Kiswahili: Matumizi ya Herufi “L” na “R”

Kiswahili: Matumizi ya Herufi “L” na “R”

Waswahili wengi hatupendi kujifunza,.tukikosolewa utasikia "huyu naeee anajishauaa utadhani babake oni sigalla"(nimemtaja tuu oni sigalla😊).

Mtu unamwambia sio lahareo ni rahaleo anakuona mjuvi ndio kwanza atakujibu kwani "razima" uniambie..alaah!!!! Tunasahau kwamba pamoja na kiswahili kuwa ndio lugha mama yetu lakini lazima tujifunze,ndio maana hata mashuleni kuna somo la kiswahili..
 
Hii 'nyimbo' ni nzuri.
Huu 'mwimbo' mzuri.
Badala kusema huu wimbo ni mzuri.

Watangazaji wengi vijana wasio somea mambo ya uandishi wa habari au utangazaji hasa wa redio East Africa, Clouds FM, Magic FM, E-FM, na nyingine za mtindo huo zote pamoja na wasanii wengi wa bongo flava au gospel wanatumia lugha hiyo ya wimbo mmoja kuita 'nyimbo ile', 'nyimbo yangu' badala ya wimbo wangu au 'mwimbo wangu' badala ya wimbo wangu.

Kushindwa kutofautisha marumizi ya umoja na wingi wa wimbo/nyimbo ni janga.., mfano mzuri ni Diamond wimbo mmoja anasema NYIMBO YANGU!!
 
Waswahili wengi hatupendi kujifunza,.tukikosolewa utasikia "huyu naeee anajishauaa utadhani babake oni sigalla"(nimemtaja tuu oni sigalla[emoji4]).

Mtu unamwambia sio lahareo ni rahaleo anakuona mjuvi ndio kwanza atakujibu kwani "razima" uniambie..alaah!!!! Tunasahau kwamba pamoja na kiswahili kuwa ndio lugha mama yetu lakini lazima tujifunze,ndio maana hata mashuleni kuna somo la kiswahili..
Hahahahahahahah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom