Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Mkuu Kichwa Chako Ndani Kina Ubongo Au Ice Cream?Leo tarehe 1/5/2022 Rais akiwa anawahutubia wafanyakazi Dodoma katika siku muhimu ya wafanyakazi duniani, ilitokea kusitishwa hotuba Kwa dk kama 3 na Rais pale Adhana ya mchana ilipokuwa ikisika kutokea msikitini karibu na uwanja wa Dodoma.
Hivi wadau wa utaifa hili lilipaswa kufanywa na Rais kiongozi mkuu wa Serikali ambaye tuna amini anaongoza SERIKALI ISIYO NA DINI?
Wananchi wakristo inabidi tuendelee kuvumilia tu kama msingi wa dini yetu.
Nikweli hotuba yenyewe haikuwa na faida kwa watarajiwa kufaidika. Hata angeamua kuacha binafsi nisingelaumu. Kwani baada ya kuendelea watumishi wamefaidika nini na wamepungukiwa nini kwa kusitisha hotuba!!!!!!??na wewe unaifatilia hotuba inakusaidia nini wakati weww ndio fursa nchi hii
Kweli hii Nongwa sio ya Nchi hiii aseeUmeathirika vipi wewe??? Imani yake inamuelekeza kunyamaza pale anaposkia adhana.
Sawa serikali haina dini ila yeye si anayo dini yake?? Mbona watu mna nongwa sana??
Tena Kenyatta ni mkristo na alifanya hivyo ndiyo itakuwa muislam!!!! Sijui kwa nini baadhi ya watu wana-mind vitu vidogo vidogo!!!!Imekaa hivyo hivyo nafikiri Kenyatta aliwahi kufanya hivyo pia
Wakristo wenyewe tumempinga.aisee hapo hakuna baya lolote,wala siyo udini,ni heshima kwa wananchi,serikali haina dini ila watu wana imani zao na dini zao,kwenye kuapishwa mbona wanashika bibilia ama msahafu na hatuhoji,tupunguze kuwa vijana wa hovyoo eti "WAKRISTO TUVUMILIE" uvumilie nini?
Aaaaaaah sa apo udiniiii unakujajeeee mbn uhuru kenyata hapo hapo dodoma kwenye shughuli ya kumwaga JPM nae alifanya ivo ivo hilo hukuliona ila iliiii la leo ndo umeonaaaaLeo tarehe 1/5/2022 Rais akiwa anawahutubia wafanyakazi Dodoma katika siku muhimu ya wafanyakazi duniani, ilitokea kusitishwa hotuba Kwa dk kama 3 na Rais pale Adhana ya mchana ilipokuwa ikisika kutokea msikitini karibu na uwanja wa Dodoma.
Hivi wadau wa utaifa hili lilipaswa kufanywa na Rais kiongozi mkuu wa Serikali ambaye tuna amini anaongoza SERIKALI ISIYO NA DINI?
Wananchi wakristo inabidi tuendelee kuvumilia tu kama msingi wa dini yetu.
Inatufundisha mungu nimkubwa kuliko uongozi nadhani umelewa vyeo na madaraka vinatoka kwakeLeo tarehe 1/5/2022 Rais akiwa anawahutubia wafanyakazi Dodoma katika siku muhimu ya wafanyakazi duniani, ilitokea kusitishwa hotuba Kwa dk kama 3 na Rais pale Adhana ya mchana ilipokuwa ikisika kutokea msikitini karibu na uwanja wa Dodoma.
Hivi wadau wa utaifa hili lilipaswa kufanywa na Rais kiongozi mkuu wa Serikali ambaye tuna amini anaongoza SERIKALI ISIYO NA DINI?
Wananchi wakristo inabidi tuendelee kuvumilia tu kama msingi wa dini yetu.
Lazima wafanye wao?
Oksio siku Magu anaapiswa, siku mwili wake unaagwa hapohapo jamhuri dodoma.
Sahihi aga tuAlikuwa anaapishwa kuongoza malaika au una maana gani? Kumbukumbu zako ziko sawa kweli?
Thank youAnaagwa