Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Ni either ni Wakatoliki au Wamepita Shule za Kikatoliki au zilizoanzishwa kwa mpango wa Katoliki.

Sababu kuu kunatolewa elimu high class kichwa chako kinafunguka ni wewe sasa kuendelea kuamini au kutokuamini tena.

Kwenye Falsafa kwa wanaosoma Upadri kuna Module mnafundishwa kupinga uwepo wa Mungu. Utapigwa hoja na fact mabalimbali kutoka kwa wanafalsafa na wanasayansi wa kale wanaopinga uwepo wa Mungu. Kisha utaletewa hoja pia za wanafalsafa wa Kikatoliki wanaoelezea uwepo wa Mungu kama Thomas Aquinas, Paulo, Ignas, Franscis, etc.
Kazi inabaki kwako kuamini au kutokuamini ✌️
Ndio maana hata hoja anazotumia Kiranga kupinga uwepo wa Mungu sehemu kubwa ni vile Mungu alivyoelezwa kwa mtazamo wa biblia.
 
How do you know exactly they real, if they can not be proven?

Yes I can, cause Ultrasound records are still there.
I have asked you to prove it. I expected you to do it. What you are telling me is that you can't. And how can you prove that the ultrasound records are correct. My wife, was examined at one of the best Dar es Salaam hospitals (with good obstetricians and gynecologists) in the uterus and Fallopian tubes and it was medically established that "she won't conceive" and was counselled how to cope with the situation and how I would take it. A year later, she conceived and now she has two children. In this case, how would you reconcile it with "ultrasound records" you rely on? I once fell sick and went to one hospital and was told I had malaria and I went to another hospital a few minutes later after examination I was told I had high blood pressure and not malaria. In the circumstances, which hospital had the right medical records for me? Last year (I hope you still remember) JPM told us that they took some samples of oil, pawpaw seeds, etc to screen for coronavirus and the results were incredible. How would you rely on that as proof? In the absence of those medical records, for instance, some women deliver before they go to hospital, what would those medical records say about them?
 
Ninachoweza kusema kuwa masomo wanayosoma wanafunzi wa masomo ya mapadri, hasa falsafa na teolojia, ni falsafa za both wale wanaoamini Mungu yupo na wasioamini. Hivyo, mwanafunzi wa upadri anapomaliza masomo yake kwa upande mmoja anakuwa amesoma wanafalsafa na wanateolojia wanaoamini Mungu yupo na pia wanafalsafa na wanateolojia, including wanasayansi, wanaoamini Mungu hayupo. Wakati mwingine inategemea katika kusoma kwake ameegemea upande upi maana lengo la haya masomo ni kumjengea uwezo wa kuwa na independent/good judgement katika kazi yake ya utume.

Lakini all ni all, padri amesoma vizuri sana mambo mengi ambayo wasomi wengine hawajawahi kuyasoma. Imagine pamoja na masomo yote hayo, kuna mapadri wanaoendelea kusoma hata baada ya kumaliza masomo ya upadri. Mfano, pamoja na mambo mengine padri anasoma baada ya Form VI miaka 9-10: moral ethics, social and cultural anthropology, logic, psychology, counselling, epistemology, metaphysics, political philosophy, philosophy of social sciences, a history of philosophy, systematic philosophy, moral theology, including moral dilemma issues - genetic engineering, cloning, masturbation, suicide, divorce, just war, murder, civil disobedience, homosexuality, sexuality (including sexual ethics), premarital & extramarital intercourse, euthanasia, apartheid, genocide - canon law, scripture, liberation theology, world religions with particular interest in Christianity, Islam & African traditional religions, inculturation, polygamy, church history, spirituality (spiritual psychology), sacraments, Christology, pastoral theology, natural theology, Ecumenism, Trinity, Revelation, pastoral care of the sick + special courses on health, environment, politics etc. Na kwa baadhi ya mapadri baada ya kumaliza masomo hayo wanasoma pia masomo ya udaktari wa binadamu na wengine wanasoma sheria za nchi na mambo mengine ambayo ni mahitaji ya sehemu ya kazi padri alipo. Baada ya kuhitimu masomo haya padri akiwa na imani anakuwa nayo kweli na ikitokea akapoteza imani anapoteza kweli.
Nafikiri ninaweza ku conclude kuhusu masomo yao huko chuoni, thanks kwa more clarrifications.
 
I have asked you to prove it. I expected you to do it. What you are telling me is that you can't. And how can you prove that the ultrasound records are correct. My wife, was examined at one of the best Dar es Salaam hospitals (with good obstetricians and gynecologists) in the uterus and Fallopian tubes and it was medically established that "she won't conceive" and was counselled how to cope with the situation and how I would take it. A year later, she conceived and now she has two children. In this case, how would you reconcile it with "ultrasound records" you rely on? I once fell sick and went to one hospital and was told I had malaria and I went to another hospital a few minutes later after examination I was told I had high blood pressure and not malaria. In the circumstances, which hospital had the right medical records for me? Last year (I hope you still remember) JPM told us that they took some samples of oil, pawpaw seeds, etc to screen for coronavirus and the results were incredible. How would you rely on that as proof? In the absence of those medical records, for instance, some women deliver before they go to hospital, what would those medical records say about them?
Mkuu chance of an errors with utralsound are up to 0.001%

Ultralsound inaweza ikatoa vipimo tofauti na uhalisia ikitegemeana na jinsi ilivyofanyika. Depends on how skilled sonographer is

I also have Chrolic villus sampling (CVS) records of direct sample which was taken when i was unborn.

Hiyo personal experience yako haiwezi ikahitimisha kua kipimo hakitoi majibu sahihi na wala hailalishi kua haithibitishiki. Ukubwa au umaarufu wa hospitali sio kigezo cha kila daktari kwenye hospitali hiyo kua skilled

In case of magufuli that shit was real propaganda, he was rejecting scientific evidence that misaligns with his political preferences.

Je ni kwamba vipimo havitakiwi kuaminika kwasababu vimeonesha mapapai yana ugonjwa?

Au havitakiwi kuaminika kwasababu vimetoa majibu ya uwongo kwakua hayo mapapai hayana ugonjwa?

Kama wataalamu wa afya walisema mapema kua mtu mwenye virusi vya korona sehemu yeyote atakayoigusa kwa mikono anaweza kuacha virusi iwe kwenye chuma, au mlango wa mbao virusi hao wanaweza wakaishi kwa muda wa masaa 8 sehemu hiyo bila kufa, je vipi kama hayo mapapai yalishikwa na mtu mwenye corona?

Pia kama unakumbuka magufuli alishawahi kusema mtoto wake aliugua korona na akapona baada ya kupiga nyungu

Sasa alitumia vipimo gani kuhakikisha kua mtoto wake anaumwa corona kama vipimo vinapotosha kwa kutoa majibu ya uwongo?

