Kisutu: Erick Kabendera afikishwa mahakamani, upelelezi dhidi yake haujakamilika

Kisutu: Erick Kabendera afikishwa mahakamani, upelelezi dhidi yake haujakamilika

We ngombe hivi alikamatwa au alivamiwa na watu wasiojulikana hadi polisi walivyokiri kuwa wamemshikilia kwa mahojiano? Usitutoe kwenye reli
[/QUOT km unajua kesi ilivyo si uende mahakamani kumtetea? Kelele za hapa jukwaani sio msaada kwake. Zaidi mnampoteza
 
A
Hii inch ni yetu sote!! Utawala unao zingazia utu na sheria ni muhimu sana.
Alipaswa kulijua hilo tangu awali kwamba nchi hii ni yetu wote na siyo ya mabwana zake anaowatumikia. Awe mzalendo, kashifa kwa viongozi na nchi yetu kufanywa na mtu anaye jinasabisha ni mwenzetu haitavumiliwa. Ni dalili za uhaini. Ona sasa ile benchi kakaa peke yake!
 
Sioni uoga wowote kwake, labda kama unataka tuone kaingia woga. Lengo hasa ni kumtia woga, sasa wanapima upepo kama kaogopa. Hana lolote la kuogopa maana anajua ni mashitaka ya kubumba, sana sana ni kupotezeana muda.

Je na Wewe upo katika lile Jopo la Mawakili wake?
 
Ameiona rangi halisi ya dunia ambayo alikuwa hajawai kuifikiria kama ipo kweli.

Picha ya leo anaonekana ni Mtu mwenye kutia Huruma, Kujutia Jambo fulani, hajapata Usingizi mzuri, alikuwa hapumziki, ana Maumivu ya jumla jumla ( Watu wa Medani hapa najua mtakuwa mmenielewa ) lakini kubwa ni mwenye mawazo mengi ndani yake. Hata hivyo bado nawasubiria Wanasaikolojia Wabobezi / Wabobevu wa JamiiForums ili wao ndiyo wanielimishe vizuri zaidi hasa juu ya Picha zake pamoja na Mwonekano wake wa leo pale Mahakamani. Bila shaka Sisi ambao hatujawahi Kukamatwa ( Kusumbuliwa ) na Mamlaka ila tunapiga mno Makelele Mitandaoni kuna la Kujifunza na kuwa nalo Makini.
 
Saliti la taifa lipi?

Kasaliti kwa kuandika ukweli unaondelea humu?

Makala ya The Economics kuna uongo gani mle?

Mbuzi nyie!

Punguani kabisa!

Taifa ni Jiwe?Hivi tangu lini Jiwe kawa Taifa?

Taifa ni serikali ya CCM tangu lini?

Fvck you,your maker and everybody in your camp put together!

Showing that all of you are pussies mnamjengea makosa ya kutunga!

Y’all motherfuckers are pussies!

Fvxk outta here you ugly Jiwe blowjob givers!

Get on yo’ knees,I pull my dick in public,suck it you fags!
Hicho kinywa chako kichafu hata kiropoke nini haitakusaidia. Lugha unayo tumia unaona umeendelea maana umesikia inasemwa na gredi ya watu wa hali ya chini waliokataliwa na jamii ya watu wastaarabu huko maremani! Huku
Tanzania lugha hiyo unajidhalilisha mwenyewe,maana watanzania wanaoishi humu nchini (Tanzania) ni wastaarabu wamelelewa kwa maadili mazuri kama ya wafalme wa uingereza. Lugha kama hii yako waTanzania hawaithamini. Gredi yako ni ya chini sana ndiyo maana wachache wamekujibu. Mimi nimekujibu kwasababu kutokana na lugha yako nimejua unaishi na watu wahali gani. Pole sana.
 
Watamzungusha miezi kadhaa alafu watamuachia baada ya kukosa evidence, ndiyo utawala chini ya jembe ulivyo. Hataki kukufunga, anataka akusumbue tu utishike na wengine wakuone uogope. Stupid
Na mwisho unajirudi unakuwa mzalendo mzuri - mfano hai ni Halima Mdee! Tangu alala selo mmeisha msikia akibwata kama zamani? Sasa hivi anaheshima tele. Huyo Kabendera akitoka huko atajifunza na kihaya au kinyambo maana hazijui lugha hizo.
 
