its a quite imbalance articleAngalia wenzako wasiyo na mihemko wanavyofanya analysis ya uchaguzi wetu Tanzania 2020 Elections: 7 key pieces of information you need to know
Many experts and analysts converge to say that Magufuli is likely to be reelected regardless of the 2015 election scenario where the CHADEMA candidate, Edward Lowassa, came close enough to defeating the CCM candidate, Dr. John Pombe Magufuli.
CC Pascal Mayalla
Kadri muda unavyozidi kwenda ndivyo Wanaomuunga Mkono Tundu Lissu wanavyojitokeza na kuzidi kuongeze
View attachment 1603481
Read it first and come with unbiased judgementits a quite imbalance article
Kuna madhara yoyote?Suali kidogo, huyu jamaa hapo ni kwa nini amavaa balacava katika mkutano wa hadhara? Anafanya mambo gani ya sirisiri kiasi kwamba hatakki kujulikana? Pia kuna jamaa amevaa fulana yenye bendera ya USA kwa trump na binden nao wanagombani hadi tanzania?
Huwezi kua upande wa oppressor alafu useme njia ni ile ile , hakuna kitu kama hichoSakata la uamsho linakurupukiwa kama sakata la mkulima. Kuna mengi hapa sema mihemko ya kutafuta kura imetawala. Umeshasikia mauaji yanayoendela mtwara?wakikamatwa wale kesho na kesho kutwa watu mtalalamika na kuona wameonewa.
Kama mmeamua kumtumia ponda basi msijelalamika wenzenu wanapowatumia viongozi wa dini maana wote mnapita njia zile zile
Ni kazi yetu SISI wananchi kuhakikisha kuwa hatuchezewi tena na NEC wala wachumia tumbo wengine.Labda waibe kama walivyozoea, ila NEC wakitenda haki CCM kwisha.
We jamaa ni cdm damudamu KWELI km samuraiKaribu Tanzania mpya
usome kwanza WARAKA wa ponda ndio utajua msimamo wake uko wapi....kama hujui usifuate mkumboHili Ni swali la
Ubongo wako umeozaHii kuchanganya mambo ndio ninapouona ujinga wa upinzani, yaani mtafanya chochote alimradi kwenu ni hayo madaraka tu.
Yaani hata kama Mtu umeichoka ccm lakini Upinzani wamekosa kabisa Watu wenye hekima wa kuchuka nafasi, Lisu ni Mwanaharakati si Mwanasisasa.
Wewe ni kamanda wa mama SamiaAcha kupanic,ninakueleza ukweli kama kamanda wa CDM
Jibu lilikuwa ndiyo au hapana, mbona unapenda kujifanga mjinga kama mwanachama wa ccm? Au wewe ni ccm nikusamehe bure?Usiniulize upuuzi
Tumeeona mlichofanya kule Mtwara- ndiyo maana Lissu hajaenda hukoSheikh Ponda amezungumza jukwaa moja na Tundu Lissu?
MUNGU ambariki Sheikh Ponda kwa wema huu.
Mmmh mkuu tupe hii ilikuwaje !!?Shekhe Ponda ni Shekhe jasiri sana, CCM walipanga auwawe pale Morogoro kwa mshangao wa wengi Shekhe akazikwepa risasi kininja