Siwezi kuona na kukaa kimya kwa drama hiziUshaul wako una maana sana kwangu mkuu nadhan malue lue ninayo yaona hata wewe kumbe ushayaona
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukihudumiwa na kale kadada kadogodogo kembambaHuyo anaitwa Mkuu wa Meza.Kila Jumapili unikosi pale Migombani Bar Survey nikimtafuna taaartibu na Coca ya Baridi.
Kweli mkuu wewe ni mwanaume kama mimi lazima upate uchungu unajua niliingia pole pole nazan hata kutoka nitatoka pole pole bado mavuta mda mkuu wanguSiwezi kuona na kukaa kimya kwa drama hizi
Unafiki mbaya
DJ sepetu
Manyoya yake mbona hayaliwi dadanilipokutana na hubby akajiaminisha atanilisha niwe nakula !alishindwa jaman ananleataga hom amemix na mbuzi mie nikichek tu najuaga hapa usalama hakuna!sili !marafiki zangu waliwah nifungua mdomo kwa ngv hahahaha nililiaaaaa since then hawaniiti kwenye mikusanyiko yao !kwanza ilivyo tu nguruwe sura lake!plus manyoya yake na inavyolia uwiiiiii!
nashanmgaa wanangu wanapokonyana hiyo nyama wanakulaga had kilo kbs naumia moyoni nasema Mungu hawa watt umewafanyaje wale kitimoto jaman !arghhhhhhhhhhhhl
Moneytalk nimeachana nae kwa hizo mambo!Kweli mkuu wewe ni mwanaume kama mimi lazima upate uchungu unajua niliingia pole pole nazan hata kutoka nitatoka pole pole bado mavuta mda mkuu wangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee ushaachana na baby wako mwana hucheweleshagi siyoMoneytalk nimeachana nae kwa hizo mambo!
Sitak maigizo nataka mtu serious!
Ambaye naweza Fanya nae real love.
DJ sepetu
Acha kunitoa udenda kiongozDuhhh hiyo kitu ni balaaa nyie ilaani tu kwa mdomo wakati moyoni mnaipenda kuliko ata akhera
Lakini tuache uongo ukiwa na tu kachumbari na ugali wa sembe hapo pembeni unaweza kujiona rais mwenza na Magufuli ukasahau shida zote
Sasa kama hawa wanaofugwa ni watamu hivyo hao wa polin sindo balaa kabisaWewe[emoji15] [emoji15] [emoji15] hivi hujabahatisha huyu nguruwe wa polini mkuu[emoji134] [emoji134]
Yaani nguruwe pure anaesimama kwa maana ya nguruwe halisi.
Mkuu hii jamii ya nguruwe sawa na rais na jaji mkuu bongo
Jaji anamuapisha rais lakini hawezi mtengua pia raisi anamuapisha rais lakini hawezi mtengua
Huyu mdudu wanavunjiana tuu record
Jalibu punguza kidogo japo mara mbili kwa weekJamani hii nyama ni tamu mno..nakulaje hadi kitambi nyama kinaninyemelea!hahah
Migombani survey?Huyo anaitwa Mkuu wa Meza.Kila Jumapili unikosi pale Migombani Bar Survey nikimtafuna taaartibu na Coca ya Baridi.
Sawa mkuu tuko pamoja sana kiongozsafi ndugu nikiona post yako ya kubadili jina bila hivyo nisingekujua
Hahahaahhha siri yako Madame.Migombani survey?
Tutakuwa tunajuana asee...sema hizi ID + Avatar fekero[emoji23] [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa wewe umenifanya udenda unitoke so kwa msosi huo hiiii.......nimekusomaaaaaa......
Kilimanjaro Villa ya Sinza kumekucha?Sasa pale wana kitimoto matata sana siku hizi... Usipime
nilipokutana na hubby akajiaminisha atanilisha niwe nakula !alishindwa jaman ananleataga hom amemix na mbuzi mie nikichek tu najuaga hapa usalama hakuna!sili !marafiki zangu waliwah nifungua mdomo kwa ngv hahahaha nililiaaaaa since then hawaniiti kwenye mikusanyiko yao !kwanza ilivyo tu nguruwe sura lake!plus manyoya yake na inavyolia uwiiiiii!
nashanmgaa wanangu wanapokonyana hiyo nyama wanakulaga had kilo kbs naumia moyoni nasema Mungu hawa watt umewafanyaje wale kitimoto jaman !arghhhhhhhhhhhhl