Kitendo cha Rais kusimamisha hotuba kisa Adhana ya waislam imakaaje hii kitaifa?

Nyie wanafiki hamna lolote! Hiyo kelele tu ya kutaka kulazimisha kila mtu atambue kuwa nyinyi ndo watu wa dini! Kwa hiyo aliset mda wa hotuba ukaribiane na ibada ili shekhe akianza kuswali asimamishe hotuba kupata ujiko?
Adhana sio Swala
 
Kwangu sioni kama ni jambo baya kuheshimu hilo.
 
Umeathirika vipi wewe??? Imani yake inamuelekeza kunyamaza pale anaposkia adhana.

Sawa serikali haina dini ila yeye si anayo dini yake?? Mbona watu mna nongwa sana??
Imani yake iyo iyo imemwambia aongoze wanaume .🤣😇😅 kama hutaki jinyonge na uhamie ukrain alaaah ! Big up MAMA
 
Hata Rais wa Kenya Uhuru Kenyata aliwahi kufanya hivyo. Ni kuheshimu Imani ya watu wengine tu.
 
Una makasiriko yasiyo na faida, kusimamisha hotuba kumekupotezea nini?ukizeeka utakuwa mwanga mbwa wewe...kuwa na heshima.
 
Reactions: Tui
Umeathirika vipi wewe??? Imani yake inamuelekeza kunyamaza pale anaposkia adhana.
Nadhani ungetumia sababu nyingine tu. Ukianza mambo ya imani yake inamruhusu au haimruhusu utafungua Pandora box. Mfano imani yake inamruhusu kuongoza taifa?

Au mengine mengi anayofanya kama kiongozi yanaruhusiwa na imani yake?

Sawa serikali haina dini ila yeye si anayo dini yake?? Mbona watu mna nongwa sana??
Sio nongwa. Rais ni mtumishi wa wananchi wana haki ya kuhoji, iwe kwa akili au kijinga. Ni haki yao ya kikatiba kama wewe ukivyo na haki hiyohiyo. Acha wahoji, na sio lazima wajibiwe. Ila wana haki ya kuhoji chochote kutoka kwa mkuu wao wa nchi!
 
Acha hila mkuu sasa je kama na yeye anaenda kusali utamlazimisha aendelee na hotuba tegemea siku za hivi karibuni weekend itaanzia alhamisi jioni....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hakuna baya alilofanya hapo,kwani adhana yenyewe ilichukua dakika ngapi unavyofikiria wewe,heshimu mila na tamaduni za watu,si hapo tu hata akiingia kanisani leo hii nae ataongozwa kwa mila na tamaduni zao wakristo,rais ni wa watu wote
 
inaweza kuwa sahihi lakini siyo lazima. ni kutupotezea muda tu sisi tunaochukulia hayo maspika kama kelele tena yapigwe marufuku kama rwanda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…