Kitendo cha Yanga kumleta Koffi Olomide ni ujanja wa kujaza uwanja kwenye siku ya Wananchi, hawana watu wala nini

Kitendo cha Yanga kumleta Koffi Olomide ni ujanja wa kujaza uwanja kwenye siku ya Wananchi, hawana watu wala nini

Huu ni ushabiki maandazi japo me ni Simba ifike kipindi ushabiki wa kipuuzi tuuwache unaua mpira wetu mbona Msimu uliopita kwenye hilo tamasha lao walijaza bila koffi olomide mbona sisi Simba tulimleta Diamond kwenye tamasha letu la Simba Day? Hao wasanii wanaletwa kwa lengo la kunogesha Tamasha.
Kuna watu akili zao sijui huziweka wapi? wanapenda kukurupuka kabla ya kuanzisha uzi.
 
Ikiwa kama tunataka kupima uwezo wa timu kujaza mashabiki kwenye kinachoitwa Yanga Day , basi ni vema tuache kujidanganya kutumia ujanja ujanja kama huu ambao yanga wanautumia .

Kitendo cha kumleta Mopao uwanjani hii inamaanisha hata mimi Mwanasimba lazima nihudhurie tu , sisi wengine ni wapenzi halisi wa Rhumba na mimi ni mpenzi wa kutupwa wa Koffi , sasa kwenye nchi ambayo uchumi umekufa kiasi cha mapromota kushindwa kuleta mwanamuziki yeyote kwa miaka 8 , halafu inatokea nafasi ya kucheza Rhumba la Koffi hatuwezi kuacha .

Kwahiyo hata mkiona siku yenu watu wamejaa sana mjue sisi wengine tutakuja kusakata Rhumba tu , msije mkadhani MNA WATU , ukweli ni kwamba hamna lolote , kama mnabisha muondoeni Koffi Olomide muwekeni Konde Boy halafu muone nani atakuja .
Watu wakijaa uwanjani,timu itapata pesa,hata diamond alipo perform Simba day last year mashabiki wa Yanga tulikuja kulicheza YOPE...hizi timu zinahitaji pesa mkuu.
 
Mbona hizo timu za Kariakoo huwa zinaalika wasanii?

Mwaka jana Simba walikuwa na domo Diamond, na Yanga wakamleta yule kibushuti Harmonize

Sasa huenda mwaka huu kwa sababu Yanga imejaa bamutu ba Congo, wamemleta mmwaga mauno mwenzao
 
Mbona hizo timu za Kariakoo huwa zinaalika wasanii?

Mwaka jana Simba walikuwa na domo Diamond, na Yanga wakamleta yule kibushuti Harmonize

Sasa huenda mwaka huu kwa sababu Yanga imejaa bamutu ba Congo, wamemleta mmwaga mauno mwenzao
Koffi ni level nyingine kabisa , hawa akina diamond ni wa kawaida tu
 
Mimi Simba ila Yanga wana haki ya kuleta burudani yoyote wanayo ona inafaa kuwapa burudani wapenzi wao mwaka jana Simba walileta Diamond na Yanga Konde sasa wanaenda level nyingine ni sawa tu.
 
Yanga ni wajanja sana kama CCM wanajua ladha ya muziki unaopendwa na watu wengi.

Sisi simba mnatuletea muziki wa viduku na wabongo fleva mnaboa
 
😂😂😂 ukiichukulia serious hii post unapasuka kwa hasira bure tu.

Mkuu karibu sana uburudike, sijui simba day mtamleta nani tunda man au na nyie mtamtoa nje? Wizkid au burnaboy. Msitufiche tuambieni jama!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23] ukiichukulia serious hii post unapasuka kwa hasira bure tu.

Mkuu karibu sana uburudike, sijui simba day mtamleta nani tunda man au na nyie mtamtoa nje? Wizkid au burnaboy. Msitufiche tuambieni jama!!
Tunda man amejitahidi sana kujipendekeza kwa hii timu wampe dili tu hiyo Simba day[emoji1787]
 
Ikiwa kama tunataka kupima uwezo wa timu kujaza mashabiki kwenye kinachoitwa Yanga Day , basi ni vema tuache kujidanganya kutumia ujanja ujanja kama huu ambao yanga wanautumia.

Kitendo cha kumleta Mopao uwanjani hii inamaanisha hata mimi Mwanasimba lazima nihudhurie tu , sisi wengine ni wapenzi halisi wa Rhumba na mimi ni mpenzi wa kutupwa wa Koffi , sasa kwenye nchi ambayo uchumi umekufa kiasi cha mapromota kushindwa kuleta mwanamuziki yeyote kwa miaka 8 , halafu inatokea nafasi ya kucheza Rhumba la Koffi hatuwezi kuacha.

Kwahiyo hata mkiona siku yenu watu wamejaa sana mjue sisi wengine tutakuja kusakata Rhumba tu , msije mkadhani MNA WATU , ukweli ni kwamba hamna lolote , kama mnabisha muondoeni Koffi Olomide muwekeni Konde Boy halafu muone nani atakuja.

View attachment 1906357
Wewe mbona Simba day ya msimu uliopita ulimleta Diamond tena kwa mbwembwe nyingi alishuka uwanjani kwa Helicopter kwa hiyo na wewe lengo lako lilikuwa kujaza watu uwajani kwa kuwa ulikuwa huna watu ukawashawishi kwa kuja uwanjani kwa kuleta wasanii kedekede uwanjani kutumbuiza.
 
Ikiwa kama tunataka kupima uwezo wa timu kujaza mashabiki kwenye kinachoitwa Yanga Day , basi ni vema tuache kujidanganya kutumia ujanja ujanja kama huu ambao yanga wanautumia.

Kitendo cha kumleta Mopao uwanjani hii inamaanisha hata mimi Mwanasimba lazima nihudhurie tu , sisi wengine ni wapenzi halisi wa Rhumba na mimi ni mpenzi wa kutupwa wa Koffi , sasa kwenye nchi ambayo uchumi umekufa kiasi cha mapromota kushindwa kuleta mwanamuziki yeyote kwa miaka 8 , halafu inatokea nafasi ya kucheza Rhumba la Koffi hatuwezi kuacha.

Kwahiyo hata mkiona siku yenu watu wamejaa sana mjue sisi wengine tutakuja kusakata Rhumba tu , msije mkadhani MNA WATU , ukweli ni kwamba hamna lolote , kama mnabisha muondoeni Koffi Olomide muwekeni Konde Boy halafu muone nani atakuja.

View attachment 1906357
Alisikika mfa maji mmoja akitapatapa
 
Watu wakijaa uwanjani,timu itapata pesa,hata diamond alipo perform Simba day last year mashabiki wa Yanga tulikuja kulicheza YOPE...hizi timu zinahitaji pesa mkuu.
Upo sawa kwa asilimia 💯 napenda Sana wadada wanaotoa mondo kwenye hoja zao, Mamie upo vizuri
 
Back
Top Bottom