Baada ya nyungu alisema mtoto alipona, how did he verify it was real corona that his daughter/son suffered from?
 
Mkuu chance of an errors with utralsound are up to 0.001%

Ultralsound inaweza ikatoa vipimo tofauti na uhalisia ikitegemeana na jinsi ilivyofanyika. Depends on how skilled sonographer is

I also have Chrolic villus sampling (CVS) records of direct sample which was taken when i was unborn.

Hiyo personal experience yako haiwezi ikahitimisha kua kipimo hakitoi majibu sahihi na wala hailalishi kua haithibitishiki. Ukubwa au umaarufu wa hospitali sio kigezo cha kila daktari kwenye hospitali hiyo kua skilled

In case of magufuli that shit was real propaganda, he was rejecting scientific evidence that misaligns with his political preferences.

Je ni kwamba vipimo havitakiwi kuaminika kwasababu vimeonesha mapapai yana ugonjwa?

Au havitakiwi kuaminika kwasababu vimetoa majibu ya uwongo kwakua hayo mapapai hayana ugonjwa?

Kama wataalamu wa afya walisema mapema kua mtu mwenye virusi vya korona sehemu yeyote atakayoigusa kwa mikono anaweza kuacha virusi iwe kwenye chuma, au mlango wa mbao virusi hao wanaweza wakaishi kwa muda wa masaa 8 sehemu hiyo bila kufa, je vipi kama hayo mapapai yalishikwa na mtu mwenye corona?

Pia kama unakumbuka magufuli alishawahi kusema mtoto wake aliugua korona na akapona baada ya kupiga nyungu

Sasa alitumia vipimo gani kuhakikisha kua mtoto wake anaumwa corona kama vipimo vinapotosha kwa kutoa majibu ya uwongo?

Baada ya nyungu alisema mtoto alipona, how did he verify it was real corona that his daughter/son suffered from?

Mkuu chance of an errors with utralsound are up to 0.001%

Ultralsound inaweza ikatoa vipimo tofauti na uhalisia ikitegemeana na jinsi ilivyofanyika. Depends on how skilled sonographer is

I also have Chrolic villus sampling (CVS) records of direct sample which was taken when i was unborn.

Hiyo personal experience yako haiwezi ikahitimisha kua kipimo hakitoi majibu sahihi na wala hailalishi kua haithibitishiki. Ukubwa au umaarufu wa hospitali sio kigezo cha kila daktari kwenye hospitali hiyo kua skilled

In case of magufuli that shit was real propaganda, he was rejecting scientific evidence that misaligns with his political preferences.

Je ni kwamba vipimo havitakiwi kuaminika kwasababu vimeonesha mapapai yana ugonjwa?

Au havitakiwi kuaminika kwasababu vimetoa majibu ya uwongo kwakua hayo mapapai hayana ugonjwa?

Kama wataalamu wa afya walisema mapema kua mtu mwenye virusi vya korona sehemu yeyote atakayoigusa kwa mikono anaweza kuacha virusi iwe kwenye chuma, au mlango wa mbao virusi hao wanaweza wakaishi kwa muda wa masaa 8 sehemu hiyo bila kufa, je vipi kama hayo mapapai yalishikwa na mtu mwenye corona?

Pia kama unakumbuka magufuli alishawahi kusema mtoto wake aliugua korona na akapona baada ya kupiga nyungu

Sasa alitumia vipimo gani kuhakikisha kua mtoto wake anaumwa corona kama vipimo vinapotosha kwa kutoa majibu ya uwongo?

Baada ya nyungu alisema mtoto alipona, how did he verify it was real corona that his daughter/son suffered from?
Mkuu, niliomba uthibitishe 'how you were conceived and born'. Nilijua huwezi kuthibitisha na ndiyo maana ukaja na 'ultrasound records'. If anything, 'ultrasound records' will show what happened, but won't show how it happened. As far as I know, hakuna kipimo kinachopima "how" a person is conceived and "how" he or she was born. Mind you, sikuuliza 'what' but 'how'. Lakini point yangu ilikuwa kwamba 'kushindwa kuthibitisha' jambo siyo sawa na kusema kwamba jambo hilo halikufanyika au halipo. Yaani, 'absence of evidence is not evidence of absence of something'. Nitoe mfano mwingine, x na y ni mtu na mke. X kapigwa na y na analalamika kuwa kapigwa na y na anajisikia maumivu makali na ni kweli kabigwa, lakini hakuna aliyeona tofauti na wahusika wenyewe. Je, ungechukulia kupigwa kwa x kuwa si kweli kwa sababu hakuna aliyeona maana y anadai hajampiga? Inapotekea x na y kila mmoja wao anamtuhumu mwenzake na hakuna mtu mwingine aliyeshuhudia - x anadai kapigwa na y na y anadai kapigwa na x, ushahidi upi utatumika kujua nani kampiga mwenzake? Kuna matukio mengi ya aina hii, ambayo hakuna shuhuda, lakini tukio limetokea. Je, matukio kama hayo utaweza kuyathibitishaje? Je, ukishindwa kuyathibitisha ndiyo kusema hayajatokea? Mfano, wangu nilioutoa ulikuwa tu aina ya jinsi isivyo rahisi na wakati mwingine haiwezekani kabisa kuthibitisha jambo lililotokea.
 
Mkuu, niliomba uthibitishe 'how you were conceived and born'. Nilijua huwezi kuthibitisha na ndiyo maana ukaja na 'ultrasound records'. If anything, 'ultrasound records' will show what happened, but won't show how it happened. As far as I know, hakuna kipimo kinachopima "how" a person is conceived and "how" he or she was born. Mind you, sikuuliza 'what' but 'how'. Lakini point yangu ilikuwa kwamba 'kushindwa kuthibitisha' jambo siyo sawa na kusema kwamba jambo hilo halikufanyika au halipo. Yaani, 'absence of evidence is not evidence of absence of something'. Nitoe mfano mwingine, x na y ni mtu na mke. X kapigwa na y na analalamika kuwa kapigwa na y na anajisikia maumivu makali na ni kweli kabigwa, lakini hakuna aliyeona tofauti na wahusika wenyewe. Je, ungechukulia kupigwa kwa x kuwa si kweli kwa sababu hakuna aliyeona maana y anadai hajampiga? Inapotekea x na y kila mmoja wao anamtuhumu mwenzake na hakuna mtu mwingine aliyeshuhudia - x anadai kapigwa na y na y anadai kapigwa na x, ushahidi upi utatumika kujua nani kampiga mwenzake? Kuna matukio mengi ya aina hii, ambayo hakuna shuhuda, lakini tukio limetokea. Je, matukio kama hayo utaweza kuyathibitishaje? Je, ukishindwa kuyathibitisha ndiyo kusema hayajatokea? Mfano, wangu nilioutoa ulikuwa tu aina ya jinsi isivyo rahisi na wakati mwingine haiwezekani kabisa kuthibitisha jambo lililotokea.
Mkuu unaposema nimeshindwa kuthibitisha nashindwa kukuelewa ni uthibitisho wa namna gani unautaka

Kama uthibitisho unaoutaka ni ule wa mimi mwenyewe kujitambua nikiwa ndani ya tumbo kuwa nipo katika hali ya umimba kweli siwezi lakini pia hiyo haimaanishi jambo hilo halithibitishiki nje ya mimi na jwa wengine

Kumbuka hoja ni kuthibitishika so kama mimi nikashindwa kuthibitisha halafu kukawa na mwingine ambaye aliweza kuchukua genetic sample kutoka tumboni kwa mama (ambapo mimi nipo tumboni kwa wakati huo) kisha kufanya testing na kupata majibu ambayo hayo majibu mpaka saizi yapo na naweza nika verify kua ni ya kweli kwa kupima DNA yangu kuona kua yana match na mimi bado utasema hakuna uthibitisho??