Mnaojua Saikolojia vyema naomba mtusaidie mkimuona Mtu ambaye mwanzoni alikuwa akionyesha ama Jeuri fulani hivi au akijiamini sana au haogopi chochote hasa akiwa Mahakamani halafu ghafla baada ya Wiki moja baadae anaonekana Mahakamani akiwa Mpole, Mtiifu na mwenye Kutia Huruma hapa huwa kunakuwa na nini labda kimetokea au kimemtokea? Nitakuwa ni mwenye furaha Kubwa nikielimishwa juu ya nilichokiuliza na Wataalam mbalimbali wa Saikolojia hasa waliopo hapa JamiiForums.
Wale wote waliokua wanamjaza upepo wako majumbani mwao wanapambana na hali yao.Utaona kwenye bench yuko peke yake.Hapo ndio machungu na majuto yanapomuingia. Hawezi kuwa sawa psychologically.
 
Unafananisha makosa ya Snowden na Kabendera?

Ndio maana nasema nyie kunguni wa CCM ni majinga ya mwisho kabisa!

Hakuna mwananchi wa nchi hii ambae amesoma akawahi kua wa nafasi ya kumi kwenda juu darasani yupo CCM!

No!

Wote mliopo humo ni mapunguani mentally disabled clowns!
Kwahiyo wewe mwenye AKILI TIMAMU unakubali vipi kuongozwa na WAJINGA?Huoni hao unaowaona WAJINGA ni wanaakili na ndio maana saiz uko nyuma ya keyboard na fake ID unatema pumba ukiogopa kudakwa?
 
Wakili Mwandamizi wa Serikali, Wankyo Simon ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa upelelezi wa kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mwandishi wa Kujitegemea wa Habari za uchunguzi, Erick Kabendera bado haujakamilika

Kabendera anashtakiwa kwa Makosa matatu ikiwemo kukwepa Kodi kiasi cha Tsh. Milioni 173,247,047.02, Utakatishaji Fedha na kujihusisha na genge la uhalifu Makosa ambayo yote hayana dhamana

Kabla ya kushtakiwa kwa Makosa tajwa hapo juu, Kabendera alihojiwa na Jeshi la Polisi kwa kuwa na mashaka juu ya uraia wake na baadaye kudaiwa kukiuka sheria ya Makosa mtandaoni (Cyber Crimes Act) hadi aliposomewa mashitaka ya uhujumu uchumi

Mwandishi huyo wa kujitegemea ambaye amekuwa akichapisha habari zake katika vyombo mbalimbali nchini na ulimwenguni alikamatwa nyumbani kwake Mbweni, mnamo Julai 29, 2019

Pia soma

Mungu mbariki Kabendera
 
Kwaiyo kwakuwa hatoishi milele na kutawala milele ulikuwa unataka watu wakifanya makosa wahangaliwe tu?.
Hahahahahah hao jamaa ni wapuu****z sana.Yaani wakifanya UPUMBAVU na wakishughulikiwa wanakuja juu oooh hata ishi MILELE, utadhani mtu ambaye hataishi MILELE ni haki yake kufanyiwa UPUMBAVU.
 
Na mwisho unajirudi unakuwa mzalendo mzuri - mfano hai ni Halima Mdee! Tangu alala selo mmeisha msikia akibwata kama zamani? Sasa hivi anaheshima tele. Huyo Kabendera akitoka huko atajifunza na kihaya au kinyambo maana hazijui lugha hizo.

Akili ndogo
 
Hilo halina shida maana hata Elbashir aliwafunga wengi kwa uonevu hivi hivi. Ila hata leo naye ni mfungwa humo humo na aliowafunga kwa uonevu.
Haya ni maneno ya kujifariji hahahahahahah. Atatoka 2025 na kuendelea na maisha yake na naamini Wewe utakua miongoni mwa waimba pambio za kumsifu.
 
Wale wote waliokua wanamjaza upepo wako majumbani mwao wanapambana na hali yao.Utaona kwenye bench yuko peke yake.Hapo ndio machungu na majuto yanapomuingia. Hawezi kuwa sawa psychologically.

Nakubaliana nawe kwa 100% Kiongozi na kuna Katabia ambako kamejaa Unafiki utakuta Watu Siku ambayo Mtu wao wanayempenda labda amekamatwa utawaona wanapiga Kelele zao za Kinafiki kwa Siku mbili tatu tu na baada ya hapo wanaanza Kumsahau Mwenzao na Yeye Mhusika kujikuta kabaki peke yake. Na wengi Wao hata huwa hawaendi Mahakamani bali huko Mahakamani utawaona Ndugu zake pekee au wale Marafiki zake Makamarada tu. Bado nasisitiza Umakini ni Muhimu kuliko Kulewa Sifa za Watanzania Wanafiki wengi ambao ukiwa na Matatizo wanakutupa ila huwa wanakutumia sana kwa Malengo yao makubwa ya Kisiasa ( hasa Kiupinzani ) na Kianaharakati zaidi. Hizi Keyboards zinatudanganya mno Kiongozi.
 
Back
Top Bottom