Kitu gani kilikushangaza mara baada ya kuingia kwenye ndoa?

Kitu gani kilikushangaza mara baada ya kuingia kwenye ndoa?

m mbon ndo ntakumaliza zaid,,m n yangaaaaaaaaaa 😂
Hongereni ila huoni mambo ndio yanaenda yente yente kama vile nyumba inavyojengwa Kati ya mwanamke na mwanaume nasi tukiongezea na ka utofauti wetu wa simba na yanga bhasi weeeee.....full burdani🌹
 
Back
Top Bottom