Pili uhusiano wangu mimi na kuwa conceived pamoja na hoja yako kuhusu mungu bado ni vitu viwili tofauti, nilijibu hoja yako kwasababu nilikua interested nayo ila haikua katika muktadha wa hoja yako halisi kuhusu mungu

Kwasababu mimi na exist na nathibitishika kua nipo, mungu wako hujaweza hata kuthibitisha kua yupo unaanzaje kusema yupo real?

Kwasababu ili useme kitu fulani kua kipo real ni wazi kua umejihakikishia vya kutosha kua unaushahidi wa hicho kitu kua kipo na kinathibitishika pasi na shaka. Sasa huoni kusema Mungu yupo in real is like jumping to the conclusion without having a evidence?

Na kitu kingine ambacho cha ziada nachotaka kusema ni endapo mtu akajitokeza akasema jambo fulani tu ambalo halipo akidai kua lipo beyond space and time na ndio maana halithibitishiki, wewe utakibali kua jambo hilo lipo kweli?

Hautaona umuhimu wa kudai uthibitisho kwasababu kilichopo beyond space and time hakithibitishiki?
 
Mkuu unaposema nimeshindwa kuthibitisha nashindwa kukuelewa ni uthibitisho wa namna gani unautaka

Kama uthibitisho unaoutaka ni ule wa mimi mwenyewe kujitambua nikiwa ndani ya tumbo kuwa nipo katika hali ya umimba kweli siwezi lakini pia hiyo haimaanishi jambo hilo halithibitishiki nje ya mimi na jwa wengine

Kumbuka hoja ni kuthibitishika so kama mimi nikashindwa kuthibitisha halafu kukawa na mwingine ambaye aliweza kuchukua genetic sample kutoka tumboni kwa mama (ambapo mimi nipo tumboni kwa wakati huo) kisha kufanya testing na kupata majibu ambayo hayo majibu mpaka saizi yapo na naweza nika verify kua ni ya kweli kwa kupima DNA yangu kuona kua yana match na mimi bado utasema hakuna uthibitisho??

Pili uhusiano wangu mimi na kuwa conceived pamoja na hoja yako kuhusu mungu bado ni vitu viwili tofauti, nilijibu hoja yako kwasababu nilikua interested nayo ila haikua katika muktadha wa hoja yako halisi kuhusu mungu

Kwasababu mimi na exist na nathibitishika kua nipo, mungu wako hujaweza hata kuthibitisha kua yupo unaanzaje kusema yupo real?

Kwasababu ili useme k
itu fulani kua kipo real ni wazi kua umejihakikishia vya kutosha kua unaushahidi wa hicho kitu kua kipo na kinathibitishika pasi na shaka. Sasa huoni kusema Mungu yupo in real is like jumping to the conclusion without having a evidence?

Na kitu kingine ambacho cha ziada nachotaka kusema ni endapo mtu akajitokeza akasema jambo fulani tu ambalo halipo akidai kua lipo beyond space and time na ndio maana halithibitishiki, wewe utakibali kua jambo hilo lipo kweli?
Kama ulichosema ndiyo kunihibitishia "how you were conceived and born", then sijaona hiyo evidence inavyoanza na inavyoisha. Na pia nilikuuliza kwa wale wanaojifungua kabla ya kufika hospitali, ultrasound records zao zinasomaje? Hujanijibu. Pia nimekuuliza je ultrasound records zionaonyesha "how" a person is conceived or is born? Hujanijibu pia. Ila unaponiuliza mimi nithibitishe kuwepo kwa Mungu unataka 'instant evidence' ambayo wewe mwenyewe huwezi ku'provide'. Nikikuuliza wewe unasema 'ultrasound records' ambazo huonyeshi ili nione ulivyotungiwa mimba na jinsi ulivyozaliwa. Na kama unadai mtu mwingine anaweza kuonyesha, ni nani huyo maana hapa huonyeshi pia jinsi huyo mtu atakavyoonyesha mimba yako ilivyotungwa na ulivyozaliwa. Na unajuaje huyo mtu ndiye atakayeweza kama wewe mwenyewe umeshindwa? Hapa hutaki kukubali kuwa huna evidence, unakomalia tu kwamba hiyo evidence ipo. Swali lingine ambalo ningeweza kuuliza ni kuhusu 'big bang' ambayo it seems ilitokea at one stage in space and time. Nauliza hivi: 'big bang' kutokea ilisababishwa na nini na kabla ya kutokea kulikuwa na nini? Kwa swali lako la mwisho, hapa hatukuwa tukiongelea 'endapo mtu akijitokeza akasema jambo fulani tu ambalo halipo akidai kuwa lipo beyond space and time na ndiyo maana halithibitishiki, wewe utakubali kuwa jambo hilo lipo kweli'? Hapa naona ni off point - je unayoongelea wewe ni hayo ya mtu mwingine tu kutokea na kudai kitu fulani kipo au hakipo au tunazungumzia yale ambayo wewe na mimi kila mmoja wetu anaamini au anajua yapo? Kwenye moja ya posts zangu (hapo juu), nilisema sayansi haiwezi ku'prove' au ku'disprove' kuwepo au kutokuwepo kwa Mungu kwa sababu Mungu hawezi kuwa investigated kwa kutumia tools za sayansi au he cannot be experimented in a laboratory. Ndiyo maana hadi muda huu sayansi haisemi chochote kuhusu Mungu. Kuna baadhi ya wanasayansi, of course' wameweza 'reconcile' sayansi na imani yao, lakini wamefanya hivyo kwa sababu wanatumia tools ambazo siyo za kisayansi maana wanaamini, kama mimi ninavyoamini, kuwa sayansi haiwezi kueleza na ku'prove' kila kitu na wanaolazimisha sayansi iseme kila kitu wanai'overstretch' na kwa kufanya hivyo wanafanya siyo sayansi, bali 'scientism' (an unwarranted application of science in situations considered not amenable to application of the scientific method or similar scientific standards). Hawa ni baadhi ya wanasayansi walioweza ku'reconcile science and their faith in God': 1) Nicolaus Copernicus (1473-1543) was a Renaissance-era mathematician, astronomer, and Catholic canon who formulated a model of the universe that placed the sun rather than earth at its centre. 2) Gregor Johann Mendel (1822-1884) was a meteorologist, mathematician, biologist, Augustinian friar and abbot of St Thomas' Abbey in Brno, Margraviate of Moravia. He gained posthumous recognition as the founder of modern science of genetics. Though farmers had known for millennia that crossbreeding of animals and plants could favour certain desirable traits, Mendel's pea plant experiments conducted between 1856 and 1863 established many of the rules of heredity, now referred to as the laws of Mendelian inheritance. 3) Georges Henri Joseph Édouard Lemaître (1894-1966) was a Belgian Catholic priest, mathematician, astronomer, and professor of physics at the Catholic University of Louvain. He was the first to theorise that the recession of nearby galaxies can be explained by an expanding universe, which was observationally confirmed soon afterwards by Edwin Hubble. He first derived "Hubble's law", now called the Hubble–Lemaître law by the IAU, and published the first estimation of the Hubble constant in 1927, two years before Hubble's article. Lemaître also proposed the "Big Bang theory" of the origin of the universe, calling it the "hypothesis of the primeval atom", and later calling it "the beginning of the world". 4) Giovanni Battista Riccioli (1598-1671) was an Italian astronomer and a Catholic priest in the Jesuit order. He is known, among other things, for his experiments with pendulums and with falling bodies, for his discussion of 126 arguments concerning the motion of the earth, and for introducing the current scheme of lunar nomenclature. He is also widely known for discovering the first double star. He argued that the rotation of the earth should reveal itself because on a rotating earth, the ground moves at different speeds at different times. 5) Antoine Lavoisier (1743–1794): considered the "father of modern chemistry". He is known for his discovery of oxygen's role in combustion, developing chemical nomenclature, developing a preliminary periodic table of elements, and the law of conservation of mass. He was a Catholic and defender of scripture.
 
