KITIMOTO nyama tamu ambayo ni zawadi kutoka kwa MUNGU

Manyoya yake mbona hayaliwi dada

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duhhh hiyo kitu ni balaaa nyie ilaani tu kwa mdomo wakati moyoni mnaipenda kuliko ata akhera

Lakini tuache uongo ukiwa na tu kachumbari na ugali wa sembe hapo pembeni unaweza kujiona rais mwenza na Magufuli ukasahau shida zote
Acha kunitoa udenda kiongoz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kama hawa wanaofugwa ni watamu hivyo hao wa polin sindo balaa kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa pale wana kitimoto matata sana siku hizi... Usipime
Kilimanjaro Villa ya Sinza kumekucha?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…