Kitu gani kilikushangaza mara baada ya kuingia kwenye ndoa?

Kitu gani kilikushangaza mara baada ya kuingia kwenye ndoa?

I thought I'd be eating papa daily, kumbe ni kujidanganya tu, saivi hata wiki mbili zinakata na wala sioni shida.

I thought it was a bed of roses, kwamba maisha ni mteremko tu kila unachotaka kinapatikana kwa urahisi tu, kumbeeeee!

Kwamba kila siku ni raha tu humo ndani, nilijidanganya sana. Ups na downs ni za kutosha.

Thank goodness, tunaishi na Mungu anazidi kuzibariki ndoa zetu.
 
I thought I'd be eating papa daily, kumbe ni kujidanganya tu, saivi hata wiki mbili zinakata na wala sioni shida.

I thought it was a bed of roses, kwamba maisha ni mteremko tu kila unachotaka kinapatikana kwa urahisi tu, kumbeeeee!

Kwamba kila siku ni raha tu humo ndani, nilijidanganya sana. Ups na downs ni za kutosha.

Thank goodness, tunaishi na Mungu anazidi kuzibariki ndoa zetu.
Ila hapo pa kusema papa sio kila siku ??!!!!
Kwani ukiamua kila siku si wewe tu au kuna mda anakataa na bila kuwa na strong reson mkuu
 
Ila hapo pa kusema papa sio kila siku ??!!!!
Kwani ukiamua kila siku si wewe tu au kuna mda anakataa na bila kuwa na strong reson mkuu
Aah wapi mkuu, hata ukiamua kila siku, kuna siku yeye hana mood kabisa, sio vizuri kufosi mambo, kuna siku unarudi home na stress kibao..Acha tu!
 
Back
Top Bottom