Kama ulichosema ndiyo kunihibitishia "how you were conceived and born", then sijaona hiyo evidence inavyoanza na inavyoisha.
Na ndio maana nikakuuliza ni uthibitisho gani kwako ambao ukipewa utashawishika kua nimethibitisha?
Na pia nilikuuliza kwa wale wanaojifungua kabla ya kufika hospitali, ultrasound records zao zinasomaje?
Mkuu kuna mambo mawili unavhanganya hapa

1. Hoja sio kwamba kuna watu wapo hawajawahi kufanya testing kwa utralsound hivyo tubatilishe kua haiwezekani kuthibitisha

2. Hoja ni kua inawezekana kupata uthibitisho wa mtu kua alishawahi kua tumbono kwa mama yake...

Kwasababu wewe umedai haiwezekani kuthibitisha hilo, Sasa napotumia mfano wa utralsound kujibu hoja yako kuonesha uwezekano wa kuthibitisha process nzima mpaka mtu anazaliwa sikutegemea kama ungeibuka na hoja hiyo kua kuna watu fulani hawajafanya testing ya utralsound...

Mtu kutofanya test ya utralsound haithibitishi kua waliofanya hiyo testing na kupata majibu ni waongo au hawapaswi kuaminika kwa majibu yao waliyoyapata kupitia hivyo vipimo

Alafu kingine nilicho notice ni dhana ambayo umejijengea kichwani kua testing ya utralsound na CVS hufanyika siku ambayo mzazi anaenda kujifungua kitu ambacho sio lazima, kwani mtu anaweza akafanya testing ya mimba na kupata majibu exactly ya kiumbe kilichomo tumboni akajuja mpaka jinsia ya mtoto katika kipimdi ambacho kabla hata miezi tisa ya mimba haijafika

Hujanijibu. Pia nimekuuliza je ultrasound records zionaonyesha "how" a person is conceived or is born?
Utralsound can take a pictures of baby inside womb.

Kupitia utalsound unaweza kujua maendeleo ya ukuaji wa mtoto na pia kumsaidia mtabibu kujua kua kuna uhitaji wa kufanya testing zingine ili kutibu afya ya mtoto aliye tumboni

does this good enough to fit on your question?

Hujanijibu pia. Ila unaponiuliza mimi nithibitishe kuwepo kwa Mungu unataka 'instant evidence' ambayo wewe mwenyewe huwezi ku'provide'.
Hujanielewa

Lengo la mimi kudai uthibitisho ni kutokana na wewe kauli yako uliyodai kua mungu yupo real. Ikifuatiwa na kauli yako ya pili kua yupo beyond space and time ila hathibitishiki

Sasa kama hathibitishiki ulijuaje yupo?

Na kama hathibitishiki umejuaje kua he is real?

Nikikuuliza kua ni vingapi vipo beyond space and time bila shaka huna kujibu kutokana na kufungwa na kauli yako ya mwanzo kua huwezi kuthibitisha kilichopo beyond space and time

Sasa mtu akitunga jambo la uwongo kisha akakuambia kua jambo hilo lipo real ila haliwezi kuthibitishwa kwasababu lipo beyond space and time, utakubali kua jambo hilo kweli lipo?

Mantiki yangu ni kwamba space and time kutokuthibitishika kunaweza kutumika kama ukingo wa kupitishia habari za uwongo kwasababu watao jaribu kuhoji watakua limited kua inajulikana kua kilichopo beyond space and time hakithibitishiki. Sasa unahakika gani na habari za mungu kua yupo kweli ila hathibitishiki na io kwamba hayupo na habari hizo ni uzushi na ndio maana hathibitishiki kua yupo??


Nikikuuliza wewe unasema 'ultrasound records' ambazo huonyeshi ili nione ulivyotungiwa mimba na jinsi ulivyozaliwa.
Yani unamaanisha nikuwekee picha yangu iliyopigwa na sensor za utralsound kipindi niko tumboni kwa mama?

Kwa maana hiyo unakubali kua utralsound inauwezo wa kufanya hivyo ila unachokitaka tu ni mimi nikuoneshe hizo records za mimi kua tumboni?

Au hukubaliani kua utralsound haina uwezo wa kupiga picha ya kiumbe kilichomo tumboni kwa mama pamoja na kufanya genetic testing na kujua maendeleo ya kiafya ya huyo mtoto?
Na kama unadai mtu mwingine anaweza kuonyesha, ni nani huyo maana hapa huonyeshi pia jinsi huyo mtu atakavyoonyesha mimba yako ilivyotungwa na ulivyozaliwa.
Kwa hiyo unataka upewe uthibitisho kwa kuelezea mchakato mzima ulivyofanyika mpaka nikazaliwa?

