Kitendo cha Rais kusimamisha hotuba kisa Adhana ya waislam imakaaje hii kitaifa?

Watu wanakua na chuki ambazo hazina msingi...Hata kama ni uhuru wa maoni, haina maana tusiwe objective
 
Watu ninyi ndo hamfai hata kuwa mjumbe wa nyumba 10
Ww suala la Raisi kusimamisha hotuba kwa sababu ya adhana imekuuma nn..??
 
Nyoko
 
Hizi chuki hizi ni vyema tukaanza kuzikemea...Daah mtu unamchukia mtu mpaka una kuwa nity picky
 
Kuna jamaa kwenye drafti akisikia axama anasimama kucheza. Imani yake ni muhimu.
 
Hizi chuki hizi ni vyema tukaanza kuzikemea...Daah mtu unamchukia mtu mpaka una kuwa nity picky
Ndio zao hizo. Chuki chuki chuki.Hata mtu akisema kesho ni Jumatatu pinga.
 

Vima koya ! Mxiuuuuuu !
 
Acha wivu wa kitoto, jana nilikuwa taifa pale Mwai Kibaki amepewa heshima kabla game haijaanza na katikati ya game walipewa dakika 3 za kufungulia swaumu kwa wachezaji waliofunga Ramadhani!
 

Sipati picha huyu mleta mada iwapo mfanyakazi mwenzake akipata preveleji atajisikiaje!!

Suala la ibada nalo ni baya!!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…