KISUTU: Jamhuri kuleta mashahidi 24, vielelezo 19 kesi ya Mbowe na wenzake

KISUTU: Jamhuri kuleta mashahidi 24, vielelezo 19 kesi ya Mbowe na wenzake

Nelson Mandela pia alipitia haya yote, Hichilema HH naye pia, sasa mwenyekiti wetu naye wanamsulubu lakini historia za wote miamba watatu hawa wakaishia kuongoza Mataifa yao mbali ya mbinu zote walizotumia watawala kujaribu kushindana na historia.
Usimfananishe Nelson Mandela na Kibaka Mbowe,aka mkora mbobezi
 
W
Mwenyekiti wa chama taifa Mhe. Freeman Mbowe amewasili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, ambapo leo Agosti 23, 2021 kesi Na.63/2020 ya Uhujumu Uchumi yenye mashtaka ya Ugaidi ndani yake itaanza kusomwa kwa hati ya mashtaka na ushahidi kwa hatua ya awali.

UPDATE: Mashtaka
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam wamesomewa maelezo ya mashtaka mbalimbali yanayowakabili ikiwemo la kutaka kudhuru viongozi wa Serikali akiwemo aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya.


Upande wa mashitaka unasoma mashitaka kwa kusema kuwa; Halfan Bwire Hassan, Adam Hassan Kasekwa, Mohamed Abdallah Ling'wenya na Mhe. Freeman Mbowe wanatuhumiwa;

1. Freeman Mbowe anatuhumiwa kufadhili vitendo vya Ugaidi kwa kutoa shilingi za kitanzania laki sita ( 600,000). Jamhuri umeieleza Mahakama kuwa Matumizi ya fedha hiyo ni kama ifuatavyo;
1. Kulipua vituo vya Mafuta
2.kulipua mikusanyiko ya watu
3.Kukata miti na kusambaza barabarani

2. Kula njama na kusabisha majeraha kwa aliyekuwa mkuu wa wilaya Hai, Lengai Ole Sabaya

3. Watuhumiwa wote ambapo wanatuhumiwa kushiriki vikao na Kula Njama za kutenda Ugaidi

4. Mshtakiwa wa pili anashitakiwa kumiliki bastola yenye risasi tatu kwa ajili ya kutenda kosa la ugaidi.

5. Mshtakiwa wa tatu anatuhumiwa kumiliki nguo, begi na koti za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWT) na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT.)

-
UPDATE: Mashahidi 24 vielelezo 19 kesi ya Mbowe na wenzake

Mashahidi 24 na vielelezo 19, wanatarajia kutoa ushahidi katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na wenzake watatu.

Miongoni mwa mashahidi hao, yupo aliyekuwa Mkurugenzi wa Upelelezi na Makosa ya Jinai nchini (DCI), Robert Boaz.

Hayo yameelezwa leo, Agosti 23, 2021 na upande wa mashtaka ukiongozwa na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Nassoro Katuga akisaidiana na Ester Martin, wakati wakiwasomea maelezo ya mashaidi na vielelezo (Commital Proceedings) washtakiwa hao, mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama hiyo, Thomas Simba.

Credit: Mwananchi
acha niendelee kufikiri kwanza nitakurudia.
 
Mwenyekiti wa chama taifa Mhe. Freeman Mbowe amewasili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, ambapo leo Agosti 23, 2021 kesi Na.63/2020 ya Uhujumu Uchumi yenye mashtaka ya Ugaidi ndani yake itaanza kusomwa kwa hati ya mashtaka na ushahidi kwa hatua ya awali.

UPDATE: Mashtaka
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam wamesomewa maelezo ya mashtaka mbalimbali yanayowakabili ikiwemo la kutaka kudhuru viongozi wa Serikali akiwemo aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya.


Upande wa mashitaka unasoma mashitaka kwa kusema kuwa; Halfan Bwire Hassan, Adam Hassan Kasekwa, Mohamed Abdallah Ling'wenya na Mhe. Freeman Mbowe wanatuhumiwa;

1. Freeman Mbowe anatuhumiwa kufadhili vitendo vya Ugaidi kwa kutoa shilingi za kitanzania laki sita ( 600,000). Jamhuri umeieleza Mahakama kuwa Matumizi ya fedha hiyo ni kama ifuatavyo;
1. Kulipua vituo vya Mafuta
2.kulipua mikusanyiko ya watu
3.Kukata miti na kusambaza barabarani

2. Kula njama na kusabisha majeraha kwa aliyekuwa mkuu wa wilaya Hai, Lengai Ole Sabaya

3. Watuhumiwa wote ambapo wanatuhumiwa kushiriki vikao na Kula Njama za kutenda Ugaidi

4. Mshtakiwa wa pili anashitakiwa kumiliki bastola yenye risasi tatu kwa ajili ya kutenda kosa la ugaidi.

5. Mshtakiwa wa tatu anatuhumiwa kumiliki nguo, begi na koti za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWT) na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT.)

