Hao wanaomkosoa mleta mada hapa ndani ni TISS wenyewe.
Kwa mtanzania ambae ana akili sawasawa hakuna anayekubaliana na vitendo haram alivyofanya bwana jiwe
Itakuwa hujui maana ya tiss na kazi za tiss wewe. Kwani uliambiwa tiss ni majini au miungu?kama rais wa nchi anafanya vituko km hvyo nakuna tiss.nini kazi ya tiss
Nakazia na kwa hulka yake na historia yake, Magufuli hana tofauti na hao marais duniani walioua watu tena ndani ya Ikulu...kama madai kuwa Magufuli alimshoot Ben Saanane ni ya kweli, Magufuli hatokuwa Raisi wa kwanza dunia hii kuua mtu.
Basi kila mtu ashinde mechi zake.
Mimi source yangu iliambia hayo mwaka 2020 suala ambalo limekuja kuthibitishwa na Kitabu cha Kabendera kilichotoka hivi karibuni.
Wewe source yako inasema uongo leo baada ya Kabendera ku confirm taarifa za source yangu after 5 years.
Kama unaakili utaelewa mwenyewe kama umepewa taarifa za uongo au za kweli
Maafisa wa tiss ni wateule wa rais, unafikini hapa pana tiss ya kuaminika?kama rais wa nchi anafanya vituko km hvyo nakuna tiss.nini kazi ya tiss
Amefanya mageuzi makubwa pamoja na kumpiga risasi Ben Saanane...siyoMagufuli atabaki midomoni mwa watu mpaka kiama ndio raisi aliyefanya mageuzwi makubwa kwa wazembe na mafisadi katika karne hii ya kuogopana na kuleana!
Unajua TISS ipo chini ya ofisi ipi?Sasa TISS si ni chombo cha Rais au upo nchi gani?
Una ushahidi katika hilo?kama rais wa nchi anafanya vituko km hvyo nakuna tiss.nini kazi ya tiss
Kwa maelezo yake yale hamna kitu kabisa. Yaani kaandika habari kubwa kama hiyo kama vile kaambiwa, kasikia kijiweni then yeye kaiweka kwenye kitabu. Hapo ni wazi Kabendera aither Elimu yake ni ya mgogoro au aliendeshwa sana na hisia.
Tiss ndiyo watekaji mkuukama rais wa nchi anafanya vituko km hvyo nakuna tiss.nini kazi ya tiss
Haya mawazo huwa nayapenda sana ila nikirudi kwenye uhalisia, teknolojia na bajeti nakumbuka kuwa wazungu wakitaka kutuangusha hawahitaji kutumia nguvu kama tunavyojiaminisha.Wazungu mabepari hawakumpenda Magufuli kwa sababu ya sera zake za kusimamia mali za Nchi !
Na walipoona almost Afrika yote Wananchi wanamsifu Magufuli wakajua huyu atawajanjarusha waliolala !
Kwahiyo ukiona kwa sasa mapuppets ni wengi wanaojaribu kuharibu Legacy ya mwamba usishangae !
Ila Afrika kunaanza kupambazuka tena akina Magufuli watatokeza sana Nchi mbali mbali humu Barani !
Ukimsikiliza Ibrahim Traore utaona fikra zake ni zile zile za Magufuliism π³ π
Unataka kusemaje!Amefanya mageuzi makubwa pamoja na kumpiga risasi Ben Saanane...siyo
Swali, Ikulu wanaishi Rais na makamu wake pamoja?
Idiamini dadaa leo yuko midomoni kwa waganda na watanzania je kwa mazuri gar alifanya kukaa midomoni kwaMagufuli atabaki midomoni mwa watu mpaka kiama ndio raisi aliyefanya mageuzwi makubwa kwa wazembe na mafisadi katika karne hii ya kuogopana na kuleana!
Huyo hakufungwa alikuwa mahabusu,mahabusu ikikupendeza unanyoa tu kwa hiyari yako,kuna vinyozi wafungwa,na vinyozi wakawaida mahabusu,Jela hawaruhusu uchafu huo.
Kweli mkuu,nyie watani zangu pia mna ujinga mwingi.Mkuu,
Usihusishe Wasukuma na ujinga wa Magufuli.
Kwanza Magufuli hakuna ukoo wa Wasukuma unaomtambua, sisi tunawajua kina Bomani, kina Nyalali, Magufuli Msukuma wa ukoo gani?
Hawa wengine ni Wakonongo wakikaa kwa Wasukuma na kujua lugha wanajiita Wasukuma kwa sababu Wasukuma jina letu kubwa πππ
Kwa nini wasikamatwe?.Waulize kwa chadema, yale yote waliyokuwa wanamsingizia JPM wameshajua mhusika mkuu
Wewe mwenyewe ni kenge.Hawatamsahau magu hao kenge!!
Kamuulize huko kaburiniAlinyanganya mara ngapi?