Uchaguzi 2020 Kishindo: Sheikh Ponda atoa neno kwenye mkutano wa Lissu Dodoma, Uwanja walipuka kwa shangwe

Uchaguzi 2020 Kishindo: Sheikh Ponda atoa neno kwenye mkutano wa Lissu Dodoma, Uwanja walipuka kwa shangwe

Hii ni ishara nyingine ya ziada kuwa Mungu amempa nafasi TAL.

Kuna mambo yasikuwa yakitarajiwa naona as days come to the end the impossible becomes the possible.

Mungu tupe uhai tushuudie Muujiza wako.
 
Sasa kama ni enzi za JK kwann lawama zote ziende kwa magufuli

Unajua mkuu kuna saa mnachanganya madesa mpaka wenyewe mnashindwa kujua mshike wapi muache wapi

Adui yenu mkubwa ni CCM na sio Magufuli mkifahamu hii mtaeleweka kirahisi. Lowassa alipokuja kwenu mlisingizia system. Kesho na keshokutwa nyalandu mtamsafisha(actual mmeshamsafisha)Jk akija mtamsafisha vizuri tu

Ya babu seya mlianzisha wenyewe magu akatenda msamaha baada ya uchaguzi hii ina maana chadema mliona babu seya kaonewa hakuwatendea vile watoto mkaipa kipaumbele zaidi kwenye ilani yenu

..ukishashika usukani wa nchi lawama nyingi zinakuwa kwako.

..kwa mfano, kuna tatizo la maji vijijini ambalo Jpm amelirithi toka kwa watangulizi wake, lakini kipindi hiki ameshika usukani kila mtu anamlaumu Jiwe kwa tatizo la maji vijijini.

..kwenye suala la Masheikh wa Uamsho, ni kweli Jk na Babu Ali ndio waliowafunga. Lakini Jpm ana miaka yake 4 ya kuendelea kuwaweka kizuizini. Na kipindi hiki Jpm ndiye mwenye ufunguo wa kuwatoa Mashekhe kizuizini. Mazingira hayo ndiyo yanayosababisha Jpm asakamwe kuhusu Mashekhe.
 
Hao walioko Magerezani wakilawitiwa kwa zamu nao wanatumiwa kama beleshi?
Yaani muislamu kama mimi siwezi kutumika na hawa wanasiasa wapuuzi...

Hizo ni gia tu za kutafuta kura hakuna mkristo anaweza kumpenda muislamu huo ni unafiki na maandiko yapo ukitaka ntakuletea...

Sent from my SM-G920V using JamiiForums mobile app
 
Waislam wa nchi hii tugutuke nini kina endelea dhidi yetu?
Masufi ndio wanatakiwa kugutuka kwasababu wao huendeshwa na matumbo yao na sio muongozo (DALILI yaani Quran n Sunnah)
Na hakuna jambo linaloweza kumuogopesha muislam maana kila kipo wazi Haki/Baatili
Halal/ haraaam vyoote vipo.

Tatizo kuna msitar mwembamba mno kati ya USUFI NA KUFURU/ USHIRIKINA
HAPO KWELI MNATAKIWA MUWE MAKINI
 
Huo ni uzushi tu Lissu huwezi ukamlinganisha na fisadi lowassa hata chembe. Hutaki kuona ubaguzi wa huyo KICHAA kwenye maamuzi yake mbali mbali ikiwemo hata kupeleka Maendeleo sehemu mbali mbali nchini kisa tu sehemu hizo walichagua Mbunge ambaye si wa maccm lakini wakati huo huo bado anakusanya kodi za watu wa maeneo hayo.

Narudia tena KICHAA hakuwafunga Babu Seya na mwanae lakini aliweza kuwatoa jela sioni sababu yoyote ile ya yeye kushindwa kuwatoa hao uamsho zaidi tu ya ubaguzi wake wa kutisha.
Fatilia style ya kuwatoa akina babu seya. Mliwataja kwenye ilani yenu akawapa mlichotaka. Uamsho mmewataja na mmemtumia ponda mkilaumu utadhan Magu ndie aliyewafunga. Adui yenu ni CCM kwa wengine tunzeni akiba ya maneno maana hamfahamu mwenye chama anawaza nini dakika yoyote anasafisha mtu kama lowassa.
 
Sakata la uamsho linakurupukiwa kama sakata la mkulima. Kuna mengi hapa sema mihemko ya kutafuta kura imetawala. Umeshasikia mauaji yanayoendela mtwara?wakikamatwa wale kesho na kesho kutwa watu mtalalamika na kuona wameonewa.

Kama mmeamua kumtumia ponda basi msijelalamika wenzenu wanapowatumia viongozi wa dini maana wote mnapita njia zile zile
..ukishashika usukani wa nchi lawama nyingi zinakuwa kwako.

..kwa mfano, kuna tatizo la maji vijijini ambalo Jpm amelirithi toka kwa watangulizi wake, lakini kipindi hiki ameshika usukani kila mtu anamlaumu Jiwe kwa tatizo la maji vijijini.

..kwenye suala la Masheikh wa Uamsho, ni kweli Jk na Babu Ali ndio waliowafunga. Lakini Jpm ana miaka yake 4 ya kuendelea kuwaweka kizuizini. Na kipindi hiki Jpm ndiye mwenye ufunguo wa kuwatoa Mashekhe kizuizini. Mazingira hayo ndiyo yanayosababisha Jpm asakamwe kuhusu Mashekhe.
 
Suala la uamsho mmechemsha pakubwa ni sawa na sakata la mkulima wa SA.

Hata dr slaa alikua halinganishwi na mtu yoyote kwa yale mapovu mliyokua mnaita fact ila saiv wa kawaida povu hana
Huo ni uzushi tu Lissu huwezi ukamlinganisha na fisadi lowassa hata chembe. Hutaki kuona ubaguzi wa huyo KICHAA kwenye maamuzi yake mbali mbali ikiwemo hata kupeleka Maendeleo sehemu mbali mbali nchini kisa tu sehemu hizo walichagua Mbunge ambaye si wa maccm lakini wakati huo huo bado anakusanya kodi za watu wa maeneo hayo.

Narudia tena KICHAA hakuwafunga Babu Seya na mwanae lakini aliweza kuwatoa jela sioni sababu yoyote ile ya yeye kushindwa kuwatoa hao uamsho zaidi tu ya ubaguzi wake wa kutisha.
 
Labda waibe kama walivyozoea, ila NEC wakitenda haki CCM kwisha.
Kampeni za Lissu ni jeshi la mtu mmoja dhidi ya majeshi ya ccm yaliyotapakaa nchi nzima. Yeye anapiga kampeni mijini na kwenye barabara za lami tu huku wapigakura akiwaache vijijini/ mashambani/ mabondeni. Hivyo kuwaza kuwa anaweza kushinda huo ni uwenda wazimu.
 
rafiki yangu alinipigia leo jion nikiwa porini eneo ambalo hakuna network. akanijulisha kuhusu tukio hili; nikamjibu siamini kamwe mpaka niione hiyo video na Ponda kwa macho yangu halisi akitamka hayo maneno.

Dah! mpaka sasa siamini kuwa huyu baba ameshindikana kununulika aisee! huyu kiongozi wa kweli na mtumishi wa kweli wa Mungu Muumba atakuwa amekataa mkwanja mrefu sana. kwa kweli ndugu zangu waislam mnaye kiongozi shupavu, mcha Mungu na mwenye hofu ya Mungu Muumba kuliko maelezo.

Jaman Jaman Jaman viongozi wangu wakatoliki mnakwama wapi wazee wangu? ni kweli Baba zetu wa kiroho mmeshindwa kabisa kusimama upande wa haki katika kipindi tete kama hiki kwa sisi waumini wenu?!!!!! Kweli wazee wetu na phd zenu kweli mnashindwa kutamka neno la haki kwa ulimwengu huu upitao kitambo kidogo tu? Kwa nini mnakuwa kinyume na mnachotuhubiria tangu nikiwa mdogo kanisani neno kuu kutoka vinywani mwenu ni upendo na haki leo hii imekuwaje viongozi wetu kwa nini mnatukwaza kiasi hiki?!!! nihame hili dhehebu jamani au nifanyeje mimi?! why why why?!
 
Cha kushangaza unataka kuliona la uamsho lakini wakati huo huo mfano niliokywekea wa Babu Seya na mwanae unaukwepa. Slaa naye ni MPUUZI tu kwani alikubali kushiriki kikao cha kumkaribisha fisadi lowassa kisha alipofurumshwa na hawara yake ndiyo akapinga maamuzi yale. Angekataa kukaribishwa kwa yule fisadi angejizolea sifa nyingi sana Nchini na kuonekana shujaa. Alijiharibia sana heshima yake aliyokuwa amejijengea.
Suala la uamsho mmechemsha pakubwa ni sawa na sakata la mkulima wa SA.

Hata dr slaa alikua halinganishwi na mtu yoyote kwa yale mapovu mliyokua mnaita fact ila saiv wa kawaida povu hana
 
Huo ni uzushi tu Lissu huwezi ukamlinganisha na fisadi lowassa hata chembe. Hutaki kuona ubaguzi wa huyo KICHAA kwenye maamuzi yake mbali mbali ikiwemo hata kupeleka Maendeleo sehemu mbali mbali nchini kisa tu sehemu hizo walichagua Mbunge ambaye si wa maccm lakini wakati huo huo bado anakusanya kodi za watu wa maeneo hayo.

Narudia tena KICHAA hakuwafunga Babu Seya na mwanae lakini aliweza kuwatoa jela sioni sababu yoyote ile ya yeye kushindwa kuwatoa hao uamsho zaidi tu ya ubaguzi wake wa kutisha.
Hebu leta hata TIN number yako tu ,iki tujue kama unalipa kodi,maana Kodi imekuwa kodi kwenye kila comment yako.Sidhani hata kama unatambulika TRA.Walipa kodi hatunaga ujinga wa namna hii.
 
Kama huna cha maana cha kuandika pita kimya kimya badala ya kuandika UPUUZI!
unafananisha kesi ya kina babu seya na ya uamsho fahamu kwanza uamsho bado hawajahukumiwa kina babu seya walishahukumiwa,au rais akiachia wafungwa na uamsho waachiwe kwa msamaha wa rais?

Duniani kuna vituko!

Sent from my SM-G920V using JamiiForums mobile app
 
Magu hakuwafunga akina babu seya ila aliwatoa baada ya kuhaidi pia. Je uamsho amehaidi kuwatoa?
Cha kushangaza unataka kuliona la uamsho lakini wakati huo huo mfano niliokywekea wa Babu Seya na mwanae unaukwepa. Slaa naye ni MPUUZI tu kwani alikubali kushiriki kikao cha kumkaribisha fisadi lowassa kisha alipofurumshwa na hawara yake ndiyo akapinga maamuzi yale. Angekataa kukaribishwa kwa yule fisadi angejizolea sifa nyingi sana Nchini na kuonekana shujaa. Alijiharibia sana heshima yake aliyokuwa amejijengea.
 
Back
Top Bottom