Kirusi kinachotisha kuliko Corona ni uoga/ hofu

Kirusi kinachotisha kuliko Corona ni uoga/ hofu

Afrika tumewekeza sana kwenye uchawi, uganga na dini! Basi tutumie hizo dini zituokoe kwenye hili. Kwa kifupi bila sayansi na technolojia ni hakuna maisha
 
Hamaki ndo kinachoendelea sasa hivi!

Kupitia hili janga nimeanza kuona inawezekana kabisa wafanyabiashara hua kuna namna wanafanya kusababisha hali flani itokee kuweza kufanikisha mambo yao.

Nimewaza tu inawezekana siku za usoni watu wakaanzisha habari ikatengeneza hofu inayotibua utulivu wa kufikiri kabisa, kinachofuatia ni maamuzi yasiyo na umakini.

Hata hizi baadhi ya vita na migogoro isiyoisha inawezakuwa iko namna.
 
jamii forum imekufa jamii forum ya sasa sio ya mwaka 2012,13 ,14,15 mwanzoni jf ya sasa imevamiwa na watoto wa dogo wa facebook na instagram mtoto mdogo anatoa hoja ya kishamba kabisa na alafu wahusika wanauwacha . hiii ni aibu sana kwa wahusika na sisi wadau wa muda mrefu maana bila sisi wadau wa muda mrefu leo hii hawa watoto wadogo wasigeijua jf . hivi wahusika kwann hawa watoto msiwape jukwaa lao . jukwaa la watoto chini ya 18 . kuliko kuja humu wanatuaharibia sana jukwaa linakosa mvuto jukwaa limepoteza ushawishi wada wengine wanatoka wanenda twitter


Ikiwa bado na wewe uko JF basi hali sio mbaya sana.
 
jamii forum imekufa jamii forum ya sasa sio ya mwaka 2012,13 ,14,15 mwanzoni jf ya sasa imevamiwa na watoto wa dogo wa facebook na instagram mtoto mdogo anatoa hoja ya kishamba kabisa na alafu wahusika wanauwacha . hiii ni aibu sana kwa wahusika na sisi wadau wa muda mrefu maana bila sisi wadau wa muda mrefu leo hii hawa watoto wadogo wasigeijua jf . hivi wahusika kwann hawa watoto msiwape jukwaa lao . jukwaa la watoto chini ya 18 . kuliko kuja humu wanatuaharibia sana jukwaa linakosa mvuto jukwaa limepoteza ushawishi wada wengine wanatoka wanenda twitter
Ulikuwa unataka kwenda bafuni,mara ghafla umejikuta chooni!! Nadhani ulisahau kuwa choo kimekubana kuliko uchafu wako wa mwili,,hata hueleweki unalalamikia nini! Ukikubali kuwa wewe ni mzee kubali kuwa pia akili yako nayo imezeeka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hivi anapoweka kichwa cha habari nanukuu mimi siogopi corana alafu unaingia ndani anachosema kwanini agopi corana anajua mwenyewe wakati huo huo mjomba wake magufuli anawaambia wazazi wake na kakae zake kwamba corona ni hatari ziaidi ya ukimwi sasa mimi nikisema huyo ni dogo ana akili za kitoto na jukwaa limevamiwa na watoto wa fb na insta nitakuwa nimekosea mkuu
Kwa hiyo na wewe umeamini kuwa corona ni hatari kuliko ukimwi? Wewe utakuwa na corona ya ubongo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Korona ni janga aiseee

Waswahili tuombe Mungu isituathiri kama inavyowafanya watu wa ulaya huko

Ninyi wabongo mnazusha mambo mengi tu mara oooh mmarekani ndio aliitengeneza ili kumdhoofisha mchina, lakini kwa sasa korona inamtafuna mmarekani na nchi washirika wake bila huruma
Korona ni jabari kweli, linatesa na unakufa
Corona ipo Afrika karibia mwezi sasa,unaweza kuniambia ni waafrika wangapi wameshauliwa na hiyo corona?au na wewe umefata tu mkumbo wa watu weupe ambao kwao mafua ni zaidi ya ebola?tusitishane bana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upo sawa but corona inaonekana ni tishio kwasababu inauwa watu wengi kwa muda mfupi.
lkn pia ni muhimu ku tek note kwamba kuna magonjwa ya kikanda kama ebola/ugonjwa wa watu weusi hususan bara la Africa hasa Africa ya kati....
corona una cut accross/ugonjwa wa dunia
Hadi sasa umeshaua waafrika wangapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakika ugonjwa huu umepigiwa promo hadi mtu ukiugua malaria watu wanajua tayari una corona!
Hakuna ugonjwa hatari duniani kama Hofu inauwa kuliko njaa


Sent using IPhone X
 
Back
Top Bottom