Hii sio story ya kutunga ni ukweli kabisa. Hakuna chochote kilixhobadirika kati ya aliyosema Kabendera na niliyoyasikia mimi pia almost 5 years ago. So huu sio uongo ni ukweli kabisa!
Hπ€£π€£ii inatwa kimaumanaHuyu mwandishi amezindua kitabu chake Leo na amechapisha Tuhuma nzito dhidi ya Marehemu Rais Magufuli kuwa yeye Binafsi alimuita Ben Saa nane ikulu na kumpiga Risasi ya kichwa Kisha mwili wake kutupwa katika mto rufiji.
Hizi ni Tuhuma nzito sana ambazo hazina ushahidi wowote dhidi ya aliyekua mkuu wa nchi. Zikiachwa kusambaa bila mwandishi huyu kuthibitisha zitasomwa na itaaminika ni kweli.
Soma Pia: Erick Kabendera kupitia Kitabu chake; Ben Saanane aliuawa na Rais Magufuli na maiti yake ikatupwa Mto Rufiji
Nashauri mambo mawili ya kufanya
1. Kitabu alichozindua leo kizuiwe kusambazwa na kipigwe marufuku ndani na nje ya nchi.
2. Huyu mwandishi aitwe na kuhojiwa na vyombo vya usalama kuhusu Nia yake ya kuchapisha Tuhuma nzito hizi bila ushahidi otherwise Atoe ushahidi kuwa Magufuli alimpiga Risasi Ben Saa nane.
View attachment 3190238View attachment 3190239
Yaani Tuanza kuhoji Yale aliyoandika Rais Mwinyi au aliyoandika Ben Mkapa kwamba tunataka ushahidi wa aliyoandika?Go youtube, search his interview with Sheikh Ghasan. You will hear what evidences he has.
Kimeumana......to every action there an equal reactionKwenye ulimwengu wa maandishi yenye kuleta nafasi chanya, hakuna story za kusadikika. Kuna namna nzuri ya kuandika ili zilete mvuto. Na nina hakika alisimuliwa na mahasimu wa JPM ili aandike aliyoandika.
Isipokuwa kuna kuwajibika pia kama huna supporting evidence. Kabendera anajua fika uwajibikaji ukoje
Yule bwana licha ya kuwa na Walinzi wa Kila aina wenye masilaha mazito ila mara kadhaa alikuwa spotted na bastola kiunoni sijui Kwa nini hasa.Huyu mwandishi amezindua kitabu chake Leo na amechapisha Tuhuma nzito dhidi ya Marehemu Rais Magufuli kuwa yeye Binafsi alimuita Ben Saa nane ikulu na kumpiga Risasi ya kichwa Kisha mwili wake kutupwa katika mto rufiji.
Hizi ni Tuhuma nzito sana ambazo hazina ushahidi wowote dhidi ya aliyekua mkuu wa nchi. Zikiachwa kusambaa bila mwandishi huyu kuthibitisha zitasomwa na itaaminika ni kweli.
Soma Pia: Erick Kabendera kupitia Kitabu chake; Ben Saanane aliuawa na Rais Magufuli na maiti yake ikatupwa Mto Rufiji
Nashauri mambo mawili ya kufanya
1. Kitabu alichozindua leo kizuiwe kusambazwa na kipigwe marufuku ndani na nje ya nchi.
2. Huyu mwandishi aitwe na kuhojiwa na vyombo vya usalama kuhusu Nia yake ya kuchapisha Tuhuma nzito hizi bila ushahidi otherwise Atoe ushahidi kuwa Magufuli alimpiga Risasi Ben Saa nane.
View attachment 3190238View attachment 3190239
Nina hakika kama wafu wanafufuka, akirudi ukimbie mbali maana alikuwa anachagua aina ya machawa π π πYule bwana licha ya kuwa na Walinzi wa Kila aina wenye masilaha mazito ila mara kadhaa alikuwa spotted na bastola kiunoni sijui Kwa nini hasa.
Sijaanza Leo kumnanga fuatilia post zangu akiwa Rais .Nina hakika kama wafu wanafufuka, akirudi ukimbie mbali maana alikuwa anachagua aina ya machawa π π π
Sijaanza Leo kumnanga fuatilia post zangu akiwa Rais .
Ujumbe unafika ,huoni unavyoteseka hapa navyomnanga godfather wako π¬π¬Kunanga kunasaidia nini kwani? π π π π
Kabendera will pay the price worth of his puppet and mercenary deeds!!!Huyu mwandishi amezindua kitabu chake Leo na amechapisha Tuhuma nzito dhidi ya Marehemu Rais Magufuli kuwa yeye Binafsi alimuita Ben Saa nane ikulu na kumpiga Risasi ya kichwa Kisha mwili wake kutupwa katika mto rufiji.
Hizi ni Tuhuma nzito sana ambazo hazina ushahidi wowote dhidi ya aliyekua mkuu wa nchi. Zikiachwa kusambaa bila mwandishi huyu kuthibitisha zitasomwa na itaaminika ni kweli.
Soma Pia: Erick Kabendera kupitia Kitabu chake; Ben Saanane aliuawa na Rais Magufuli na maiti yake ikatupwa Mto Rufiji
Nashauri mambo mawili ya kufanya
1. Kitabu alichozindua leo kizuiwe kusambazwa na kipigwe marufuku ndani na nje ya nchi.
2. Huyu mwandishi aitwe na kuhojiwa na vyombo vya usalama kuhusu Nia yake ya kuchapisha Tuhuma nzito hizi bila ushahidi otherwise Atoe ushahidi kuwa Magufuli alimpiga Risasi Ben Saa nane.
View attachment 3190238View attachment 3190239
Kweni Familia haijui kama alikuwa ni katili na muuaji, hebu tazama alipokufa Famila ilivyonawiri.Familia ya Magu msivumilie upuuzi kamahuo tafadhali.
Nateseka mimi au wewe unaokesha mitandaoni kuuza kisichouzika? π π π πUjumbe unafika ,huoni unavyoteseka hapa navyomnanga godfather wako π¬π¬
Bado hujatoboa?Nateseka mimi au wewe unaokesha mitandaoni kuuza kisichouzika? π π π π
Mwaka huu ni mwaka wa kutoboa
Mjane kanawiri sana usikute na yeye keshaoda copy yake ili asome yaliyomo.Kweni Familia haijui kama alikuwa ni katili na muuaji, hebu tazama alipokufa Famila ilivyonawiri.
Bado hujatoboa?
Nauza kilicho hai wewe unatetea matiti π€£π€£
Hapa haujaeleweka mkuu emu funguka vizuriShida ni kuwa umekaririshwa kwa kuiga kuwa black hair/black beard ni uchafu.UJINGA MTUPU