Kitu gani kilikushangaza mara baada ya kuingia kwenye ndoa?

Hii comment inatia Moyo ... Barikiwa
 
Mimi nilishangaa kuona cheti cha ndoa kimeandikwa jamhuri ya muungano wa tanzania
wakati niliamini kwa kuwa ni ndoa ya kikristo nitapewa cheti cha kanisa ninalosali.
Kimeandikwa hivyo kutokana na changamoto za kisheria zitakazojitokesha mbele ya safari.......
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
tulioana kijeshi maana alikuja akakaa wiki hlf akapotea.
kumbe alienda kwao.
alivyorudi akaja na vitu vyake vingi. ile mara ya kwanza vilikuwa vichache. apo kumbuka hatujaoana.
ule mwezi haukuisha tukawapokea wadogo zake 2 na mamkwe.
Leo apa naandika imeshapita miaka 5. apo kumbuka hatujaoana.
ivi ulisema wenye ndoa ndo wasimulie?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…