ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Yaonekana hata usingizi wa 'piriton' hauji. Muone dakitari kwa ushauri.Tumeshawaambia hadi tumechoka picha zenu za kuchakachua za kitengo chenu cha uchakahuaji CHADEMA tumezichoka.Mwacheni Lowasa apumzike picha zake za mikutano yake mlizochakachua inatosha.
Tusali Sana tumuondoe one way. Ccm na vyama vyote vya upinzani wekeni nguvu pamoja kumngoa huyu mtu.Nimetafakari na kujiuliza sana jambo hili , huyu mtu tuliyeaminishwa kwamba ni msaliti wa Taifa , akashambuliwa kinyama na kutelekezwa ili akafie mbali , kama haitoshi akavuliwa ubunge bila huruma na akatishwa asirudi nchini , bali pamoja na lundo la vitisho Lissu amerudi nyumbani kishujaa.
Cha ajabu ni kwamba kila anapopita kwenye kampeni zake za kuomba Urais watu wanajaa kupita kiasi , na cha kushangaza zaidi ni huko kanda ya ziwa ambako tuliaminishwa kwamba ni ngome ya watu wengine ndiko ilikovunjiwa rekodi ya umati kwenye mikutano yake , Katoro , Sengerema na Geita ni mifano hai ya hoja yangu
Swali langu ni hili , kwa umati huu unaojitokeza kwenye mikutano ya Lissu huko kanda ya ziwa ni kiashiria cha jambo gani ?
Hizi hapa ni picha za Geita , Mkoa unasemekana alizaliwa Mgombea Urais wa CCM , jioneeni wenyewe .
subirini wazee mtakuja kujua hamjuiAnakubalika kwa percentage ngap?
Fuatilia statistics zilizotolewa na IPSOS juu ya wingi wa watu waliohudhuria kwenye vikao vya Kampeni vya CDM na CCM kanda ya ziwa hasa Mwanza.
Ni asilimia 90% kwa CCM na 10% kwa CDM. Ww huko kukubalika kwako umepima kwa metric gani?
Kama hauna data hauna haki ya kuzungumza.!
subirini mtakuja why Leicester ilichukua EPLHivi jamani na nyie mnafikiri geita kabisa geita wampigie Kura Tundu lissu half wamwache magu
Kama kawaida mungu mtu, ujuaye yajayo! Ila ujue mmebakisha dola na nec ccm tu! Bila hivyo ni Kama samaki nje ya majiMimi naomba tarehe 29 na 30 mwezi ujao muwepo humu! Nina kuhakikishia hapa hakuna mkoa wowote wala jimbo lolote ambalo Lissu atashinda kwa ujumla wa Kura dhidi ya Magufuli tena uko kanda ya Ziwa ndio usiseme kabisa!
Mimi naomba usije ukalimbia jukwaa!
Kamwe Lissu awezi mshinda Magufuli kwenye jimbo lolote wala mkoa wowote hapa Tanzania!
Najua sasa hivi utonielewa lakini tarehe 30 utanielewa! Kamwe Kamwe tena uko kanda ya Ziwa Lissu hatoweza kupanda ushindi hata ule unao mkaribia Magufuli hata chembe!
Naomba tuombe Mungu atuweke hai hadi tarehe 28 hakika tutaona na tutarudi hapa kusimuliana!
Mpe njaa safi mnafiki wa kima cha juu.Umesema kweli kabisa. Niko na jamaa moja hapa kaja kunifanyia kazi toka Mbeya anasema huko ni JPM tu hakuna cha Lisu.
Ukweli no kwamba Lisu hapasui hapo EU juzi wanetoa matokeo ya utafiti wait na hiyo ndio habari ya mjini.
Bahati nzuri zile nchi zote viherehere hawataruhusiwa kuja kuangalia uchaguzi wakiwemo shieika la UN wenyewe.
Naipongeza sana serikali ya JPM kukataa pesa za UNDP, hivyo hawataleta kiherehere
Pana Taarifa zina sambaa kuwa Polisi wanapiga Watu Mabomu ya Machozi baada ya Fujo iliyozuka kwa kukutana wafuasi wa Chadema na CCM ,huko huko Geita.Mwenye Taarifa zaidi atujuze.
Tafakari zaidi mkuuHii ya Leo Geita, inatafakarisha mno, huko kwa jirani kuna taharuki kuu.
wacha we wazalendo safari hii CCM aibu sanaUjinga mlionao ni mkubwa kuliko mlima Kilimanjaro...mhaini wa nchi huyo nani ampeleke Ikulu?
