sukari. Na ikafanyiwa process ya kusagwa na kupatikana juice ya parachichi.

Sasa nitahitaji kujua kwanza hizo ingredients:- Tunda parachichi, maji na sukari vimetokea wapi kwanza?

Kwanini?
Kwasababu nahitaji kujua kwanza hizo ingredients zimetokea wapi? Hizo ingredients zimetokea tu gafla?

Nahitaji jibu ambalo lipo (Well scientifically proved) na sio jibu la kufikirika, kwamba juice ya parachichi imetokana na tunda parachichi, maji na sukari alafu ukaishia hapo bila kuniambia kwanza tunda parachichi, maji na sukari navyo vimetokea wapi?
 
Hakuna atheist yoyote anayeweza kukupa majibu ya chanzo sahihi cha uhai na viumbe visivyo hai. Wanarukaruka ila mwishowe hawana answers. Kazi yao kubwa ni kukana uwepo wa Mungu.

How did we get in this planet? Why are we here?

Ukiangalia dunia na vyote vilivyomo utagundua kuwa kila kitu kiko carefully planned...na viliandaliwa ili ku support life. Kwa nini uhai uwepo hapa tu na si sayari kama Mars au jupiter?

Ili viumbe viendelee kuishi vinahitaji nishati itokayo kwenye vyakula...na vyakula vipo. Maana yake whoever aliyekusudia kutengeneza vyakula ndiye aliyetu design pia ili tuvitumie.

Wajiulize tena kwa nini tunakunywa maji? Je imagine tungekuwa tunahisi kiu na maji hayapo duniani..ingekuwaje? Nani aliye tu design tutumie maji? Is it by mere chance au we were designed by a super intelligent being?

Ukikaa chini na kutafakari kwa kina upo ushahidi wa uwepo wa Mungu all around us. Mungu yupo.
 
ushahidi upi Sasa, thibitisha. Kuishia tu kusema "ukifikiria sana" hapana usifikirie sana thibitisha.
 
Kuuliza hivyo vitu vimetokeaje tokeaje ni swali bovu? Una conclude vipi ni swali bovu ikiwa bado nahitaji kujua hivyo vitu vimetokeaje kwa uthibitisho unaothibitishika kisayansi. Kama majibu unayajua nijibu.
Aliyekwambia vimetokea tokea nani? Kwa nini usimuulize huyo iwapo alikwambia vimetokea tokea?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…