Hii comment inatia Moyo ... BarikiwaI thought I'd be eating papa daily, kumbe ni kujidanganya tu, saivi hata wiki mbili zinakata na wala sioni shida.
I thought it was a bed of roses, kwamba maisha ni mteremko tu kila unachotaka kinapatikana kwa urahisi tu, kumbeeeee!
Kwamba kila siku ni raha tu humo ndani, nilijidanganya sana. Ups na downs ni za kutosha.
Thank goodness, tunaishi na Mungu anazidi kuzibariki ndoa zetu.
Mimi nilishangaa kuona cheti cha ndoa kimeandikwa jamhuri ya muungano wa tanzaniaJe ulipatwa na mshangao gani mkubwa baada ya kuingia kwenye ndoa?
Hivi viingereza ndo vinapelekea wakenya watucheke, bora uandike kiswahili tu.Hahaha kwa usawa wanaoutaka lazima wao nao wachangie mengine zaidi ya hiyo uliotaja hapo juu tu. Kama raha tunapata wote why should I be the only one to keep strengthening the relationship forward tu?
Shangaz mbaya sana weweπ€£π€£π€£Nilijua tutaendelea kufanya kila siku, kumbe kuna muda haisimami hata umkalie kicheleπ
Honestly, Yes..Ww unafanya kila siku??
Nko pale na kusubr tubadlshane uzoefu πππNimeolewa mkuu π€£
Kimeandikwa hivyo kutokana na changamoto za kisheria zitakazojitokesha mbele ya safari.......Mimi nilishangaa kuona cheti cha ndoa kimeandikwa jamhuri ya muungano wa tanzania
wakati niliamini kwa kuwa ni ndoa ya kikristo nitapewa cheti cha kanisa ninalosali.
Nimefanyaje jamani mwanangu πShangaz mbaya sana weweπ€£π€£π€£
Ila hapo anafanya kwa upendo na kukujali, kumbe humpendi π€
Mke wangu alipoanza kunifanya kama mtoto wake, mara aanze kuhakikisha nimekula na nimepumzika, anichagulia nguo za kuvaa.
Huyu atakuwa mkurya.....maana wakurya na mahaba ni mbingu na ardhi......Ila hapo anafanya kwa upendo na kukujali, kumbe humpendi π€
labda haumvutii au kuna issue unazingua km yuko saw ni dailyNilijua tutaendelea kufanya kila siku, kumbe kuna muda haisimami hata umkalie kichele[emoji13]
Kaka umechoka sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
tulioana kijeshi maana alikuja akakaa wiki hlf akapotea.Habari za muda huu wanajamii,
Wahenga wanasema usilolijua ni usiku wa giza, kila mmoja wetu anapotarajia kupata jambo jipya au kuingia kwenye maisha mapya hujawa na shauku na mshawasha.
Ndoa ni taasisi ambayo kabla hujaingia unakuwa na matarajio makubwa yaliyojaa furaha kutokana na jinsi unavyompenda mwenza wako lakini wakati mwingine mambo huwa tofauti na vile ulivyofikiria yanaweza kuwa hasi au chanya.
Je ulipatwa na mshangao gani mkubwa baada ya kuingia kwenye ndoa?
Unaweza uka share na kuwa funzo kwa wengine ambao ni watarajiwa.
Njoo unisaidie kumvutia akuweke wewe daily mwanangu π€£labda haumvutii au kuna issue unazingua km yuko saw ni daily
Sikujua kama kwenye ndoa hakuna kulala na chupi.
ππππππππSikujua kama kwenye ndoa hakuna kulala na chupi.
Jamani huyu baba ananizagamua nyieeee, mpaka natamani kujiuzulu.
Ila hapo anafanya kwa upendo na kukujali, kumbe humpendi π€
Wizo kumbe hogo la Kantre kuna muda linalala DORO?? π±π±π±Njoo unisaidie kumvutia akuweke wewe daily mwanangu π€£