Mchakato ni huu

Moja kati ya mayai mawili ya mwanamke kila mwezi kutoa mayai kwenye process inayoitwa ovulation. Ovulation hutokea wiki mbili baada ya hedhi

Baada ya hapo hayo mayai yanayoachiwa na process ya ovulation hupelekwa kwenye kitu kinaitwa falopian tube ambapo huko huwa fertilized kwa single sperm

Mwanaume anapomwaga au kupiga bao moja (ejaculate) hutoa mbegu kuanzia milion 50 hadi 160

baada ya hapo manii ya mwanaume huanza safari na kwenda kuogelea kwenye mfumo wa uzazi wa mwanamke (fallopian tube)

Muda ambao manii hutumia ili kuyafikia mayai mara nyingi hutofautiana. Sometimes sperms zinaweza kuchukua lisaa limoja na nusu mpaka kuyafikia hayo mayai, mara nyingine mpaka siku kadhaa.

Ila maisha ya sperms yanaweza ku exist kwa siku tatu au nne kabla hayajafikia yai

Baada ya hapo kuna process inayofata inaitwa fertlization ambayo huchukua siku nzima kukamilisha mchakato. Pindi manii yakipenyeza kwenye yai la mwanamke, yai hubadilika muonekano ili kuzuia manii nyingine zisiweze kuingia

Process ya Fertilization ndio hukamilisha maumbile ya mtoto hapa utaona nafasi ya utralsound na CVS kuweza kuchukua hizo genetic sample na kuzifanyia testing kujua exactly jinsia ya mtoto akiwa angali yupp tumboni kwa mama

Pindi yai likishakua fertilized mchakato wa mgawanyiko wa cells huanza kufanyika. Mayai ambayo yashakua fertilized kuindoka kwenye falopian tube na kuingia kwenye uterus ndani ya siku tatu hadi nne baada ya fertilization

Baada ya hapo inafata process ya upandikizaji (implantation) ambapo mayai ambayo yashakua fertilized huambatana na tishu ya uterus kinachoitwa endometrium

Process inayofuata baada ya hapo ni pregnancy homorne. Kuna homoni inaitwa gonadotrophin ambayo huzalishwa na seli ambaye mwishiwe huunda kitu kinachoitwa placenta. Gonadotrophin hupatikana kwenye damu ya mama ndani ya wiki mojaya mimba kutungwa na inaweza kuwa detected kwa vipimo vya mimba kwa njia ya mkojo au damu

Baada ya upandikizaji baadhi ya seli hutengeneza placenta na zingine hutengeneza kijusi
 
Na unajuaje huyo mtu ndiye atakayeweza kama wewe mwenyewe umeshindwa?
Nikishindwa mimi kuona kisogo changu hiyo inamaanisha hakuna mwingine anayeweza kuona kisogo changu?

Hapa hutaki kukubali kuwa huna evidence,
Nakushangaa unavyozidi kukataa evidence ambazo ni testable and varifiable kimakusudi kabisa

Wewe unayesema mungu yupo kumbuka mpaka sasa hujaweka hata chembe ya uthibitisho kuthibitisha kwamba yupo

unakomalia tu kwamba hiyo evidence ipo. Swali lingine ambalo ningeweza kuuliza ni kuhusu 'big bang' ambayo it seems ilitokea at one stage in space and time.
Mambo ya bing bang yanaingiaje hapo mzee?

Mimi sielewi kuhusu bingbang

Kwa swali lako la mwisho, hapa hatukuwa tukiongelea 'endapo mtu akijitokeza akasema jambo fulani tu ambalo halipo akidai kuwa lipo beyond space and time na ndiyo maana halithibitishiki, wewe utakubali kuwa jambo hilo lipo kweli'?

Kwani wewe hauwezi ukawa ndio huyo mtu aliyejitokeza na kusema mungu yupo beyond space and time hivyo hathibitishiki?


Hapa naona ni off point
Kwanini uone hivyo?

Kwanini swala la madai mengine kuhusishwa na dhana ya beyond space and time kufanye madai hayo yawe ni off point?


je unayoongelea wewe ni hayo ya mtu mwingine tu kutokea na kudai kitu fulani kipo au hakipo au tunazungumzia yale ambayo wewe na mimi kila mmoja wetu anaamini au anajua yapo?
Point sio kuamini, point ni kujua kwa uthibitisho ulio dhahiri

Kipi hicho ambacho Mimi na wewe tunaamini kuwa kitu hicho kipo?



Kwenye moja ya posts zangu (hapo juu), nilisema sayansi haiwezi ku'prove' au ku'disprove' kuwepo au kutokuwepo kwa Mungu kwa sababu Mungu hawezi kuwa investigated kwa kutumia tools za sayansi
Unajuaje kua yupo na hawezi kuthibitishika yupo na sio kua hayupo na ndio maana hathibitishiki yupo au hayupo?



au he cannot be experimented in a laboratory.
How do you know that?

Kwani kisichopo kinaweza kufanyiwa majaribio lab?

Ndiyo maana hadi muda huu sayansi haisemi chochote kuhusu Mungu.
Sio tu mungu, sayansi pia haisemi chochote kuhusu spiderman, harrypotter, batman, unicorns nk. Kwa hiyo kwasababu haijasema chochote kuhusu hivyo vitu hiyo inamaanisha vitu hivyo vipo?

Kuna baadhi ya wanasayansi, of course' wameweza 'reconcile' sayansi na imani yao, lakini wamefanya hivyo kwa sababu wanatumia tools ambazo siyo za kisayansi maana wanaamini, kama mimi ninavyoamini,
Hao ni wana sayansi, sio sayansi

Ni sawa na mimi niseme sheria ya nchi inakataza ujambazi halafu ukanipinga kua kauli yangu sio ya kweli kwa kusema mbona jombi alikua jambazi, (as if nchi imehalalisha ujambazi)

kuwa sayansi haiwezi kueleza na ku'prove' kila kitu na wanaolazimisha sayansi iseme kila kitu wanai'overstretch' na kwa kufanya hivyo wanafanya siyo sayansi, bali 'scientism' (an unwarranted application of science in situations considered not amenable to application of the scientific method or similar scientific standards). Hawa ni baadhi ya wanasayansi walioweza ku'reconcile science
Mzee sayansi kushindwa kuelezea jambo haimaanishi jambo hilo lipo au ndio iwe sababu ya kukataa tafiti za kisayansi kwasababu kuna jambo sayansi ilishindwa

Kiukweli sayansi imeshindwa kuthibitisha vingi sana na kushindwa kuthibibitisha huko sio jambo la aibu na ndio maana imekua ya kwanza kujitangaza kua imeshindwa pale ambapo imekosa majibu ya vitu

Sayansi haiwezi kuthibitisha batman, superman, spideramn, unicorns wapo...je hiyo inafanya vitu hivyo viwepo?

