mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,253
- 22,843
Hahaha barter tradeNilihongwa TV ya chogo nimpe marinda, nikiangalia siku Hizi TV za chogo hazina issue nayawazia marindraaaa yanguuuuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha barter tradeNilihongwa TV ya chogo nimpe marinda, nikiangalia siku Hizi TV za chogo hazina issue nayawazia marindraaaa yanguuuuu.
Duh[emoji79]hongera kwa kumkodia hawara range na costa
Aii weweNilihongwa TV ya chogo nimpe marinda, nikiangalia siku Hizi TV za chogo hazina issue nayawazia marindraaaa yanguuuuu.
Ahahahaj ufe tu hata ukiwa baba yanguKwa nini sasa babe ufurahi? Hujui mimi ndo baba sabrina
Nilihongwa TV ya chogo nimpe marinda, nikiangalia siku Hizi TV za chogo hazina issue nayawazia marindraaaa yanguuuuu.
Demiss jamani.Nani ulimuitaa halaf akakuchuniaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Habari zenu jamani,Jf
Niwaulize kitu wana ndugu,
Ni kitu gani kikubwa ambacho uliwahi kuhonga/kuhongwa na mpenzi wako ambacho kamwe huwezi kukisahau?
:"Mimi nimewahi kuhonga Vitu vya ndani yaani full house material na niliwahi kumkodia gari hawara angu mwingine siku ya harusi yake sijui aliniloga nikikumbuka machozi yanatalika maana nilikodi range mbili na Costa 3.
Niache bana mimi mvivu kujibu maswali [emoji6]Ebu ngoja kidogo mkuu, mana nina swali hapa.....
Naomba nikakuulizie hilo swali kule PM, maana hapa naogopa kukosea adabu tafadhali....[emoji6] [emoji6]
Kwa sababu they are too smart and they know how to exploit you idiiots(tanzania men).Mbona sioni wadada wakisema wamehonga hapa
DaaahNilihongwa TV ya chogo nimpe marinda, nikiangalia siku Hizi TV za chogo hazina issue nayawazia marindraaaa yanguuuuu.
HahahaaaaaaKuna demu nilimhongaga tv ya chogo akanipa marinda temeke huko back miaka ya 2005.
Niliiona ile komenta yakoo,,hayaa tuma pesa tukusamehe tuigawanee nusu nusuuDemiss jamani.
Kanikasirikia.naomba ukaniombee msamaha.. Yani sikumaanisha kitu kibaya
Kwenye uzi wake wa jana wa kukimbia watu mimi nikakoment "umalaya tu" kumbe yy kaichukulia serious.
Kanibembelezee mwambia nampenda. Nitakupa maua umpelekee pia
Mbona vijana wapo wengiii jamaniNatamani siku zirudi nyuma (enzi za mwalim) nami niwe mmoja wapo kati ya walio jibebea wallah....[emoji39] [emoji39] [emoji39]
Mengne yamesalia. Nashukuru alikuwa kibamiaOooh jamani kumbe yametatuka?
Pole sana
hahahaha hiyo siyo kuhonga nadhani ulikua ni upendo wa dhati kwake! wala hukulogwa.Habari zenu jamani JF,
Niwaulize kitu wana ndugu: Ni kitu gani kikubwa ambacho uliwahi kuhonga/kuhongwa na mpenzi wako ambacho kamwe huwezi kukisahau?
Mimi nimewahi kuhonga vitu vya ndani yaani full house material na niliwahi kumkodia gari hawara yangu mwingine siku ya harusi yake sijui aliniroga? Nikikumbuka machozi yanatiririka maana nilikodi Range mbili na Costa 3.
Noma sanaNilihongwa TV ya chogo nimpe marinda, nikiangalia siku Hizi TV za chogo hazina issue nayawazia marindraaaa yanguuuuu.