ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
I thought I'd be eating papa daily, kumbe ni kujidanganya tu, saivi hata wiki mbili zinakata na wala sioni shida.
I thought it was a bed of roses, kwamba maisha ni mteremko tu kila unachotaka kinapatikana kwa urahisi tu, kumbeeeee!
Kwamba kila siku ni raha tu humo ndani, nilijidanganya sana. Ups na downs ni za kutosha.
Thank goodness, tunaishi na Mungu anazidi kuzibariki ndoa zetu.
I thought it was a bed of roses, kwamba maisha ni mteremko tu kila unachotaka kinapatikana kwa urahisi tu, kumbeeeee!
Kwamba kila siku ni raha tu humo ndani, nilijidanganya sana. Ups na downs ni za kutosha.
Thank goodness, tunaishi na Mungu anazidi kuzibariki ndoa zetu.