KITIMOTO nyama tamu ambayo ni zawadi kutoka kwa MUNGU

Mhh hivi kweli utamu wa kitimoto ndo ulete vita jamani. Nakushauri onja kitimoto ndugu uendelee kufurahia uumbaji wa Muumba.
Kitimoto mtamu banaa
 
mkuu ungechagiza na ki picha japo kimoja cha rosti moja matata na ndizi juu
 
Mimi nafanyaga iv yaan nakunywa chai asubuh alafu mchana siri nasubili had saa moja nusu naenda zangu kuagiza mdudu na ndiz na peps bariiiidiiiii, alooooo ngoja niishie hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
Mii sinywi chai asubuhi, nasubiria hadi saa saba nane hivi... Ahhh jamani acgeni kitimoto iliwe na wachache tuu, coz wanaoiita haramu wakianza kuila kutakuwa na upungufu mkubwa, na bidhaa yenyewe ilivo adimu....
 
Kumbe maana kidogo tu nianze kuandaa taraka

Sent using Jamii Forums mobile app
Beira kwanza nikupongeze kwa kubadili id kama moyo wako ulivyotamani[emoji122] [emoji122]
Pili nikushauri tu kuwa kwa kuwa umebadili id sio mbaya ukatafuta mchumba mwingine pia,in good will!
Mbiti hapo utakesha rafiki na sidhani kama utapata faraja ya moyo,!! Leo umeambiwa mtu aliyekua anampenda kabla yk ni jirani[emoji23] [emoji23] kesho utaonyeshwa shemeji yk!
Ni ushauri tu ninyi nyinyi tu wenye maamuzi!
Waveja sana!

DJ sepetu
 
Hv kati ya hio nyama na pombe kipi haramu?
we jamaa una akili sana manake waislam tunafakamia wote pombe bar na wananunua malaya kama kawaida sasa kipi haram kitimoto au pombe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…