Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi mkuu, umetamani wakati huna hela mfukoni nini?
Leo sina urafiki na wewe, tusubiriane kule kwenye jukwaa la siasaVipi mkuu, umetamani wakati huna hela mfukoni nini?
Ha ha haaaLeo sina urafiki na wewe, tusubiriane kule kwenye jukwaa la siasa
Allah hapendi ule kitimoto,ni dhambi mkuu!![emoji53][emoji53][emoji53]ha ha ha ha ha leo naenda kuipiga wakati wa lunch
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Hahahahahahaha hapo kwenye kivuli safiiiiiii huku unaappointment na mchepuko, halafu salary ipo ya kutosha, gari umeshafanya Service ya kutisha na iko full tank na mama home ameshapata mpunga wake huna deni na mtu dah nakuambia unaweza kulaumu kwanini kuna kufa kaka
Mbaya zaidi kuna demu ulimtokea akakataa sasa unaona calling yake yaani papuchi kibao tu zinakutafuta duuuh maaanina unaweza kuona Tz sio nchi ya kukimbia
mmmmh watu wanakula mbwa itakua kitimoto mkuu alafu mule kwenye maandiko wameandika kama ukiwa na njaa sana au wakati wa vita na chakula hamna ukimuona kitiomoto ule sasa sisi tunatumia huo huo mstari kuhalalishaAllah hapendi ule kitimoto,ni dhambi mkuu!![emoji53][emoji53][emoji53]
Mkuu unaongelea burudan au don nyati?Kuna hizi pombe mpya kwenye vichupa vya plastiki ni mbaya kuliko gongo
Ukinywa vichupa viwili tuu hujui unaongea nini
...itaendelea...
Inaoneka Uko maeneo ya resort kimaraUipate ile nyama iliyorostiwa mpaka ikageuka kuwa brown, afu pembeni unawekewa pilipili za kukata zile... zimechanganywa zile za kijani na moja inayoelekea kwenye wekundu hiviii. Pembeni tena kuna vipande viwili vya ndimu zile kubwakubwa pamoja na chumvi.
Hiyo uipate na dona au ndizi kama 3 hivi zilizokaangwa. Kabla hata hujamaliza kuikagua sahani kama kila ulichoagiza kimefika unaambiwa na mhudumu "naomba unawe".... unamuangalia kidogo usoni then unakinga mikono unanawa, maji vuguvugu saaafi kabisa.
Anamaliza anaondoka unamsindikiza kidogo na jicho la kiwizi then unairudia sahan yako. Unapiga one touch moja unakamata kipande cha kitimoto kilicholowa rosti zito unakitupia mdomoni na kabla hujatafuna sana unang'ata na kipande cha pili pili. Then baada ya hapo unachukua kipande cha ndimu na kuanza kukamulia taratiiibu kwenye rosti yako huku ukiiangalia kwa madaha beer yako iliyopo pembeni na imefungwa tishu kwa juu.....
......Itaendelea[emoji39]
Nashindwa kuwaelewa kabisaHv wasiokula kitimoto wanajielewa kweli?