Kitabu cha Erick Kabendera: Ni vema atoe ushahidi wa tuhuma alizochapisha kuhusu Magufuli kuhusika kifo cha Ben Saanane

Kitabu cha Erick Kabendera: Ni vema atoe ushahidi wa tuhuma alizochapisha kuhusu Magufuli kuhusika kifo cha Ben Saanane

Kaandika upuuzi sana. Hivi kweli rais amuite mtu ikulu halafu ampigie Risasi na kumuua hata kama alikua anataka kumuua Rais ana vyombo vingi hizi Tuhuma ni nzito lazima azithibitishe. Nitashangaa sana kama serikali italifumbia macho suala hili
Akithibitisha what next
 
Pamoja na kwamba simkubali JPM lakini siamini kama anaweza kumpiga risasi mtu isipokuwa kutuma polisi wale wavuta bangi wafanye hilo tukio
Huwezi kuamini wala kujua kwa sababu siku zote

"SHETANI HUJIGEUZA KUWA KAMA MALAIKA WA NURU" ili asitambulikane kirahisi..

Kumbuka kuwa Erick Kabendera ni Mwandishi wa habari za kiuchunguzi. Amechunguza, akapata uhakika na kawaonjesha hiyo fact kwenye maandishi yake..

By the way, kwa hulka na tabia ya John P. Magufuli akitokea mtu kudai kuwa ameua watu kwa mkono wake mwenyewe ni ngumu sana kubisha...

Mtazame na msikilize kupitia link hii akifafanua yote haya

View: https://youtu.be/HfQqupIGlKM?si=8KYjd6vEdrRe5snx

NB: Hivi vichwa vinavyoachaga minywele na midevu kwa staili hii, ni mijitu yenye akili na ufahamu wa hali ya juu sana. Namkumbuka mwanafasihi maarufu sana Ngugi Wa Thiong'o, mwanaharakati Jonas Savimbi na wengine wengi...

They always don't look smart physically but mentally 👍🏻👍🏻👍🏻
 
Kabla ya hapo apimwe akili kwanza.. kwa mtu mwenye akili timamu hawezi andika kitabu kilicho jaa udaku wa facebook
Huyu mwandishi amezindua kitabu chake Leo na amechapisha Tuhuma nzito dhidi ya Marehemu Rais Magufuli kuwa yeye Binafsi alimuita Ben Saa nane ikulu na kumpiga Risasi ya kichwa Kisha mwili wake kutupwa katika mto rufiji.

Hizi ni Tuhuma nzito sana ambazo hazina ushahidi wowote dhidi ya aliyekua mkuu wa nchi. Zikiachwa kusambaa bila mwandishi huyu kuthibitisha zitasomwa na itaaminika ni kweli.

Soma Pia: Erick Kabendera kupitia Kitabu chake; Ben Saanane aliuawa na Rais Magufuli na maiti yake ikatupwa Mto Rufiji

Nashauri mambo mawili ya kufanya

1. Kitabu alichozindua leo kizuiwe kusambazwa na kipigwe marufuku ndani na nje ya nchi.

2. Huyu mwandishi aitwe na kuhojiwa na vyombo vya usalama kuhusu Nia yake ya kuchapisha Tuhuma nzito hizi bila ushahidi otherwise Atoe ushahidi kuwa Magufuli alimpiga Risasi Ben Saa nane.
View attachment 3190238View attachment 3190239
E
 
Mk
Huwezi kuamini wala kujua kwa sababu siku zote

"SHETANI HUJIGEUZA KUWA KAMA MALAIKA WA NURU" ili asitambulikane kirahisi..

Kumbuka kuwa Erick Kabendera ni Mwandishi wa habari za kiuchunguzi. Amechunguza, akapata uhakika na kawaonjesha hiyo fact kwenye maandishi yake..

By the way, kwa hulka na tabia ya John P. Magufuli akitokea mtu kudai kuwa ameua watu kwa mkono wake mwenyewe ni ngumu sana kubisha...

Mtazame na msikilize kupitia link hii akifafanua yote haya

View: https://youtu.be/HfQqupIGlKM?si=8KYjd6vEdrRe5snx

NB: Hivi vichwa vinavyoachaga minywele na midevu kwa staili hii, ni mijitu yenye akili na ufahamu wa hali ya juu sana. Namkumbuka mwanafasihi maarufu sana Ngugi Wa Thiong'o, mwanaharakati Jonas Savimbi na wengine wengi...

They always don't look smart physically but mentally 👍🏻👍🏻👍🏻

Uk
Inasikitisha Sana kumuongelea marehemu ambaye hawezi kujitetea
Amehusidha pia Rais aliye madarakani kama shahidi wa kupigwa kwa mama janet
 
Huwezi kuamini wala kujua kwa sababu siku zote

"SHETANI HUJIGEUZA KUWA KAMA MALAIKA WA NURU" ili asitambulikane kirahisi..

Kumbuka kuwa Erick Kabendera ni Mwandishi wa habari za kiuchunguzi. Amechunguza, akapata uhakika na kawaonjesha hiyo fact kwenye maandishi yake..

By the way, kwa hulka na tabia ya John P. Magufuli akitokea mtu kudai kuwa ameua watu kwa mkono wake mwenyewe ni ngumu sana kubisha...

Mtazame na msikilize kupitia link hii akifafanua yote haya

View: https://youtu.be/HfQqupIGlKM?si=8KYjd6vEdrRe5snx

NB: Hivi vichwa vinavyoachaga minywele na midevu kwa staili hii, ni mijitu yenye akili na ufahamu wa hali ya juu sana. Namkumbuka mwanafasihi maarufu sana Ngugi Wa Thiong'o, mwanaharakati Jonas Savimbi na wengine wengi...