-
UPDATE: Mashahidi 24 vielelezo 19 kesi ya Mbowe na wenzake

Mashahidi 24 na vielelezo 19, wanatarajia kutoa ushahidi katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na wenzake watatu.

Miongoni mwa mashahidi hao, yupo aliyekuwa Mkurugenzi wa Upelelezi na Makosa ya Jinai nchini (DCI), Robert Boaz.

Hayo yameelezwa leo, Agosti 23, 2021 na upande wa mashtaka ukiongozwa na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Nassoro Katuga akisaidiana na Ester Martin, wakati wakiwasomea maelezo ya mashaidi na vielelezo (Commital Proceedings) washtakiwa hao, mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama hiyo, Thomas Simba.

Credit: Mwananchi
No mbili ndo kichekesho, yani huyu alikua anavamia na anaonekana kwenye clip za cctv ,akiwa na mitutu, na gari zenye plate no za UN feki, usiku wa manane , ambae anaonekana kwenye camera akiwa kwenye Mduka usiku wa manane

Huyu anaelaniwa na KILA mtu ,ikiwemo clip ya bibi anaesema afunguliwe amgate mahala , ndo huyu alietaka jeruhiwa na Mbowe,

Acheni kisingizio Cha Mbowe, mchukueni mpelekeni ukanda ule ,na mwachieni mtaani Kama kweli wananchi hawatamgata mahala mpaka akakoma,
 
Magufuli huyu, mwizi na muuaji mkubwa, na sabaya wake? Majambazi na wauaji? Acheni kukejeli. Wengi wamepoteza maisha, kwa kubomolewa nyumba, kwa kuuwawa moja kwa moja, kwa kutumbuliwa kwa uonevu
Tulieni malaika wenu ashughulikiwe, sisi Magufuli wetu mnayemwita mwizi ameshaondoka.
 
Kwanza fahamu kuwa watu wana njaa iliyokithiri hapa nchini na huko kwenye mataifa ya dunia ya tatu kama Somalia au hata hapo Kenya hivyo ni rahisi kwa kijana kuingizwa kwenye mtego wa kufanya jinai ya UGAIDI kwa chips mayai au hata kupewa fedha ya kuikimu familia yake kwa siku moja au wiki na hivyo kukubali kufanya ugaidi. Sasa hiyo 600000/= unadhani haiwezi kufadhili UGAIDI, say wanapewa hela ya kula kisha wanapewa vidumu vya petroli (kwani lita moja ya petroli bei gani?), kisha viberiti au vilipuzi vya aina yoyote au wanapewa gongo, wanalewa na kisha wanahamasishwa kumchoma visu Ole Sabaya, unadhani hawawezi kukamilisha jinai ya UGAIDI kwa namna hiyo!? Omtiti kalieleza vizuri kwenye #195. Someni mfunguke macho!
Hivi UGAIDI unaujua wewe?

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Gaidi ananyooshwa kwelikweli
Katika kesi 63/2021 Mhe. @freemanmbowetz anatuhumiwa kufadhi Ugaidi kiasi cha shilingi Laki 6 na upande wa Jamhuri umeieleza Mahakama kuwa Matumizi ya fedha hiyo ni kama ifuatavyo;

1. Kulipua vituo vya Mafuta

2. Kulipua mikusanyiko ya watu

3. Kukata miti na kusambaza barabarani
 
Hata jamhuri wakileta mashahidi elfu 10 na vielelezo elfu 50 bado hawawezi kushinda kesi yao ya kubumba ,ni vituo gani vilivyolipuliwa? Au ni assumptions tu?
 
kwani lastime hawakupanga tarehe? walipanga na wambwiga wenu walivyoona nyomi la wafafadhili wa nnji wapo makamani wakageuzia angani na kisingizio cha kindezi kutoka lumumba eti usafiri hakuna.. mbona waliweza kumtoa mwanza fasta kwa ndege? leo pia wamenusa wakaona wafadhili hawapo ndio wamemleta. wafadhili sio wapumbafff kama viongozi wako na hamuwezi kuwayumbisha mtanasa wenyewe tu kwenye tundu.
Nawashangaa sana Chadema, hata kwenda mahakamani mnashindwa, mnakaa kwenye simu na computer zenu huku mnasubiri hao mnaowaita wafadhili waandamane. Mtasubiri sana. Gaidi Mbowe ana jambo lake linamsubiri gerezani.
 
hawa jamaa mimi hata siwahurumii maana kitendo cha kusherekea kifo cha Magu ni laana tosha acha iwatafune mpaka 2025
 
