Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakumbuka kipindi cha Nyerere, Mwinyi, na Mkapa tulikuwa na wizara ya Afya, hii ilisimama yenyewe. Pia kulikuwa na Wizara ya Ustawi wa jamii, jinsia, wanawake na watoto. Nakumbuka ustawi wa jamii ilikuwa na vyuo vya ustawi wa jamii vingi tu. Pia kulikuwa na uanzishwaji wa vituo vya kulelea wazee. Sikuhizi nahisi wazee wanasahaulika.Tumetoka mbali sanaa
Mfano shule za msingi walipochanganya masomo aina 2-3 tofauti na kusema "study za kazi" sayansi ya jamii
Zamani somo la siasa/geographia/sayansi-kimu/historia etc yalikuwa yakijitegemea .... baada ya mda yakajumuishwa baadhi, wengine wakasema sawa na wengine wakasema sio sawa
Huu muunganisho wa wizara kwa nchi nyingi wizara ya afya "ministry of health' inasimama yenyewe. anyway ni mipango ya kiutendaji
Dr. Hamis KigwangalaMirija ya ulaji inaenda kuongezeka,,, Wizara itahitaji ofisi nchi nzima...
Vijana watapata ajira pia,, au ndio kinatengenezwa cheo ili mtu fulani apate ulaji
Dr. Hamis KigwangalaNamuona Mama Kairuki akipewa hizara hii
Dr. Hamis KigwangalaAtatokea unguja au Tanganyika ?
Dr. Hamis Kigwangala
Halafu atateuliwa Nape au RISWAN au Ngwala kushika hiyo wizara.Another Expenses for our Coffers
duh!Atatokea unguja au Tanganyika ?