Uchaguzi 2020 Kishindo: Sheikh Ponda atoa neno kwenye mkutano wa Lissu Dodoma, Uwanja walipuka kwa shangwe

Uchaguzi 2020 Kishindo: Sheikh Ponda atoa neno kwenye mkutano wa Lissu Dodoma, Uwanja walipuka kwa shangwe

..kama Waislamu wanataka HAKI basi wanajua nani wa kumpigia kura.
Hawa Watanzania waisilamu au wakristu ni wanachama wa chama gani? Mimi nilikuwa nafikiri vyama vinapigiwa kutokana na uanachama wa wafuasi wake ambao ndio wakeretwa wakubwa. Ukweli wa mambo ni kwamba waliojiandikisha kupiga kura wana itikadi zao na kuna mrejesho wa wanachama kwenye upigaji wa kura. Chadema ina wanachama wangapi waliojiandikisha? Je, CCM ina wanachama wangapi waliojiandikisha?
 
Sheikh Ponda ana mahusiano makundi ya kigaidi, anakichafua chama chetu.
Ndugu yangu wewe ni polisi, mwendesha mashitaka na hakimu mpaka umtie Ponda hatiani? Viache vyombo vya kutoa Hali vitamke Kama Ponda ni mhalifu ama la. ACHA CHUKI BINAFSI ☹️☹️☹️
 
Hatutaki Nyenyenyeee

Screenshot_20201017-205632.jpg


Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
 
Mimi ni mkatoliki ila namheshimu shehe PONDA kuliko yule jamaa anaitwa polikapi kadinali pengo
Dogo ujuwe unaniudhi sana. Chenga zimekuwa nyingiiii. Wewe mwenyewe uliahidi utanilipizia kisasi kwa kuniua kwa kuwaibia TV chogo black and white 1988. Unapiga tu Chenga unakwepa ahadi yako. Sasa nakuja homu kwenu na kuwaibia iyo flat screen 65 inch navitablet ili mnimalize kabisa
 
...huyo shkh ajitambui ni mjinga...nachukia sana kuona kiongozi wa dini kutumika Kwenye kampeni (mambo ya kisiasa)..

Lau angejua dini ilivyo mbali na haya mambo,Basi asingekubali kuwa ganda la ndizi..
Yaani amekuwa kama masheikh wa bakwata,
 
Naiona Tanzania Mpya ya Mabadiliko chini ya Mh Rais TAL. Hakika Mungu Wetu ni Mwema na ndivyo itakavyokuwa baada ya tar 28/10.
 
Kuna watu walikua wanailalamikia bakwata na siasa haya ponda huyo nae na siasa wanaona sawa tu. Aiseee
 
Sawa, namkubali shehe Ponda ila awe anasema nawaomba wale wanaoniunga mkono waisilamu na wakiristo tumpigie kura Lissu asitumie tumekubaliana.
 
Ungekuwa unalijua hili usingeunga maovu chungu nzima ya huyo anayejiita MWENDAWAZIMU ikiwemo mauaji ya kutisha.
Tanzania ni yetu sote


Maendeleo hayana vyama
 
Huyu anasimamia HAKI na UHURU wa kweli wa Watanzania ambavyo vimo ndani ya Katiba tofauti na Baraza la waislamu wanafiki Tanzania ambao wanakumbatia uminywaji wa HAKI UHURU huo.


Kuna watu walikua wanailalamikia bakwata na siasa haya ponda huyo nae na siasa wanaona sawa tu. Aiseee
 
Back
Top Bottom