Mashaidi wote ni CCM. Kama vilivyo kwa Sabaya. Mashaidi ni Chadema. Goma ni Ndroo
 
No mbili ndo kichekesho, yani huyu alikua anavamia na anaonekana kwenye clip za cctv ,akiwa na mitutu, na gari zenye plate no za UN feki, usiku wa manane , ambae anaonekana kwenye camera akiwa kwenye Mduka usiku wa manane

Huyu anaelaniwa na KILA mtu ,ikiwemo clip ya bibi anaesema afunguliwe amgate mahala , ndo huyu alietaka jeruhiwa na Mbowe,

Acheni kisingizio Cha Mbowe, mchukueni mpelekeni ukanda ule ,na mwachieni mtaani Kama kweli wananchi hawatamgata mahala mpaka akakoma,
Mbowe aliponzwa na kauli kama hizi pia, kwamba "mahakama ikishindwa kumshughulikia nitamshughulikia mtaani"

Najua kilichompoza sabaya.
 
Safi kabisa. Moyoni mwake anajua ukweli wote juu ya vitendo hivyo vya ugaidi. Mbowe ni mtu hatari sana siyo tu kwa taifa lakini hata kwa Chadema. Polisi waimarishe ulinzi Nguvu ya Chadema imekwisha mahakamani na imekwisha Twitter Republic. Sasa mahakama ifanye kazi yake kwa utulivu na mambo yote yawekwe wazi. Mbowe si malaika.
Unaukumbuka ule ushahidi wa Lwakatare?.
 
Mwenyekiti wa chama taifa Mhe. Freeman Mbowe amewasili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, ambapo leo Agosti 23, 2021 kesi Na.63/2020 ya Uhujumu Uchumi yenye mashtaka ya Ugaidi ndani yake itaanza kusomwa kwa hati ya mashtaka na ushahidi kwa hatua ya awali.

UPDATE: Mashtaka
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam wamesomewa maelezo ya mashtaka mbalimbali yanayowakabili ikiwemo la kutaka kudhuru viongozi wa Serikali akiwemo aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya.


Upande wa mashitaka unasoma mashitaka kwa kusema kuwa; Halfan Bwire Hassan, Adam Hassan Kasekwa, Mohamed Abdallah Ling'wenya na Mhe. Freeman Mbowe wanatuhumiwa;

1. Freeman Mbowe anatuhumiwa kufadhili vitendo vya Ugaidi kwa kutoa shilingi za kitanzania laki sita ( 600,000). Jamhuri umeieleza Mahakama kuwa Matumizi ya fedha hiyo ni kama ifuatavyo;
1. Kulipua vituo vya Mafuta
2.kulipua mikusanyiko ya watu
3.Kukata miti na kusambaza barabarani

2. Kula njama na kusabisha majeraha kwa aliyekuwa mkuu wa wilaya Hai, Lengai Ole Sabaya

3. Watuhumiwa wote ambapo wanatuhumiwa kushiriki vikao na Kula Njama za kutenda Ugaidi

4. Mshtakiwa wa pili anashitakiwa kumiliki bastola yenye risasi tatu kwa ajili ya kutenda kosa la ugaidi.

5. Mshtakiwa wa tatu anatuhumiwa kumiliki nguo, begi na koti za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWT) na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT.)

-
UPDATE: Mashahidi 24 vielelezo 19 kesi ya Mbowe na wenzake

Mashahidi 24 na vielelezo 19, wanatarajia kutoa ushahidi katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na wenzake watatu.

Miongoni mwa mashahidi hao, yupo aliyekuwa Mkurugenzi wa Upelelezi na Makosa ya Jinai nchini (DCI), Robert Boaz.

Hayo yameelezwa leo, Agosti 23, 2021 na upande wa mashtaka ukiongozwa na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Nassoro Katuga akisaidiana na Ester Martin, wakati wakiwasomea maelezo ya mashaidi na vielelezo (Commital Proceedings) washtakiwa hao, mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama hiyo, Thomas Simba.

Credit: Mwananchi
moods badilisheni kabisa na mleta mada maana mnaona kama vile mimi zombi nimekosea kuleta hii mada. sasa kuniwekea haya mavyokovyoko yenu mnaamaanisha ni mimi ndie nimeongezea mada yangu au nyiniyi mmeingilia kati na kuongezea yenu ili nionekane mimi ndie mwenye mada nimeongezea wakati sijamfanya hivyo? huu utaratibu mmeuza lini mbona mnaingilia mawazo ya mtu aliyotoa na mnayabadili na kuweka mnayotaka nyinyi? sasa haya ni maoni yangu au yenu?
 
Back
Top Bottom