They always don't look smart physically but mentally 👍🏻👍🏻👍🏻

Kuna wengine huwa wanavuta bangi
 
Wewe una project ukabila wako tu.

Couldn’t care less about Magufuli’s ethnic background.

I benefit nothing from it. Sikuwahi kukutana naye hata siku moja.

Wewe ulivyo mkabila unadhani na wenzio tuko hivyo.

Mimi sijamtetea Magufuli.

Nimehoji tu veracity ya madai ya huyo Kabendera.

Mtu hajatoa ushahidi wowote ule kuhusu hayo madai yake.

Kwa nini tusihoji?

Mnataka wote tu fall in line in believing everything he’s saying?

That’s dumb.
Kitabu umekisoma?
 
Waongee yaliyo ya kweli siyo uzushi. Magufuli amwite ikulu halafu ampige Risasi unaamini hilo?
Vyeti feki huwezi kubishana nao, wana hasira sana na mwendazake kisa alikata mirija yao ya ulaji

Pata picha mtu kakaa kazini miaka 10+kashakula vya kutosha na kupanda vyeo kesho umuondoe kisa cheti feki lazima alaani milele
 
Mk

Uk

Amehusidha pia Rais aliye madarakani kama shahidi wa kupigwa kwa mama janet
Huyu mama (mwalimu wangu) kichapo alikuwa anakipata kwelikweli..

Kiukweli, huyu jamaa alikuwa mbabe na katili kuanzia ktk familia na kubwa zaidi ktk uongozi wake wa taifa...
 
Wewe hauna akili kabisa sio kila tukio linatakiwa kuandikwa katika kitabu kizima. Tukio la Ben Saanane lina ukweli na mhusika mkubwa na Magufuli. Kwanini usiwasiliane na mwandishi nguli ambaye inasemekana ndio alimchoma Kabendera kwa Kichaa Magu.
Nasubiria uandike kuonesha una akili hata kidogo naona umenyamaza tu. Angalau....
 
Huyu mwandishi amezindua kitabu chake Leo na amechapisha Tuhuma nzito dhidi ya Marehemu Rais Magufuli kuwa yeye Binafsi alimuita Ben Saa nane ikulu na kumpiga Risasi ya kichwa Kisha mwili wake kutupwa katika mto rufiji.

Hizi ni Tuhuma nzito sana ambazo hazina ushahidi wowote dhidi ya aliyekua mkuu wa nchi. Zikiachwa kusambaa bila mwandishi huyu kuthibitisha zitasomwa na itaaminika ni kweli.

Soma Pia: Erick Kabendera kupitia Kitabu chake; Ben Saanane aliuawa na Rais Magufuli na maiti yake ikatupwa Mto Rufiji

Nashauri mambo mawili ya kufanya

1. Kitabu alichozindua leo kizuiwe kusambazwa na kipigwe marufuku ndani na nje ya nchi.

2. Huyu mwandishi aitwe na kuhojiwa na vyombo vya usalama kuhusu Nia yake ya kuchapisha Tuhuma nzito hizi bila ushahidi otherwise Atoe ushahidi kuwa Magufuli alimpiga Risasi Ben Saa nane.
View attachment 3190238View attachment 3190239
Kuna kitabu kinaitwa "INSIDE THE VATICAN",Umekisoma?
 
The media is full of dirt trick always!
Hili nalo litapita kama mengine, Ila punguzeni chuki kwa hayati Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli.
Na Mungu wa mbinguni atawabariki siku zote za uhai wenu.
 
Duh!

Jamaa kaandika kwamba Magufuli mwenyewe ndiye aliyempiga risasi ya kichwa Ben Saanane?

Hayo ni madai makubwa sana yanayohitaji ushahidi madhubuti.

Familia ya Magufuli ikiyaachia haya madai bila kufungua kesi na kumshitaki huyo mwandishi, itakuwa ni uzembe wa hali ya juu sana au hayo madai yatakuwa na ukweli.

Kumtuhumu Rais wa nchi kumuua mtu kwa kumpiga risasi ya kichwa si jambo dogo.
Idi Amin Dada hakumuua Askofu janan Luwum, Archbishop of the church of Uganda February 16,1977 kwa mkono wake baada ya ku-lose temper. Madikteta wote wanafanana kitabia. Magufuli alishindwa nini kumuua mtu? Ghaddafi hakuwa anaua watu kwa mkono wake? acheni kudanganywa ninyi. Madikteta wanazo tabia zinazofanana.
 
Huyu mwandishi amezindua kitabu chake Leo na amechapisha Tuhuma nzito dhidi ya Marehemu Rais Magufuli kuwa yeye Binafsi alimuita Ben Saa nane ikulu na kumpiga Risasi ya kichwa Kisha mwili wake kutupwa katika mto rufiji.

Hizi ni Tuhuma nzito sana ambazo hazina ushahidi wowote dhidi ya aliyekua mkuu wa nchi. Zikiachwa kusambaa bila mwandishi huyu kuthibitisha zitasomwa na itaaminika ni kweli.

Soma Pia: Erick Kabendera kupitia Kitabu chake; Ben Saanane aliuawa na Rais Magufuli na maiti yake ikatupwa Mto Rufiji

Nashauri mambo mawili ya kufanya

1. Kitabu alichozindua leo kizuiwe kusambazwa na kipigwe marufuku ndani na nje ya nchi.

2. Huyu mwandishi aitwe na kuhojiwa na vyombo vya usalama kuhusu Nia yake ya kuchapisha Tuhuma nzito hizi bila ushahidi otherwise Atoe ushahidi kuwa Magufuli alimpiga Risasi Ben Saa nane.
View attachment 3190238View attachment 3190239
........muda utaongea yoote usiwe papara...anajua nini cha kufanya ...tusubiriii
 
Back
Top Bottom