Hatutaki kuongozwa na mtu mropokaji wa kila kitu,mtu gani kila kitu kwake kibaya ilihali sisi kama wananchi tunaona wazi jinsi President anavyo tupambania..pisha mbali wewe
Kama wamepata uthubutu wa kumlaki,kumshangilia na kuhudhuria mikutano yake kwa maelfu mchana wa jua na mwanga, hawawezi kushindwa kuweka tiki kwenye kiboma pembeni ya picha yake kwa siri.Hivi jamani na nyie mnafikiri geita kabisa geita wampigie Kura Tundu lissu half wamwache magu
Mimi naomba tarehe 29 na 30 mwezi ujao muwepo humu! Nina kuhakikishia hapa hakuna mkoa wowote wala jimbo lolote ambalo Lissu atashinda kwa ujumla wa Kura dhidi ya Magufuli tena uko kanda ya Ziwa ndio usiseme kabisa!
Mimi naomba usije ukalimbia jukwaa!
Kamwe Lissu awezi mshinda Magufuli kwenye jimbo lolote wala mkoa wowote hapa Tanzania!
Najua sasa hivi utonielewa lakini tarehe 30 utanielewa! Kamwe Kamwe tena uko kanda ya Ziwa Lissu hatoweza kupanda ushindi hata ule unao mkaribia Magufuli hata chembe!
Naomba tuombe Mungu atuweke hai hadi tarehe 28 hakika tutaona na tutarudi hapa kusimuliana!
Walipiga wakati Lisu alipofika mjini. CCM waliandaa vijana, wakashambulia msafara kwa mawe, bahati vijana waliokuwa na Lisu wakajibu mashambulizi. Barabara kuu ilikuwa na mawe nyakati za saa 11 jioni.
Embu fafanua mkuu hiyo association Ni ipi na inafanyaje kazi over drive
Siwezi kukuambia tusubiri matokeo, but do you know that, the dangerous lesson they have learned from their 2015 victory is that they can subvert institutions, display a contempt for parliamentary democracy, lie without restraint and there is no political price to pay whatsoever.
Hiyo haitasaidia zaidi ya kumuongezea Lissu kura na umaarufu.Walipiga wakati Lisu alipofika mjini. CCM waliandaa vijana, wakashambulia msafara kwa mawe, bahati vijana waliokuwa na Lisu wakajibu mashambulizi. Barabara kuu ilikuwa na mawe nyakati za saa 11 jioni.
Kama mnategemea wizi sawaMimi naomba tarehe 29 na 30 mwezi ujao muwepo humu! Nina kuhakikishia hapa hakuna mkoa wowote wala jimbo lolote ambalo Lissu atashinda kwa ujumla wa Kura dhidi ya Magufuli tena uko kanda ya Ziwa ndio usiseme kabisa!
Mimi naomba usije ukalimbia jukwaa!
Kamwe Lissu awezi mshinda Magufuli kwenye jimbo lolote wala mkoa wowote hapa Tanzania!
Najua sasa hivi utonielewa lakini tarehe 30 utanielewa! Kamwe Kamwe tena uko kanda ya Ziwa Lissu hatoweza kupanda ushindi hata ule unao mkaribia Magufuli hata chembe!
Naomba tuombe Mungu atuweke hai hadi tarehe 28 hakika tutaona na tutarudi hapa kusimuliana!
Wata kuambia ni photo shop.Nimetafakari na kujiuliza sana jambo hili , huyu mtu tuliyeaminishwa kwamba ni msaliti wa Taifa , akashambuliwa kinyama na kutelekezwa ili akafie mbali , kama haitoshi akavuliwa ubunge bila huruma na akatishwa asirudi nchini , bali pamoja na lundo la vitisho Lissu amerudi nyumbani kishujaa.
Cha ajabu ni kwamba kila anapopita kwenye kampeni zake za kuomba Urais watu wanajaa kupita kiasi , na cha kushangaza zaidi ni huko kanda ya ziwa ambako tuliaminishwa kwamba ni ngome ya watu wengine ndiko ilikovunjiwa rekodi ya umati kwenye mikutano yake , Katoro , Sengerema na Geita ni mifano hai ya hoja yangu
Swali langu ni hili , kwa umati huu unaojitokeza kwenye mikutano ya Lissu huko kanda ya ziwa ni kiashiria cha jambo gani ?
Hizi hapa ni picha za Geita , Mkoa unasemekana alizaliwa Mgombea Urais wa CCM , jioneeni wenyewe .
Dah ,poleni sana Ndugu zetu na asante kwa Taarifa hiyo Mkuu.