Kisa Kizito cha Mzee aliyemnyooshea Bakora Mwalimu Nyerere

Acha hizo MS
Eti wabara ndio tunamhadithi John Okello wakati hajulikani!
Far from that na usipotoshe historia.
1964 wewe ulikuwa wapi?
Sisi tulikuwepo na tena baba zetu wakiwa sehemu nyeti.
John Okello aliondolewa kwa sababu za kisiasa lakini jina lake lilikuwa kubwa wakati huo hata sasa.
 
Asante kwa hadith ya Ally Msham, lakini hujajibu hoja.
Jidu...
Mimi sipendi ubishani.
Ubishani hauna manufaa.

Mimi hupenda kusomesha kile ambacho hakijulikani ili kuleta elimu mpya.

Mlimjua Abdulwahid Sykes, Hamza Mwapachu au Sheikh Hassan bin Ameir na Suleiman Takadir katika historia ya TANU?

Hamkupata kuwasikia.

Mmewajua kwa kuwa nimesomesha historia yao.

Amin upendacho mimi sina tatizo ila nitakueleza kile ambacho hukijui.
 
Masa..
Baba yako alikuwa sehemu nyeti.

Jaha Ubwa na Abdulaziz Twala walikuwa wakija nyumbani kwetu.
 
Masa..
Baba yako alikuwa sehemu nyeti.

Jaha Ubwa na Abdulaziz Twala walikuwa wakija nyumbani kwetu.
kwahiyo kwasabbu maisha yako yapo hopeless unawaonea wivu wengine waliofanikiwa kwa kuleta historia za uongo, hivi tangu uanze kuleta vikaburasha vyako unavyoviita vitabu, vimekuingizia shilingi ngapi? siku zote huwa nakwambia utuambie, wakristo nchi hii tupo wengi sana, tuambie tu unatudai bei gani tutachanga kama tunavyofanya sadaka, tukupatie ili utuache salama na uone na sisi tuna mchango kwenye hii nchi tangu hata kabla haujazaliwa.
 
Acha figisu mzee.
Kwani wewe unawajua walipigana vita vya Kagera, hata Makamnda wenyewe huwajui.
Sasa hao uliowataja wana umuhimu gani katika historia?
Unachangia uhuru na unaenda zakoWatakao kukumbuka watakukumbuka kwa ukichawafanya.
Sasa jikite katika kujibu ulichoulizwa.
Mfano ukiuliwa moja ongeza moja ni ngapi?
Huwezi kujibu, pale kuna nusu, kule robo tatu na kusini ni theluthi...!
Jibu, moja ongeza moja ni mbili, kwisha!
 
Yesu...
Sijapata kuandika "vikaburasha."
Angalia hapo chini:


Kitabu hiki kimechapwa mara nne toka kitoke mara ya kwanza 1998

Tafsiri ya kitabu Phoenix Publishers, Nairobi 2002

 

Attachments

  • 1725543864297.jpeg
    101.3 KB · Views: 0
Takadiri mtaka dini.....ndiye huyu....
 
Yesu...
Kitabu cha Abdul Sykes kimetoka Nyerere yu hai.

Ilipoamuliwa kiandikiwe kitabu cha maisha ya Julius Nyerere nimeshirikishwa katika uandishi wake.

Angalia picha hapo chini nikiwa na waandishi wa kitabu cha Mwalimu Nyerere:



 
Nisamehe kama kuna sehemu niliwahi kukujibu vibaya,kama kweli unakaribia 70 , inawezekana ni agemate na Mama yangu..........shikamoo Mama
 
Stori za mtoro, manyema na kichangani ghahawani
Inside...
Hapana.

Mimi si mtu wa kufanyiwa kejeli.
Angalia hapo chini:

The Question of Muslim Stagnation in Education in Tanzania - A Muslim Riddle (Paper presented at the Conference of the Global World of the Swahili Intercultural Dialogue on the Indian Ocean Zanzibar, February 20 - 23, 2003).

Islamic Education and Intellectualism in Eastern Africa ‘Themes from the Pulpit in Tanganyika (Tanzania Mainland) 1800 – 2000’ (Paper presented at International Symposium on Islamic Civilisation in Eastern Africa Kampala, Uganda organised by the Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA), Istanbul and the Islamic University in Uganda, Mbale December 15th – 17th 2003).

Sheikh Hassan bin Ameir - The Moving Spirit of Muslim Emancipation in Tanganyika (1950 – 1968) (Paper presented at Youth Camp Organised by Zanzibar University, World Assembly of Muslim Youth (WAMY) and Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) 27th February – 4th March 2004).

Islamic Movement and the Christian Lobby in Tanzania - the Experience of the late Prof. Kighoma Ali Malima (1938 – 1995) (Paper Presented to Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) Sokoine University of Agriculture (SUA) Morogoro 11th April 2004).

Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience (Paper Presented at the Conference on Islam, Terrorism and African Development University of Ibadan, Nigeria 8th - 10th February 2006).

Al Marhum Sheikh Kassim bin Juma bin Khamis (1940 – 1994) and the Pork Riots of 1993. (Paper Presented at the Regional Conference on Islam in Eastern Africa: Islam Encounter with the Challenges of the 21st Century 1st - 3rd August 2006, Kenyatta University, Nairobi.

Muslim Bible Scholars of Tanzania – The Legacy of Sheikh Ahmed Deedat (1918 – 2005) Paper Presented at the International Symposium on Islamic Civilisation in Southern Africa Organised by The Organisation of Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA) The National AWQAF Foundation of South Africa (AWQAF SA 1 – 3 September 2006 University of Johannesburg.

Tanzania: A Nation Without Heroes Seminar Organised by IFRA French Institute for Research in Africa and BIEA British Institute in East Africa 23rd and 24th September 2013 at IFRA Nairobi.

Visiting Scholar:
University of Iowa, Iowa City, USA
Northwestern University, Chicago, Illinois, USA
Zentrum Moderner Orient (ZMO), Berlin, Germany

Misikiti ya Mtoro, Manyema, Mtambani, Kichangani na mingineyo ni sehemu ya maisha yangu lakini kwa ibada.

Mimi sithubutu kulitukana wala kulikejeli kanisa lako kwani kufanya hivyo si uungwana.

Unataka kujadiliana na mimi kwa faida ya jamii yetu na tujadiliane kwa adabu na heshima.

La huna moyo wa kustahamili niandikayo kaa pembeni.


View: https://youtu.be/2pfoAmwg12c
 
Huu huu wa kusaka bikra za ahera?
Naona mada ya nyerer imekushinda unahamisha magoli. Kwangu mbpona poa tu.

Kuna wenye "kusaka bikra" zaidi ya mlio mbadili jina Mariam mpaka mmempachika jina "bikira Maria"?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…