Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwili umenisisimka kwa furaha kubwa na isiyoweza kuelezeka,ccm wameshindwa kumnunua Shekh Ponda. Hakika huyu ni Shekh anayesimamia miiko na maadili ya Uislam na kuyaishi!
Kura zote kwa Lissu!
Yaani mshinde Jimbo la Dodoma mjini? Hilo jambo halipo leo wala kesho .Kwa wajinga wajinga sio apo maana penye wajinga wengi ndio penye wana chama wa ccm
Aaaaaaaaaaah! Sasa wewe unawashtuaaa! Inatakiwa mchawi asilione jua linapochomoza. Anakuja kushtuka, ni saa mbili asubuhi, yupo uchi sokoni!Labda waibe kama walivyozoea,ila NEC wakitenda haki Ccm kwisha.
Namwona Godbless Lema akiunga mkono juhudi za raisUmeandika UPUUZI gani?
Namwona Godbless Lema akiunga mkono juhudi za rais
Lisu hana kura za kuibiwaNa safari hii wakijaribu kuiba kura watakoma, Lissu hataki ujinga, wafadhili/mabeberu nao hawataki ujinga, na wanaomuunga mkono Lissu wote nao hawataki ujinga, CCM itabidi wajue wataibaje hizo kura kwa akili vinginevyo kazi wanayo.
Bakwata mtwara waliwasemea Kama Nani waislamu?Yeye kama nani anawasemea waislamu
Endelea kunengua kwenye fiesta za ccm tuHuyu ndio amekuja kuharibu kabisa,maana huwa ana itikadi za kutokupenda amani ya nchi yetu,kwa ujumla Chadema tumebugi sana.
Huyu ndio amekuja kuharibu kabisa,maana huwa ana itikadi za kutokupenda amani ya nchi yetu,kwa ujumla Chadema tumebugi sana.
Hii hali ya kuamini kwenye goli la mkono imekua ni sumu..viongozi na wafuasi hawajengi hoja wamebaki kujiaminisha ushindi. Ni ujinga wa kiwangio cha SGRYamkini mtakusanya kila garasa, kuanguka Oct 28 kupo pale pale. JPM tano tena.
Yamkini mtakusanya kila garasa, kuanguka Oct 28 kupo pale pale. JPM tano tena.
Sisi wanachadema wenye akili tunapinga kumtumia Ponda,maana ana asili ya ugaidi.
Kama ni watu wa haki tusiwatambue,kwa mchango wao.Chadema sasa mnajiegemeza kwa viongozi wa Bakwata!
Kama naomba nakumbuka alikua ndani na Mbowe piaKuna wakati alikuwa jela nadhani na Lema kama sikosei wakajenga urafiki mkubwa sana hadi wa kusali pamoja mmoja anaanza kusali kwa dini yake mwingine anamalizia. Kusali pamoja bila kubaguana kulinigusa sana mimi nakuona bado kuna Watanzania wenye upendo wa kweli kwa Watanzania wenzao bila ya kujali tofauti zao zozote zile.
Ponda ana mahusiano na Isis na Alshababu,Chadema tumechemka sana.
Kama Mungu alimwokoa na jaribio la kumtoa uhai maneno ndio ya mtishe na yatutishe Wantanzania.