Kitu gani kilikushangaza mara baada ya kuingia kwenye ndoa?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umdake nani wee? Wee ndo ntakudakisha kwa mjomba maresh!! Thubutuuu
 
Bado nipo na wa huku huku dodoma..
Mi lengo langu now nije kukaa dar mkuu.

Ndo nipo mbioni kutafuta mshangazi wa dar huko ila hawa kina coca jau mno
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee ji less kikuda, ukikutana na mjomba maresh sahivii anakuvua ubingwaa, wee jichanganyee
 
Huyo ni dume aliehama Kijiji/zizi

We fanya kilichokuleta dar utapata mishangazi humo humo kazini, usitafute mshangazi we saka [emoji389][emoji389] utapata tu
Em semaa kweliiii?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndo uanaumeee, unataka mtelezoooo?
Unajua malipo yakeee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Eeeh udugu wa JF yule yule kibaka wangu wa siku zote [emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Hapo sawaaah
 
Naanzaje kulea dume zima na vipira vyake [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yy apambane na shangazi yake mlezi wa wana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiii uduguu, vipira kwemaaa??
 
Kiapo ni formalities kama wanavyoapishwa viongozi wetu. Kuzuga tu ila uhalisia wala watu hawakumbuki kama waliapa. Hivyo viapo naona viondolewe tu maana ni kumdhihaki Mungu
Upo sahihi kwa kweli,ni heri viondolewe kuliko yanayoendelea ni yanasikitishaa
 
Kwamba mwanaume anaweza kufunga mlango wa nyumba tunayoishi pamoja nisiingie eti sababu nimechelewa kurudi. Na kwamba anategemea akinifungia hivyo niende kulala kwa wazazi wanguπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
Next time likikufungia njoo ulale kwangu
 
Mimi nilikua namuona anavaa mtandio, khanga nyingi, baibui na kujistiri Sana nikahisi yake sitakaa niione.
Heh. Kufika kwenye ndoa Dela tupa kule, mtandio mpaka kyupi.
Chezea kitu hata uvinza unafika na kuikagua ruksa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…