Lakin MIC au Koni unaibugia kwa raha zako.nilipokutana na hubby akajiaminisha atanilisha niwe nakula !alishindwa jaman ananleataga hom amemix na mbuzi mie nikichek tu najuaga hapa usalama hakuna!sili !marafiki zangu waliwah nifungua mdomo kwa ngv hahahaha nililiaaaaa since then hawaniiti kwenye mikusanyiko yao !kwanza ilivyo tu nguruwe sura lake!plus manyoya yake na inavyolia uwiiiiii!
nashanmgaa wanangu wanapokonyana hiyo nyama wanakulaga had kilo kbs naumia moyoni nasema Mungu hawa watt umewafanyaje wale kitimoto jaman !arghhhhhhhhhhhhl
Lakin MIC au Koni unaibugia kwa raha zako.
Hahahah,kuna ile nyege unazisikia znaanzia kwenye skio,znapanda had kichwan af znarud mwil mzima had kwenye kucha,mkuu ujue hii ni asbh sana !kupandisha mizuka eh!teh teh mic nakamata nachana mistr
Hahahah,kuna ile nyege unazisikia znaanzia kwenye skio,znapanda had kichwan af znarud mwil mzima had kwenye kucha,
We sister ndo maana nakupenda! Inaonekana una akili si za dunia hii, nakuhakikishia utayajua mengi mabaya ya hii dunia, Watu wamepotezwa ndani ya ujinga.nilipokutana na hubby akajiaminisha atanilisha niwe nakula !alishindwa jaman ananleataga hom amemix na mbuzi mie nikichek tu najuaga hapa usalama hakuna!sili !marafiki zangu waliwah nifungua mdomo kwa ngv hahahaha nililiaaaaa since then hawaniiti kwenye mikusanyiko yao !kwanza ilivyo tu nguruwe sura lake!plus manyoya yake na inavyolia uwiiiiii!
nashanmgaa wanangu wanapokonyana hiyo nyama wanakulaga had kilo kbs naumia moyoni nasema Mungu hawa watt umewafanyaje wale kitimoto jaman !arghhhhhhhhhhhhl
We sister ndo maana nakupenda! Inaonekana una akili si za dunia hii, nakuhakikishia utayajua mengi mabaya ya hii dunia, Watu wamepotezwa ndani ya ujinga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mumeo anakula na busu anakupiga dendaaaajaman ktk kitu amabvho hakitaingia mwilin mwangu ni hiki chakula !yaan nimeharibu asbh yangu !pyeee !yaan ni zaid ya kharamu !nguruwe ana magonjwa meng sana ! dah thts y sipendag deep kiss
Mumeo anakula na busu anakupiga dendaaaa
DJ sepetu
Ujue mi nilianza kukupenda kabla ya huyonakupenda pia shukrani
Ujue mi nilianza kukupenda kabla ya huyo
Mleta mada umeamsha hisia zangu. Ngoja niwahi Kilimanjaro Villa nikapate kitimoto nusu, ndizi mbili na Pepsi bariiiiiiiidi
Pole sana mrembo inamaana hukuona title ya post kabla hujaifungua?jaman ktk kitu amabvho hakitaingia mwilin mwangu ni hiki chakula !yaan nimeharibu asbh yangu !pyeee !yaan ni zaid ya kharamu !nguruwe ana magonjwa meng sana ! dah thts y sipendag deep kiss
Ohooooo!!![emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Wakafie mbeleee na dini zao zilizoletwa Africa na Ngalawa na Mashua[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
Sent from my IPhone 8+ using Jamii Forums mobile app
Sasa pale wana kitimoto matata sana siku hizi... Usipimehahaha naikumbuka kilimajaro villa jaman lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]