Kwanini kushindwa kwa sayansi kuthibitisha jambo kuhusishwe na udhaifu wa sayansi na sio kua uwezekano wa hicho kitu kuwepo ukawa ni uzushi tu na ndio maana sayansi imeshindwa kuthibitisha?
 
Unahitaji majibu gani? Nimekuwekea link, umeisoma hata kuisoma?

Nikikwambia sijui jibu hata moja la maswali yako, lakini najua jibu la Mungu kuumba ulimwengu au chochote ulichokitaja si sahihi, kwa sababu halina logical consistency.

Na ninaweza kujua jibu fulani si sahihi hata bila kujua jibu sahihi, kama ninavyoweza kujua square root ya 2 si 10, bila kujua square root ya 2 ni nini, utasemaje?

Wewe mbona unataka mimi nikujibu halafu wewe hujanijibu unajuaje Mungu yupo na kaumba kweli, na hizo habari si uzushi wa watu tu?
Nimeanza kupata wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri. Maswali unayorudia kuyauliza nimeshayajibu mala kwa mala, lakini bado unarudia kuyauliza kwa lengo la kubadili lengo la swali nililokuuliza.

Mimi nimekuuliza swali, nakutaka wewe unijibu hapa hapa, wewe si umesoma hayo maandishi kwenye hiyo link? Wewe ndio uyaweke hapa, sio mimi nikasome nayaamini vipi hayo maandishi? Vipi yakiwa ya uongo? Vipi nikitaka kuhoji nani atakaenijibu? Huyo mwandishi au wewe? Tetea hoja yako kwa kutoa majibu hapa.

Unasema(assuming) ukiniambia hujui majibu ya maswali niliyokuuliza, na lakini unajua jibu la Mungu kuumba ulimwengu si sahihi. Umejuaje kama Mungu hajaumba ulimwengu?

NB: nahitaji majibu ya swali post #584
 
Nimeanza kupata wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri. Maswali unayorudia kuyauliza nimeshayajibu mala kwa mala, lakini bado unarudia kuyauliza kwa lengo la kubadili lengo la swali nililokuuliza.

Mimi nimekuuliza swali, nakutaka wewe unijibu hapa hapa, wewe si umesoma hayo maandishi kwenye hiyo link? Wewe ndio uyaweke hapa, sio mimi nikasome nayaamini vipi hayo maandishi? Vipi yakiwa ya uongo? Vipi nikitaka kuhoji nani atakaenijibu? Huyo mwandishi au wewe? Tetea hoja yako kwa kutoa majibu hapa.

Unasema(assuming) ukiniambia hujui majibu ya maswali niliyokuuliza, na lakini unajua jibu la Mungu kuumba ulimwengu si sahihi. Umejuaje kama Mungu hajaumba ulimwengu?

NB: nahitaji majibu ya swali post #584
Ukishaandika "mala kwa mala" tu unanitoa hamu ya kujadiliana nawe.

Hujui herufi za Kiswahili, hapo hatujafika kwenye Kiingereza, sishangai hatuelewani.

Sasa naelewa kwa nini nikikupa link huwezi kusoma.

Bila shaka hujui kusoma Kiingereza.

Sasa unataka nikufundishe Kiingereza pia?

Nimekwambia naweza kujua kwamba 10 si square root ya 2 hata kama sijui square root ya 2, kwa sababu najua square root ya 2 ni lazima iwe ndogo kuliko 2.

Unajua hesabu? Unataka nikufundishe hesabu pia?
 
Mkuu unaposema nimeshindwa kuthibitisha nashindwa kukuelewa ni uthibitisho wa namna gani unautaka

Kama uthibitisho unaoutaka ni ule wa mimi mwenyewe kujitambua nikiwa ndani ya tumbo kuwa nipo katika hali ya umimba kweli siwezi lakini pia hiyo haimaanishi jambo hilo halithibitishiki nje ya mimi na jwa wengine

Kumbuka hoja ni kuthibitishika so kama mimi nikashindwa kuthibitisha halafu kukawa na mwingine ambaye aliweza kuchukua genetic sample kutoka tumboni kwa mama (ambapo mimi nipo tumboni kwa wakati huo) kisha kufanya testing na kupata majibu ambayo hayo majibu mpaka saizi yapo na naweza nika verify kua ni ya kweli kwa kupima DNA yangu kuona kua yana match na mimi bado utasema hakuna uthibitisho??

Pili uhusiano wangu mimi na kuwa conceived pamoja na hoja yako kuhusu mungu bado ni vitu viwili tofauti, nilijibu hoja yako kwasababu nilikua interested nayo ila haikua katika muktadha wa hoja yako halisi kuhusu mungu

Kwasababu mimi na exist na nathibitishika kua nipo, mungu wako hujaweza hata kuthibitisha kua yupo unaanzaje kusema yupo real?

Kwasababu ili useme kitu fulani kua kipo real ni wazi kua umejihakikishia vya kutosha kua unaushahidi wa hicho kitu kua kipo na kinathibitishika pasi na shaka. Sasa huoni kusema Mungu yupo in real is like jumping to the conclusion without having a evidence?

Na kitu kingine ambacho cha ziada nachotaka kusema ni endapo mtu akajitokeza akasema jambo fulani tu ambalo halipo akidai kua lipo beyond space and time na ndio maana halithibitishiki, wewe utakibali kua jambo hilo lipo kweli?

Hautaona umuhimu wa kudai uthibitisho kwasababu kilichopo beyond space and time hakithibitishiki?
1. Paragraph yako ya 2 na ya 3 ndiyo inaweza kuwa na sehemu ya jibu ninalokubalina nalo - "...mimi mwenye kujitambua nikiwa ndani ya tumbo kuwa nipo katika hali ya umimba kweli siwezi lakini pia hiyo haimaanishi jambo hilo halithititishiki nje ya mimi na kwa wengine."
2. Paragraph 3 "Kumbuka hoja ni kuthibitishika so kama mimi nikashindwa kuthibitisha halafu kukawa na mwingine ambaye aliweza kuchukua genetic sample kutoka tumboni kwa mama (ambapo mimi nipo tumboni kwa wakati huo) kisha kufanya testing na kupata majibu ambayo hayo majibu mpaka saizi yapo na naweza kika verify kuwa n ya kweli kwa kupima DNA yangu kuona kuwa yana match na mimi bado utasema hakuna uthibitisho?"


Kama unakiri kwamba 'huwezi kuthibitisha jinsi ulivyotungwa tumboni na kuzaliwa, ila kuna watu wanaoweza kufanya hivyo', je unakubali kwamba kutoweza kuthibitisha kitu haina maana kwamba hicho kitu si lazima kisiwepo? Yaani, kuna vitu vipo hata kama ukiweza kuvithibitisha au kushindwa kuvithibitisha. Mungu siwezi kumthibitisha kwa kutumia scientific methods kwa sababu 'he's not subject to scientific investigation'. God can be proved by other disciplines other than science such as natural theology/metaphysics and revealed theology. Nimekuuliza kwenye post yangu ya mwisho kama unakubalina na theory ya 'big bang' na kama unakubaliana nayo, 1) ni nini kilisababisha 'big bang' na 2) kabla ya 'big bang' kutokea, kulikuwa na nini?
 
