Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
Sidanganyiki ng'oooMi naoa kweli na sitaki utanie ohooo😘
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidanganyiki ng'oooMi naoa kweli na sitaki utanie ohooo😘
Unaogopa kuonja sumu kwa kuilamba.....😃😃😃Sidanganyiki ng'ooo
Tupo hapa KFC kama unaweza njooHahaha mkuu kwani kumwita PM ni mitongozano tyuuuu?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna mengi ya kuyajadili na kuyapatia ufumbuzi pamoja[emoji12]
Sasa mbona hajakwambia ufanye haraka ili akaexperience ya ndoani?[emoji38]
Mwambie huyoSidanganyiki ng'ooo
Atakufa nishamwambiaUnaogopa kuonja sumu kwa kuilamba.....[emoji2][emoji2][emoji2]
Uta nijuza Kwenye ofisi Yangu ya uwakili😁😂Namuheshimu hivo yashaisha 😂😂😂😂😂😂😂
Maaana wewe wakili huna dogo aiseee
Hicho ndio kilio cha wanaume wengi.....ndio maana tunashauriwa tusioe age mateNilidhani mke wangu ataendelea kuwa binti, kumbe kadri ya mda anazidi kubadilika.
Hahahaha!!!Kwamba siyo kila silu una hamu ya kuchakata papuchii.
Iwekwe mkuuTuweke kampeni ya kataa ndoa hapa au tuwaache mabroo wajifariji kidogo Mkuu?
Kataaa ndoa watakuja kuchafua Hali ya hewa.........hii mada na Wana ndoa tuIwekwe mkuu
😃😃😃Huu uzi ni wa kusubiri waje hata kama upo ndoani
Kikubwa ni kuchora shuhuda za watu huku ukikompea na yanayokukuta 😉
Unatembea kama unaenda mazoezi ya ubondia itasimama vipi?Nilijua tutaendelea kufanya kila siku, kumbe kuna muda haisimami hata umkalie kichele😝
Hongereni ila huoni mambo ndio yanaenda yente yente kama vile nyumba inavyojengwa Kati ya mwanamke na mwanaume nasi tukiongezea na ka utofauti wetu wa simba na yanga bhasi weeeee.....full burdani🌹m mbon ndo ntakumaliza zaid,,m n yangaaaaaaaaaa 😂
Hahaha hii ndio bahati hiyo unaifukuza kwa mikono yako mwenyewe😉Sidanganyiki ng'ooo
Poor Brain Bakiza maneno mkuu 😂Sizani kama kuna kipya..
Kama mtu ume kaa nae zaidi ya miaka mitatu katika uchumba...
Dah ikifika hatua hiyo ni bora kuwekana wazi tu kama wenzetu wa magaribi. Habari za kutangulizana si nzuri kabisa🤔🤣🤣🤣Yaani Kila Mmoja anamuombea mwenzie akate moto