Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Hapana aliweka mifano hai
Jr[emoji769]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana aliweka mifano hai
Tunapaswa kukiboresha kiswahili na siyo kusukumiza sukumiza tu !! hebu waelekeze waje kwenye darsa langu jioni..!!Hahahahahah mimi huwa nasema si wawe wanaongea tu kiswahili? Haya masuala ya kuchanganya mwisho wanatia aibu wangeacha tu
hata kiswahili ni kizuri sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunapaswa kukiboresha kiswahili na siyo kusukumiza sukumiza tu !! hebu waelekeze waje kwenye darsa langu jioni..!!
Hakuwa sahihi pia, tuna WIMBO na tuna NYIMBO hayo yanatumika katika mazingira tofauti ya utumizi wa msamiati wa lugha adhimu.Niliwahi kumsikia nguli wa kiswahili, rais mstaafu akisema neno "nyimbo" halina umoja. Anayesema nyimbo hii yuko sahihi
Sent using Jamii Forums mobile app
Wee Usijali wala kupandisha hasira...!!Ngoja niwaite mkuu halafu watangazaji wa radio ndiyo wanaongoza kusema still bado hahaahahahaha mimi napata hasira
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanazingua mkuu....si waongee tu kiswahiliWee Usijali wala kupandisha hasira...!!
alwatan !! tutawaongoza na kumwaga ilmu..
Hii 'nyimbo' ni nzuri.
Huu 'mwimbo' mzuri.
Badala kusema huu wimbo ni mzuri.
Watangazaji wengi vijana wasio somea mambo ya uandishi wa habari au utangazaji hasa wa redio East Africa, Clouds FM, Magic FM, E-FM, na nyingine za mtindo huo zote pamoja na wasanii wengi wa bongo flava au gospel wanatumia lugha hiyo ya wimbo mmoja kuita 'nyimbo ile', 'nyimbo yangu' badala ya wimbo wangu au 'mwimbo wangu' badala ya wimbo wangu.
HahahahahahahahWaswahili wengi hatupendi kujifunza,.tukikosolewa utasikia "huyu naeee anajishauaa utadhani babake oni sigalla"(nimemtaja tuu oni sigalla[emoji4]).
Mtu unamwambia sio lahareo ni rahaleo anakuona mjuvi ndio kwanza atakujibu kwani "razima" uniambie..alaah!!!! Tunasahau kwamba pamoja na kiswahili kuwa ndio lugha mama yetu lakini lazima tujifunze,ndio maana hata mashuleni kuna somo la kiswahili..
Tumekiingiza kiswahili kwenye singeli.Ni nini kinatukumba kwenye lugha yetu ya kiswahili!?? Huu mchanganyiko wa L na R unakuwa kasi saana. Tunaelekea wapi!?
Mfano
Shuklani,, gurio
Unanizungumzia mimi???Hahahahahaha Mkuu anzisha thread maalum kwa wale wa still bado na halafu then
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahahahaha dah kaka bhana ...me nitakuwa nakuelekeza taratibu
Unielekeze wap? ??Na siku hzi umenisusa[emoji35][emoji35]Hahahahahahahaha dah kaka bhana ...me nitakuwa nakuelekeza taratibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku hizi kuna watu hawaelewi kinachoandikwa ndiyo sababu ya huyo jamaa kurekebisha ile kitu 👆.Katoa mfano
Jr[emoji769]