Kiukweli sayansi imeshindwa kuthibitisha vingi sana na kushindwa kuthibibitisha huko sio jambo la aibu na ndio maana imekua ya kwanza kujitangaza kua imeshindwa pale ambapo imekosa majibu ya vitu

Sayansi haiwezi kuthibitisha batman, superman, spideramn, unicorns wapo...je hiyo inafanya vitu hivyo viwepo?

Kwanini kushindwa kwa sayansi kuthibitisha jambo kuhusishwe na udhaifu wa sayansi na sio kua uwezekano wa hicho kitu kuwepo ukawa ni uzushi tu na ndio maana sayansi imeshindwa kuthibitisha?
Nilitaka ukiri hivyo maana hata mimi ndivyo ninavyojua. Ila tukubaliane kwamba sayansi siyo jibu la kila kitu maana kuna disciplines zingine zinazoelezea mambo vizuri zaidi nje ya scientific methodology. Kwa hiyo, to claim science is the only discipline and scientific investigation, the only methodology to explain reality is to be intellectually dishonest. Reality can be explained using multidisciplinary methodologies. Therefore, science is not the only discipline to answer all questions and scientific investigation is not the only methodology to explain reality, including God.
 
1. Paragraph yako ya 2 na ya 3 ndiyo inaweza kuwa na sehemu ya jibu ninalokubalina nalo - "...mimi mwenye kujitambua nikiwa ndani ya tumbo kuwa nipo katika hali ya umimba kweli siwezi lakini pia hiyo haimaanishi jambo hilo halithititishiki nje ya mimi na kwa wengine."
2. Paragraph 3 "Kumbuka hoja ni kuthibitishika so kama mimi nikashindwa kuthibitisha halafu kukawa na mwingine ambaye aliweza kuchukua genetic sample kutoka tumboni kwa mama (ambapo mimi nipo tumboni kwa wakati huo) kisha kufanya testing na kupata majibu ambayo hayo majibu mpaka saizi yapo na naweza kika verify kuwa n ya kweli kwa kupima DNA yangu kuona kuwa yana match na mimi bado utasema hakuna uthibitisho?"


Kama unakiri kwamba 'huwezi kuthibitisha jinsi ulivyotungwa tumboni na kuzaliwa, ila kuna watu wanaoweza kufanya hivyo', je unakubali kwamba kutoweza kuthibitisha kitu haina maana kwamba hicho kitu si lazima kisiwepo? Yaani, kuna vitu vipo hata kama ukiweza kuvithibitisha au kushindwa kuvithibitisha. Mungu siwezi kumthibitisha kwa kutumia scientific methods kwa sababu 'he's not subject to scientific investigation'. God can be proved by other disciplines other than science such as natural theology/metaphysics and revealed theology. Nimekuuliza kwenye post yangu ya mwisho kama unakubalina na theory ya 'big bang' na kama unakubaliana nayo, 1) ni nini kilisababisha 'big bang' na 2) kabla ya 'big bang' kutokea, kulikuwa na nini?
Mkuu hivi post yangu hua unaisoma vizuri neno moja hadi lingine na kuielewa vizuri?

Unachanganya mambo

1. Kwanza sijakiri kua siwezi kuthibitisha jinsi nilivyotungwa mimba hadi kuzaliwa. Ni eidha hujamakinika na hoja yangu hususani zile process nilizokuwekea zikionesha mwanzo mpaka mwisho hadi mtoto kuzaliwa au hujaelewa target ya hoja husika. Ni kwamba wewe unakubali kua inawezekana kuthibitisha kua niliwahi kua tumboni kwa mama ila unachokitaka wewe ni mimi muhusika ndio nikuthibitishie. Kiukweli ukitaka hivyo basi hata mimi nitaweka masharti kua ni lazima wewe urudi nyuma ya wakati mpaka siku ambayo mimi niko tumboni kwa mama yangu kisha uniulize hilo swali nikiwa tumboni ili nikuthibitishie kua nikiwa tumboni bado najitambua utaweza??

2. Pili hiyo mimba unayoizungumzia kwa wakati huo ndio mimi hapa, kwa tafsiri hiyo mimi nipo na nathibitishika...lakini huyo mungu wako ukimuweka katika chain hii hawezi fit kwasababu jukumu la kwanza itakua kumthibitisha yupo

mimi tayari nipo na ninathibitishika kua nipo... iweje ujenge hoja kua kwasababu sikuweza kujitambua wakati nikiwa tumboni kwa mama kuhusiane na kutokuwepo kwangu wakati nipo na ninathibitishika?
 
Nilitaka ukiri hivyo maana hata mimi ndivyo ninavyojua. Ila tukubaliane kwamba sayansi siyo jibu la kila kitu maana kuna disciplines zingine zinazoelezea mambo vizuri zaidi nje ya scientific methodology. Kwa hiyo, to claim science is the only discipline and scientific investigation, the only methodology to explain reality is to be intellectually dishonest. Reality can be explained using multidisciplinary methodologies. Therefore, science is not the only discipline to answer all questions and scientific investigation is not the only methodology to explain reality, including God.
Kwani wapi nimesema sayansi ni jibu la kila kitu?

Hapo juu nimekuoneshea kua sio mungu tu ambaye hazungumziwi na sayansi mpaka unicorns

Swali langu hujajibu

Unajuaje kua Mungu yupo kihalisia ila hathibitishiki kwasababu yuko beyond space and time na sio kwamba hayupo kihalisia na ndio maana hathibitishiki kua yupo?
 
Kwani wapi nimesema sayansi ni jibu la kila kitu?

Hapo juu nimekuoneshea kua sio mungu tu ambaye hazungumziwi na sayansi mpaka unicorns

Swali langu hujajibu

Unajuaje kua Mungu yupo kihalisia ila hathibitishiki kwasababu yuko beyond space and time na sio kwamba hayupo kihalisia na ndio maana hathibitishiki kua yupo?

Mkuu hivi post yangu hua unaisoma vizuri neno moja hadi lingine na kuielewa vizuri?

Unachanganya mambo

1. Kwanza sijakiri kua siwezi kuthibitisha jinsi nilivyotungwa mimba hadi kuzaliwa. Ni eidha hujamakinika na hoja yangu hususani zile process nilizokuwekea zikionesha mwanzo mpaka mwisho hadi mtoto kuzaliwa au hujaelewa target ya hoja husika. Ni kwamba wewe unakubali kua inawezekana kuthibitisha kua niliwahi kua tumboni kwa mama ila unachokitaka wewe ni mimi muhusika ndio nikuthibitishie. Kiukweli ukitaka hivyo basi hata mimi nitaweka masharti kua ni lazima wewe urudi nyuma ya wakati mpaka siku ambayo mimi niko tumboni kwa mama yangu kisha uniulize hilo swali nikiwa tumboni ili nikuthibitishie kua nikiwa tumboni bado najitambua utaweza??

2. Pili hiyo mimba unayoizungumzia kwa wakati huo ndio mimi hapa, kwa tafsiri hiyo mimi nipo na nathibitishika...lakini huyo mungu wako ukimuweka katika chain hii hawezi fit kwasababu jukumu la kwanza itakua kumthibitisha yupo

mimi tayari nipo na ninathibitishika kua nipo... iweje ujenge hoja kua kwasababu sikuweza kujitambua wakati nikiwa tumboni kwa mama kuhusiane na kutokuwepo kwangu wakati nipo na ninathibitishika?
Methodolojia ya sayansi haiwezi kuthibitisha au kutothibitisha kuwepo kwa Mungu. Kwa nini? Kwa sababu sayansi inatumia methodolojia (observable data) ambayo haiwezi kuthibitisha kuwa Mungu yupo au hayupo. Nilichosema kwamba siwezi kuthibitisha au kutothibitisha ni kwa kutumia methodolojia hii - ambayo kimsingi - inatokana na kuona, kusikia, kuonja, kunusa na kugusa. Ni wazi kwamba Mungu hatuwezi kumthibitisha kwa kuona, kusikia, kuonja, kunusa na kugusa kama wanasayansi wanavyofanya wakati wakifanya majaribio, kuya'verify' na kisha kuyathibitisha kuwa ni kweli hadi hapo nadharia tofauti inayopingana na ya awali itakapopatikana.

Mungu yupo kwa sababu yeye mwenyewe:

  • amejifunua/jidhihirisha kwetu kupitia ulimwengu uliopo na vyote vilivyomo (revelation) - kwamba huu ulimwengu upo na vyote vilivyomo vipo kwa sababu vimeumbwa naye. Mungu ndiye chanzo cha vitu vyote vinavyoonekana kwa macho na visivyoonekana na hakuna chanzo kingine zaidi yake.
  • maandiko matakatifu (scriptures) yanasimlia kuwepo kwake na uumbaji wake na jamii yeyote ya watu inaamini (trust/certainty) kuwepo kwa Mungu ambaye anatajwa kwa majina mbalimbali - Mungu, Allah, Dieu, God, Namalenga, Nyamuanga, Lesa, Ngai, Mulungu etc. Hakuna 'traditional society' duniani ambayo haimini kuwepo kwa Mungu, ambaye kwa nyakati tofauti tofauti amehubiriwa na mababu na manabii mbalimbali (Musa, Ibrahimu, Isaya, Yesu, Mohamed etc) na watu mbalimbali wameshuhudia matendo makuu ya Mungu katika maisha yao tangu enzi na enzi na hadi leo. Haiwezekani wote hawa waseme uwongo as if walisemezana kabla simply kwa sababu sayansi haiwezi kuthibitisha walichoamini au wanachoamini na kukiishi.
  • Kwa njia ya maandiko matakatifu, Mungu anawaalika wanadamu kuishi steadfast love, saving justice, unconditional forgiveness, kindness, compassion etc without which humans will be monsters and turn against each other. Science is silent about steadfast love, saving justice, unconditional forgiveness, kindness, compassion, uprightness etc because all these attributes do not follow under the realm of science, but are better explained in scriptures and theology (as virtues).
  • Kutokana na imani hii kwa Mungu kama response kwake waumini wa dini mbalimbali wanaonyesha moyo wa upendo utokao kwa Mungu na wanauishi upendo huo katika maisha yao ya kila siku kwa kuwasaidia wengine hasa wenye shida mbalimbali za maisha na mara nyingi wanafanya hivyo kwa aijili ya Mungu kwa sababu ndiye anayewaongoza kuishi maisha hayo ya mfano. Sayansi haiwezi kum’inspire’ mtu aishi maisha ya mfano kwa wengine.
  • Tunaona pia migogoro inapotokea, Mungu huwapatanisha wanadamu na kwa kusoma maandiko matakatifu na kujifunza moyo wa upendo na kusameheana, binadamu wanaofanya hivyo wanaishi kwa upendo na amani zaidi kuliko wale wasiosameheana. Na sayansi kamwe haiwezi kuwa’inspire’ wanadamu kusamehe au kusameheana/kupenda au kupendana.
 
Methodolojia ya sayansi haiwezi kuthibitisha au kutothibitisha kuwepo kwa Mungu. Kwa nini? Kwa sababu sayansi inatumia methodolojia (observable data) ambayo haiwezi kuthibitisha kuwa Mungu yupo au hayupo.
Kwani kupitia methodolojia sayansi inaweza ikathibitisha unicorns, spiderman, batman kua wapo au hawapo?

Je kushindwa kwa sayansi kuthibitisha hivyo kunahitimisha kua vitu hivyo vipo?

Unahakika gani kua sayansi haiwezi kuthibitisha mungu wako kua yupo au hayupo kwasababu ya udhaifu wake katika mfumo wake wa kiuchunguzi na sio kwamba mungu huyo hayupo ni dhana tu yakufikirika kama unicorns na ndio maana hathibitishiki yupo au hayupo?
 
Nilichosema kwamba siwezi kuthibitisha au kutothibitisha ni kwa kutumia methodolojia hii - ambayo kimsingi - inatokana na kuona, kusikia, kuonja, kunusa na kugusa. Ni wazi kwamba Mungu hatuwezi kumthibitisha kwa kuona, kusikia, kuonja, kunusa na kugusa kama wanasayansi wanavyofanya wakati wakifanya majaribio, kuya'verify' na kisha kuyathibitisha kuwa ni kweli hadi hapo nadharia tofauti inayopingana na ya awali itakapopatikana.
Mkuu hata kisichopo kina sifa kama hizo ambazo unadai mungu wako anazo.

Niambie kisichopo kinaweza kuwa detected na organ gani na uka prove kua hakipo?
 
:

  • amejifunua/jidhihirisha kwetu kupitia ulimwengu uliopo na vyote vilivyomo (revelation) - kwamba huu ulimwengu upo na vyote vilivyomo vipo kwa sababu vimeumbwa naye. Mungu ndiye chanzo cha vitu vyote vinavyoonekana kwa macho na visivyoonekana na hakuna chanzo kingine zaidi yake.
Unajuaje kua vimeumbwa na mungu na sio kitu kingine au vikawa havina muumbaji wala chanzo?

Pia kuna maelfu ya miungu inayoabudiwa na dini mbalimbali, kwanini mungu wako tu ndio awe muumbaji wa ulimwengu?
 
Back
Top Bottom